Azam wakitua Bongo wapewe adhabu ya kulima shamba la matikiti wiki nzima

Azam wakitua Bongo wapewe adhabu ya kulima shamba la matikiti wiki nzima

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Haiwezekani timu ikawa na kila kitu lakini wachezaji wanacheza utadhani wamefungiwa matofali miguuni,

Timu ina miundombinu ya kisasa kabisa kama vile uwanja mzuri, Gym nk

Wachezaji wanalipwa mishahara na bonus kwa wakati,

Ikiwezekana wachezaji wapewe adhabu ya kulima matikiti ,viboko mujarabu na barua ya kujieleza kwanini wafungwe kizembe,

Bila kusahau wakatwe na mishahara.

Wachezaji hawana ari kabisa, sijui wanabweteka na kitu gani.
 
Wengine wanahangaika kupandisha points, Wengine wako bize kuziporomosha.

Nilikuwa nawaambia mashabiki wenzangu wa Yanga bora nafasi ya pili ashike Simba(Ushabiki wa kulikandamiza taifa langu ulinishinda asee) kuliko huyu Azam, ajikomaze kwanza kwenye Shirikisho.
 
Wengine wanahangaika kupandisha points, Wengine wako bize kuziporomosha.

Nilikuwa nawaambia mashabiki wenzangu wa Yanga bora nafasi ya pili ashike Simba(Ushabiki wa kulikandamiza taifa langu ulinishinda asee) kuliko huyu Azam, ajikomaze kwanza kwenye Shirikisho.
Kabisa mkuu
 
1719491767088.jpg
 
APR siyo wanyonge kiivyo, Uto angepangwa nae mida hii bendera inapepea nusu mlimgoti.
Mtani dishi limeyumba si bure!
Hivi goli la Dube assist ya Chama uliona Leo? Ile ni professional football hata Madrid wangefungwa.

Yanga iko level ingine tofauti na akili zako za kimbumbumbu zinavyokudanganya. Yanga hii si level ya APR au Simba huko tushatoka mwaka juzi!
Hata uto tukibeba world cup wewe bado utasema ni bahasha au ndumba!!

Sasa tutachukua points 6 kwenu kolokoloni sijui utasemaje!!Kipigo ni haki yenu makolo hadi mpige magoti na kusema shikamoo Yanga Africa!!
 
Wengine wanahangaika kupandisha points, Wengine wako bize kuziporomosha.

Nilikuwa nawaambia mashabiki wenzangu wa Yanga bora nafasi ya pili ashike Simba(Ushabiki wa kulikandamiza taifa langu ulinishinda asee) kuliko huyu Azam, ajikomaze kwanza kwenye Shirikisho.
Nilisema sana hili wengi wakapinga ila kwa mpenda mpira na nchi huwezi kwenda na Azam badala ya Simba kimataifa
Kupata point ni kazi sana Sasa Azam na ndugu zake coastal wao wanatupa tu
 
Mtani dishi limeyumba si bure!
Hivi goli la Dube assist ya Chama uliona Leo? Ile ni professional football hata Madrid wangefungwa.

Yanga iko level ingine tofauti na akili zako zinavyokudanganya. Yanga si level ya APR au Simba huko tushatoka mwaka juzi!
Hata uto tukibeba world cup wewe bado utasema ni bahasha au ndumba!!

Sasa tutachukua points 6 kwenu kolokoloni sijui utasemaje!!Kipigo ni haki yenu makolo hadi mseme shikamoo Yanga Africa!!
Ama kweli Utoponga wenye akili 2 tu.
 
Back
Top Bottom