Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Yan nmefanya vyote lakin nikiplay inaload tu haiplayNenda kaifungue app yako ya yacine tv... kumbuka kuruhusu kuinstall app from unknown sources ili uweze kuinstall app yako uliyoidownload kama apk.
Yan nmefanya vyote lakin nikiplay inaload tu haiplay
Nenda kaifungue app yako ya yacine tv... kumbuka kuruhusu kuinstall app from unknown sources ili uweze kuinstall app yako uliyoidownload kama apk.
View attachment 2616691
Tuma screenshot ya hiyo Yaccine tv kabla haujaifungua
View attachment 2616691
Tuma screenshot ya hiyo Yaccine tv kabla haujaifungua
SawaHapo imekubali mkuu
Mechi ikianza ndipo zinaonyesha... muda huu jaribu kufungua mbc uangalie muvi kwa kiarabu😎
Inasema an error has occurredHapo imekubali mkuu
Mechi ikianza ndipo zinaonyesha... muda huu jaribu kufungua mbc uangalie muvi kwa kiarabu😎
Hatari na ulaji wa mb upoje mb ngap unaweza chek mech full kwa quality nzur hata kama sio HD
Napata wapi hii decoder?Nilishaleta uzi humu wa njia rahic ya kuchek mipira...mm nanasa channel zote za DSTV za michezo kwa tsh 15000 tu kwa mwezi!!
Unachotakiwa kufanya ni kuandaa lak 2 na 50 ya decoder(ya kichina) na dish lako la DSTV basi
Ndiyo mkuu unaset mwenyewe quality kutokana na bando lako... ukishakuwa unaangalia kitu husika gusa alama ya settings utaona kuna options za quality unayoihitaji.Hatari na ulaji wa mb upoje mb ngap unaweza chek mech full kwa quality nzur hata kama sio HD
Inafananaje hiyo Yaccine Tv ,nisaidie screenshot yake,nimegoogle zinakuja nyingi
Dah naskia saut tu za zkatuni picha haiji kabsaNdiyo mkuu unaset mwenyewe quality kutokana na bando lako... ukishakuwa unaangalia kitu husika gusa alama ya settings utaona kuna options za quality unayoihitaji.
Rudi back itakuwa kuna tangazo linazuia screenDah naskia saut tu za zkatuni picha haiji kabsa
Aya sawaRudi back itakuwa kuna tangazo linazuia screen
Rudi back itakuwa kuna tangazo linazuia screen
Startimes wanaonesha kwa kifurushi cha elfu kumi na tanoBasi tupeni hata jina la application au link kwa wale wa kustream online maana dstv bila 99k huoni game hii.