Azam TV tafuteni mabondia wengine , Twaha kiduku na Dulla Mbabe tumewachoka , ni local boxers , nje hawafiki hata round 3

Mchezo wa ngumi nia ni kupata pesa.
Ni kama mwanamziki bila matamasha pesa inapungua.

Sifahamu sheria inasemaje kuhusu muda wa bondia kupumzika baada ya pambano lake la mwisho.


Hii ndio hasara ya kupigana kila siku ngoja aongeze namba ya mapambano ya kupigwa mwisho wa siku hatakua headliner ila msindikizaji wa mabondia wenye record nzuri.
 
Hawa ndo mabondia wetu,eti wapigane na bondia wa kimataifa toka Tanga. Mkongo amewapa somo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…