Azam tv sio burudani kwa wote ni burudani kwa waturuki. Mnaboa sasa

Azam tv sio burudani kwa wote ni burudani kwa waturuki. Mnaboa sasa

Mkuu haya maisha ya Nini kujitesa, unga unlimited bundle ya halotel elf 50 kwa mwezi ukirudi home pakua movie yoyote unayotaka Toka mtandaoni angalia
Hii unlimited ya halotel 50k ni kwa line ya kawaida au zile line zao maalum za intermet?
 
Sasa kama mpaka umelipia ulikuwa huyajui hayo??Mbona hizo za kituruki zimetiwa sauti za kiswahili??au ulitaka kiswahili cha kituruki?? au chuki za udini zinakusumbua??,,Kikiisha nakushauri usilipie tena,, lipia kile kinachokupa uyatakayo
Chuki za kidini zinahusikaje hapa!? Issue ni maudhui kujirudia, kila tamhtilia story ileile! Hiyo dini inayokufanya utetee kila upumbavu ni ya KIPUMBAVU pia. Kuna wakati mjifunze kutumia akili.
 
Ukishaingiza udini kwenye biashara ambayo target audience ni watu wa dini zote lazima ufeli. Hawa Azam washaanza kupoteana na kadiri siku zinavyosogea wanapoteza wateja kwa kasi
 
Chuki za kidini zinahusikaje hapa!? Issue ni maudhui kujirudia, kila tamhtilia story ileile! Hiyo dini inayokufanya utetee kila upumbavu ni ya KIPUMBAVU pia. Kuna wakati mjifunze kutumia akili.
Hufirwi??
 
Kumbe tatizo sio tamthilia za kituruki, hoja yako na wafuasi wako ni maudhui ya tamthilia yanayoeleza kuhusu uislamu!

Ni vema ukawashauri kupunguza tamthilia zenye maudhui ya namna hiyo ili kuondoa kero kwa baadhi ya mamilioni ya wateja wao mfano wako!
 
Hicho king'amuzi ni cha kipumbavu sana!

Yani ni bora startimes mara mia kuliko hako ka decoda kao.

Huwa nawashangaa sana wanaolinganisha huo uchafu na dstv
Hiyo TV imeletwa kimkakati. Cha kushangaza gharama zake ni sawa na DSTV
 
Sasa unataka unachopenda wewe wote wapende hicho hicho??

Hizi akili ni za kijima na kishamba mno.

Mimi pia siyakubali hayo madudu ila siwezi kumbeza anaependa kuyaangalia, kuna watu wengi sio wapenzi wa mpira wa miguu kama ilivyo wabongo wengi wasivyo wapenzi wa michezo mikubwa ya mataifa mengine.

Ukikaa na watu wanaopenda mchezo wa basketball na wana ujima kama wako, basi wewe watakuona kama ngozi ya kalio. Maana na wao hujiona matawi na kudharau/kuona wasioujua au kuupenda mchezo huo ni washamba mno.
Waangalia mpira huwa wanajiona wa maana,umemaliza kila kitu!
 
Waangalia mpira huwa wanajiona wa maana,umemaliza kila kitu!
Ni upuuzi tu mkuu, kila mtu ana apendacho.

Kuna jamaa mmoja alikua anashangaa inakuaje watu 22 uwanjani + mashabiki mamilioni mnakafatilia kale kakitu ka duara (mpira), watu 22 wanavuja jasho kukagombania hako 😂😂.

Hakua anaelewa how comes mtu anakua chizi wa mpira ila nilimuelewa.
 
Effendi Pietro chaliii
Marco Gabriel chalii
Eti hadi Don Diego nae chaliiiii
Usikasirike nadhani unafahamu vyema kwa SSB na hiyo Imani.
 
Dah! Kuna watu hamna stress kabisa. Yaani unapoteza muda kufikiria hayo mambo ya tamthilia? Mimi sio mtazamaji wa TV ila nikiona channel sielewi nabadili tu. Halafu kuliko niangalie movie ya kutafsiriwa kiswahili bora niingie wikipedia nisome kwanza story nzima ndo nitazame movie.
 
mimi ni mtu wa music tu na makala.Kwa DSTV kwa 60.000 napata ninachoyaka 323.324.325,326,327
 
Back
Top Bottom