Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Jamani kwa muda sasa nimekuwa nikishangaa kwa nini Bhakresa kaamua kuweka nembo zenye picha za msikiti na maneno ya sara za kiarabu kwenye label za vinywaji vyake? Nilikuwa naona zile Azam Malt, vile vichupa vidogo vya mango na leo nimeona kwenye soda ya azam soda nanasina!
Naomba nieleweke kwamba lazima masuala ya dini yasiwe labeled kwenye vyakula au vinywaji.
Kwa nafasi hii napenda kuwatadharisha wakristo kuwa waangalifu wanunuapo na kutumia vinywaji hivi vya azam na pia toa tahadhali kwa wenzako kuviepuka vinywaji hivi. Ununuapo kinyaji cha azam chunguza label yao. Msikiti na maneno ya kiarabu wameweka kipicha kidogo sana ili kuwa blind watu wasione vizuri.
Kwa sababu nasema ukweli sintajali hata kama mtaniona mdini maana udini kaanzisha yeye aliyeweka label.
Naomba nieleweke kwamba lazima masuala ya dini yasiwe labeled kwenye vyakula au vinywaji.
Kwa nafasi hii napenda kuwatadharisha wakristo kuwa waangalifu wanunuapo na kutumia vinywaji hivi vya azam na pia toa tahadhali kwa wenzako kuviepuka vinywaji hivi. Ununuapo kinyaji cha azam chunguza label yao. Msikiti na maneno ya kiarabu wameweka kipicha kidogo sana ili kuwa blind watu wasione vizuri.
Kwa sababu nasema ukweli sintajali hata kama mtaniona mdini maana udini kaanzisha yeye aliyeweka label.