MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Hatua nzuri lakini 10yrs ni mingi sana kwa hii mikataba.
Premier League wanafanya kwa mnada na ni kwa miaka 3. Halafu wanarudi tena kwenye mnada, kufunga mkataba wa miaka 10, labda kama wameweka vifungu vya kulinda pia thamani ya fedha. Hiyo hela baada ya miaka 10 inaweza kushuka thamani by 50%.
Premier League wanafanya kwa mnada na ni kwa miaka 3. Halafu wanarudi tena kwenye mnada, kufunga mkataba wa miaka 10, labda kama wameweka vifungu vya kulinda pia thamani ya fedha. Hiyo hela baada ya miaka 10 inaweza kushuka thamani by 50%.