Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
alipigwa Russia round ya kwanza tuTwaha Kiduku ni one of the best fighter leo ametupa pambano bora na binafsi nimefurahi
Mmoja wa waamuzi wa leo ni Mhaya anaitwa Antony RutaDharau za kipumbavu, wahaya mna shida sana
umewahi kumuona Twaha kiduku akipigana na bondia mwingine zaidi ya dulla mbabe ?Twaha Kiduku ni one of the best fighter leo ametupa pambano bora na binafsi nimefurahi
Dada leo umeongea point. Leo nimeshuhudia usanii hapa bongo.Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .
Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
Kwani kuna shida kuwakumbusha ?Tuwe na heshima na mtu anapofanya kitu, Azam TV wameboost sana michezo nchini ikiwemo ngumi.....tumezidi ujuaji watanganyika
Kwani wamepigana mara ngapi?Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .
Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
Hata Tyson ashawahi kupigwaalipigwa Russia round ya kwanza tu
Kelvin kuna mahali nje ya nchi nimesoma naye , kama naye yumo humu basi ujumbe umefikaAnayeandaa mapambano sio Azam ndg ni promoters na kwa sasa nadhan hapa nchini anayesimamia hii kitu ni Kelvin Twisa yule alikuwaga Tigo/Voda na bank kadhaa
Azam wananunua haki za kuonesha kwa runinga
Kapigane wewe.alipigwa Russia round ya kwanza tu
Na nyie wachambia magunzi mna shida sana.Dharau za kipumbavu, wahaya mna shida sana
Itakuwa ni mgeni wa ngumi ww. Mabondia kurudiana ni kawaida sanaaTunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .
Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .