Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Unajichanganya mzee, umesema tuache muda uamue halafu hapohapo unasema ni mbwa asiye na meno. Mbona ushaamua kabla muda haujaamua?Muda ni rafiki wa kweli
Azam ni teeth less dog
na siyo hivyo tu itafanikiwa siku ambayo,viongozi wake wa juu,wataacha usimbaAzam itafanya vizuri tu siku itakapomiliki mashabiki kama wale wa timu za Yanga na Makolo.
Kinyume na hapo, hata wasajili wachezaji kutoka Sayari ya Mars, bado wataishia kuwa majeruhi, na pia kupata vitambi.
Ilipochukua ubingwa ligii kuu Tanzania bara ilikuwa na mashabiki Kama wa Simba na Yanga?Azam itafanya vizuri tu siku itakapomiliki mashabiki kama wale wa timu za Yanga na Makolo.
Kinyume na hapo, hata wasajili wachezaji kutoka Sayari ya Mars, bado wataishia kuwa majeruhi, na pia kupata vitambi.
Sasa kama ni ubingwa wa kubahatisha, mbona hata Mtibwa naye amechukua!Ilipochukua ubingwa ligii kuu Tanzania bara ilikuwa na mashabiki Kama wa Simba na Yanga?
well saidIlipochukua ubingwa ligii kuu Tanzania bara ilikuwa na mashabiki Kama wa Simba na Yanga?
Leo Wana friendly match na Esperance..saa ngapi na je Azam tv wataonyesha?Mtaani kunazungumzwa usajili wa timu mbili zaidi za Simba na Yanga lakini kuna timu ya Azam FC ambayo usajili wake siyo kwa Mashindano ya ndani kama wengine wasemavyo.
Usajili huu wa Azam FC unakwenda kuandika Historia nyingine tena Kimataifa kama walivyofanya Yanga.
Lakini pia usijeshangaa kuwaona Azam FC wakikalia kiti cha Ubingwa msimu ujao.
View attachment 2678881
Prison,Tukuyu Stars na Africa Sports pia ziliwahichukua na kubakia kuwa historia tu,Simba na gongowazi wataendelea ku dominate soka la bongo sana tu.Sasa kama ni ubingwa wa kubahatisha, mbona hata Mtibwa naye amechukua!