Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mtaani kunazungumzwa usajili wa timu mbili zaidi za Simba na Yanga lakini kuna timu ya Azam FC ambayo usajili wake siyo kwa Mashindano ya ndani kama wengine wasemavyo.
Usajili huu wa Azam FC unakwenda kuandika Historia nyingine tena Kimataifa kama walivyofanya Yanga.
Lakini pia usijeshangaa kuwaona Azam FC wakikalia kiti cha Ubingwa msimu ujao.
Usajili huu wa Azam FC unakwenda kuandika Historia nyingine tena Kimataifa kama walivyofanya Yanga.
Lakini pia usijeshangaa kuwaona Azam FC wakikalia kiti cha Ubingwa msimu ujao.