Azam wamejipanga, mapacha wa Kariakoo lazima wapambane

Kagera Sugar inashuka daraja ..
Safari hii wakulima wote kwenye ligi kuu huenda wakashuka daraja. Angalia wakulima wa miwa wa Kagera na Mtibwa! Na wale wakulima wa mounga kule Mbarali (hefu)! Wote hali ni tete.
 
Kuna watu naona waliona hatari na ndio maana mechi imesogezwa, Azam wamesha jipata nao wanawapa watu mzigo wa tatu tatu plus soka safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…