ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Beki tatu jana kachomesha game ya Stars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafsiri alikuwa marehemu lufufi tu,hizi mbuzi zingine zinakera masikio ti
Tuanze hapo kwenye beki tatu wewe unaelewa Nini..
Maana ya beki tatu ni ulinganifu wa mfanyakazi wa ndani na beki namba tatu wa mchezo wa mpira wa miguu kazi ya beki namba tatu kwenye mpira ni ulinzi wa na kuuza mashambulizi kwa team sasa vijana wamnyumbulisha hiyo maana akapewa pia mfanyakazi wa ndani ya nyuma ikimaanisha majukumu yake ni kama Yale wa beki namba 3 kwenye mchezo wa mpira wa miguu Kuhakikisha home pako salama wakati wote
Hahah lufufu mkandala mkuu.Mtafsiri alikuwa marehemu lufufi tu,hizi mbuzi zingine zinakera masikio ti
Lile tangazo la hiyo tamthilia huwa nakutana nalo kwenye channel za mpira na ertugul, dada wa kazi akiliona anaondoka kabla halijachanganya kwa kuzuga kama anakwenda kupokea simu au kuna dharura fulani, hapendi kuliona kukiwa na watu wengine. Ndio nikapata maono ya kuandika huu uzi. Sio kweli akina dada wataipenda, huenda wataipenda kama itaanza kuonyeshwa saa 3 asubuhi wakati mabosi wake wameenda kazini na watoto wako shuleni hawapo nyumbani siku za kazi.Usikute hii tamthilia ya beki 3 ndio itakua tamthilia pendwa ya wadada wa kazi, yaani binti anajitahidi kufanya kazi zake fastafasta ili asipitwe kuangalia uhondo wa beki3.
Wewe unapotosha, sikiliza tangazo linasema nini kuhusu hiyo tamthilia, wanaongelea categorically mfanyakazi wa ndani, nakwambia huyo mtunzi na Azam tv kama wanazo hela za bure hebu walirushe hewani.kwan isidingo ilkua inamaana gan au ilkua inamhusu nan katika miaka yote ya kuonyeshwa kwake? iko hiv mwandsh anapotoa jina halileng moja kwa moja iko unachokiwaza kwamfno ndan ya iyo bek 3 kutakua na watu wa maoficn ugomvi ma kazni ndoa kuvunjika mafumaniz madanguro nk kwann ww umgaid mtunz kwa uelewa wako tu?
Nimekuelewa mkuu na kwa upande mmoja imenigusa kuona hata huyo dada wa kazi anakwazika kwa namna fulani.Lile tangazo la hiyo tamthilia huwa nakutana nalo kwenye channel za mpira na ertugul, dada wa kazi akiliona anaondoka kabla halijachanganya kwa kuzuga kama anakwenda kupokea simu au kuna dharura fulani, hapendi kuliona kukiwa na watu wengine. Ndio nikapata maono ya kuandika huu uzi. Sio kweli akina dada wataipenda, huenda wataipenda kama itaanza kuonyeshwa saa 3 asubuhi wakati mabosi wake wameenda kazini na watoto wako shuleni hawapo nyumbani siku za kazi.
Umekurupuka mzee.Tamthiliya ni sanaa na maudhui yake yanaweza kuwa na tafsiri tofauti katika hadhira tofauti, na inaposababisha mjadala mkubwa, ndiyo kiashiria kuwa ujumbe uliokusudiwa umefika umefikishwa!Unyanyapaa ni kosa sawa na makosa mengine, hasa likifanywa na taasisi
Wafanyakazi wa ndani ni kundi kubwa sana kwenye jamii zetu, ambao kazi zao ni muhimu sana. Kazi Yao inawaingizia kipato lakini pia inasababisha utulivu mkubwa maofisini miongoni mwa watumishi wenye watoto wadogo nyumbani kwakuwa ndio wanaoachiwa kazi zote za kulea watoto, usafi, upikaji chakula, kufanya manunuzi na hata ulinzi wa mali za mabosi wao. Watu hawa wanastahiki kuheshimiwa kama watu wengine.
Faida nyingine ya watumishi wa ndani ndio wanaotumia umeme nyumbani mchana kutwa kuangalia TV na video na kusikiliza radio nyakati za mchana (faida kwa tanesco na serikali) wakati mabosi wao wako kwenye majukumu yao ya siku.
Pia wafanyekazi hawa ni ndio wadau wakubwa wa channel ya Azam tv ya Sinema zetu, watanunua kifurushi japo Cha wiki ili waangalie Sinema zetu. Hivyo ni faida kwa Azam media.
Hoja Iko hapa: Nasikia kuwa Kuna tamthilia inayokwenda kwa jina la Beki 3 inaenda kuonyeshwa kwenye channel ya Simema zetu Azam tv. Kama ni kweli jina hili la "Beki tatu" halileti heshima kwa jamii hii ya watumishi wa ndani. Jina hili ni kejeli kwa watumishi wa ndani, hivyo sio vizuri kutumika kwenye TV kubwa kama Azam tv.
Napinga jina/title lakini sipingi mafundisho/ujumbe yaliyomo kwenye hiyo tamthilia.
Mimi nitakuwa wa kwanza kwenda mahakamani kuuliza tafsiri ya Beki tatu, na kama ni sawa hawa watu kuitwa Beki 3 na Azam tv, wasanii na wadau wengine au la!.
Heshima ni kitu Cha bure.
Nawasilisha.
Uko wapi nikuuzie, maana ninavyo vyote cha Azam na cha Startimesau kama kuna mtu ana king'amuzi cha STARTIMES cha DISH nimpe cha AZAM cha DISH ambacho bado kipya kabisa hakijamaliza hata mwezi na kimeshalipiwa miezi mitatu but ataniongeza 60k
pesa ya kununua sina boss, its either nikakiuza chenyewe independetly au nikabadilishana na mtu kisha nikaongezwa pesa kidogo.Uko wapi nikuuzie, maana ninavyo vyote cha Azam na cha Startimes
Uko wapi?pesa ya kununua sina boss, its either nikakiuza chenyewe independetly au nikabadilishana na mtu kisha nikaongezwa pesa kidogo.
Ooooops.......sa itakuwaje, mi niko Mwanzamorogoro msamvu
mwanza upo sehemu gani, nataka nikuconect na mwananguOoooops.......sa itakuwaje, mi niko Mwanza
Nyamanoromwanza upo sehemu gani, nataka nikuconect na mwanangu
Faida nyingine ya watumishi wa ndani ndio wanaotumia umeme nyumbani mchana kutwa kuangalia TV na video na kusikiliza radio nyakati za mchana (faida kwa tanesco na serikali) wakati mabosi wao wako kwenye majukumu yao ya siku.
Pia wafanyekazi hawa ni ndio wadau wakubwa wa channel ya Azam tv ya Sinema zetu, watanunua kifurushi japo Cha wiki ili waangalie Sinema zetu. Hivyo ni faida kwa Azam media.
Nyamanoro
Mi nilikuwa nakiuzawewe unataka option ipi mkuu ? Imean unanunu au ?
nadhani hatukuelewana vizuri boss.mimi SINUNUI koz pesa SINA, ila NAUZA au KUBADILISHANA tu kakaMi nilikuwa nakiuza