Azam wamejipanga, mapacha wa Kariakoo lazima wapambane

Azam wamejipanga, mapacha wa Kariakoo lazima wapambane

The Wing

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,135
Reaction score
1,828
Azam! Azam FC Hawa jamaa baada ya muda mrefu kujitafuta hatimaye naona wamejipata. Wanatembeza vipigo vikali bila kujali ni uwanja upi. Leo baada ya kumkanda Kagera Sugar goli 4 Kwa yai, nawastua wababe wa Kariakoo pale wasipostuka kuna mmojawao atachomoka top 2 pale.
 
Azam wako serious sana msimu huu. Lakini pia unaweza kua msimu pekee kwenye historia ya Ligi kuu Tanzania Bara kwa wakati mmoja timu zote tatu kua kwenye ubora kuanzia uongozi imara (hakuna migogoro), ubora wa viwango vya wachezaji na timu zote tatu kua kwenye uchumi mzuri kifedha toka Azam apande daraja. Kwahiyo tutashuhudia mchuano mkali sana msimu huu toka kwa hizi timu tatu
 
azam anaweza ndio lakini vibonde viwili vilivyopo hasa yanga bado anasafari ambayo atashuhudia ukatili ukifanyika kwenye lango lake...
 
Azam wako serious sana msimu huu. Lakini pia unaweza kua msimu pekee kwenye historia ya Ligi kuu Tanzania Bara kwa wakati mmoja timu zote tatu kua kwenye ubora kuanzia uongozi imara (hakuna migogoro), ubora wa viwango vya wachezaji na timu zote tatu kua kwenye uchumi mzuri kifedha toka Azam apande daraja. Kwahiyo tutashuhudia mchuano mkali sana msimu huu toka kwa hizi timu tatu
Hakika
 
wachezaji wa azam wanatakiwa wazifunge simba na yanga waondoe mental block..
Hiyo ni kazi kubwa waliyobaki nayo. Nadhani huwa wanacheza wakiwa hawana hisia hasi upande wao.
 
wachezaji wa azam wanatakiwa wazifunge simba na yanga waondoe mental block..
Shida ya Azam sio kuzifunga simba na Yanga,
Azam ajizoeshe kupiga hizi team nyingine vipigo heavy mpaka wawe wanaiogopa Azam,

Kwa simba na Yanga mbona matokeo anapataga tu
 
Azam! Azam FC Hawa jamaa baada ya muda mrefu kujitafuta hatimaye naona wamejipata. Wanatembeza vipigo vikali bila kujali ni uwanja upi. Leo baada ya kumkanda Kagera Sugar goli 4 Kwa yai, nawastua wababe wa Kariakoo pale wasipostuka kuna mmojawao atachomoka top 2 pale.
Namsubiri Mikia FC atafanza nini gemu yao.
 
Azam wako serious sana msimu huu. Lakini pia unaweza kua msimu pekee kwenye historia ya Ligi kuu Tanzania Bara kwa wakati mmoja timu zote tatu kua kwenye ubora kuanzia uongozi imara (hakuna migogoro), ubora wa viwango vya wachezaji na timu zote tatu kua kwenye uchumi mzuri kifedha toka Azam apande daraja. Kwahiyo tutashuhudia mchuano mkali sana msimu huu toka kwa hizi timu tatu
Baada ya muda atarudi kwenye nafasi yake.
 
Kuna uzi humu ulikuwa unasema kuna timu ya kariakoo hajawahi kushika nafasi 3 ,hata bingwa awe nani

Sasa mwaka huu Azam akichukua nataka nione ni kweli huwa hivyo
 
Shida wamejipata wakati Mmbaya.. Kulwa na Doto wako macho, Bado naona ubigwa wa Ligi kuu utaendelea kuchukuliwa na kulwa na Doto kwa kipindi kingine cha Miaka 10
 
Back
Top Bottom