Azam TV tafuteni mabondia wengine , Twaha kiduku na Dulla Mbabe tumewachoka , ni local boxers , nje hawafiki hata round 3

Azam TV tafuteni mabondia wengine , Twaha kiduku na Dulla Mbabe tumewachoka , ni local boxers , nje hawafiki hata round 3

Tunawashukuru sana Azam TV kwa kufufua mchezo wa ngumi , watu wameukubali na wanaunga mkono , lakini jaribuni kuwa wabunifu , haiwezekani mabondia wale wale wapigane mara zote .

Mabondia hawa hata kama hapa mnawaona wazuri kwa ajili ya promotion za biashara zenu , lakini hawana uwezo wa kupigana nje ya nchi , tafadhalini tafuteni mabondia wataoweza kutuwakilisha kimataifa .
Mkuu acha masihara mwakinyo wenu haiingii kwa twaha au
alipigwa Russia round ya kwanza tu
Kupigwa russia sio kigezo cha kumdisqualify
 
Back
Top Bottom