Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 489
- 386
KWANI HIZO TIMU ZINASEMAJE?
Maana miaka mingi imepita haikua hata ikioneshwa kwa runinga, mimi niko na mtazamo chanya nimeifurahia sana hii dili.
Nimapinduzi ya soka baadae tutaenda mbali zaidi wadau wengine wajitokeze itapendeza.
Sasa kwa clubs nao waendelee kujibrand nakujipa dhamani ya juu zaidi wavutie wawekezaji mfano Simba Sc wamalize ishu ya urasimishaji Bil 22 ziekwe mezani, na Yanga nao waendeleze mchakato wawekezaji waweke mpunga, wengine hivyo hivyo . . .
Uchaguzi TFF unakaribia wadau tufanye kweli tuweke watu wa mpira.
.....................................................................................................................................
Maana miaka mingi imepita haikua hata ikioneshwa kwa runinga, mimi niko na mtazamo chanya nimeifurahia sana hii dili.
Nimapinduzi ya soka baadae tutaenda mbali zaidi wadau wengine wajitokeze itapendeza.
Sasa kwa clubs nao waendelee kujibrand nakujipa dhamani ya juu zaidi wavutie wawekezaji mfano Simba Sc wamalize ishu ya urasimishaji Bil 22 ziekwe mezani, na Yanga nao waendeleze mchakato wawekezaji waweke mpunga, wengine hivyo hivyo . . .
Uchaguzi TFF unakaribia wadau tufanye kweli tuweke watu wa mpira.
.....................................................................................................................................