Azam TV Limited yaingia mkataba wa kuonesha Matangazo ya Ligi Kuu kwa miaka 10. Mshindi misimu mitatu ijayo kulamba bonus Tsh 500m

Broo..kwa.mwaka kila.klabu zitapata bilioni 8 zote kwa pamoja ..ndio zitagawana..hio..pia Kuna waamuzi hapo hapo nk..pi
 
Tena sio kidogo. Kutoka bil5 kwa miaka mitano hadi kukubali bil200+ kwa miaka 10. Aisee unaona hilo gape. Sasa pata picha washapiga hesabu wataingiza shingapi.
Wakianza kuonesha na ligi daraja la kwanza itapendeza zaidi
 
Kiukweli dili Ni nzuri..lakini miaka 10 imetia doa..kusaini miaka 10 Ni sawa na mkataba wa Carl Peter's na chief mangungo wa msovero..
 
Watu wanakurupuka tuu ndio maana hapo wamesema miaka 3 ijayo timu zitapata hicho kiasi but baada ya hapo kuna kiasi kitaongezeka
 
Mikampuni uchwara imekuwepo miaka yote hakuna hata moja imejitokeza kufadhili sasa bora hawa azam wapewe exclusive kabisaa
 
Voda ametangaza losses
 
Mkataba ukiwa mfupi hakuna atakaekubali kutoa hayo mapesa mengi hayupo, azam hawezi weka pesa zote hizo eti kwa miaka 5.

Kumbuka hapo anajaribu kuziinua timu ziwe shindani na zisiuze mechi.

Pili ligi ikiwa imara ndio nae atauza ila kinyume chake hakuna kitu kama hicho
 
Sijui hao washenzi wanaolilia DStv kama ni ya baba zao pumbavu,bora kampuni yetu mambo yakiwa mazuri wanaweza nunua East Africa yote
 
unapenda vitu vya muda mfupi mfupi kama mikataba ya simba na yanga.Ndio maana hatuendelei kwa kua tunataka kufurahia leo leo tu.
Saizi timu zitakuwa confidence na haziyauza mechi kishenzi. Heko Azam rusha na ligi daraja la kwanza
 
Ndio maana ni muhimu kulinda uwekezaji wake kwa miaka 10,,kwamba pengine amefanya tathimini kwamba pengine baada ya kuonesha wamepata ujuaji mkubwa wa wateja sasa wameamua ku risk kwa mda mrefu ili kurudisha pesa zao
 
Wakuu nimedhamiriq Kupeleka Maoni yangu Wizara ya Michezo na Utamaduni, Kimsingi Nitaandika Maoni Yangu Kwa Wizara Husika Kuhusu Mkataba Wa Tff na Azam TV. Kesho Tu... Naombeni Mniunge Mkono
 
Hivi Ni Kosa Kutupa Mikataba Kama Sisi Wadau Tukasoma na Kutoa Maoni?
 
Tunaongelea Full Package 225 billion bila kuangalia hiyo miaka 10 yenyewe tutakuwa wapi katika Ramani ya Soka na Mtazamo wa Soka lenyewe kwa Mapana yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…