permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Mtu mwenyewe anaitwa Tausi kweli kuna makombe hapa!?Kunasura ukiziona kwa jicho la tatu unaona kabsa hapa hakuna kocha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwenyewe anaitwa Tausi kweli kuna makombe hapa!?Kunasura ukiziona kwa jicho la tatu unaona kabsa hapa hakuna kocha
Ila Dabo ukocha sijui aliupataaje maana nilikuwa kila nikimuangalia sioni kocha,nikaamua kujilazimisha lakini nafsi bado ilikataa kuamini kama ni kochaChidi ajitahidi kuwa kama dabo
Alama nyeusi haionekani kabisa
Mbumbumbu katika Moja na mbiliHapo Azam watafanikiawa lengo lao la kuifunga Simba.
Waliwafukuza
Manula
Kapombe
Erasto Nyoni
Shabalala
John Boko
Israeli mwenda
Beki Wawa
Na mmoja nimemsahau
Eti kwakuwa tu walikuwa na mapenzi na Simba.
Wakqmpeleka Prince Dube Yanga.
Wakatunyima Feitoto Simba.
Wakitufunga Simba wanaenda kufanya Sherehe Zanzibar na tajiri mtoto Yanga lialia.
Hii laana wataishia kucheza hapa hapa tu.
Hawatakuwa na ubavu hata kuvuka raundi ya kwanza ya kombo la shirikisho maisha yao yote.
Prince Dube Alisha tamka kuwa kuna timu wanaambiwa kabisa wasiifunge.
Ni Yanga.
Wangewapa hisa waanzilishiAzam hyo timu ilianzishwa na wafanyakazi wa bakhresa.baadae wakapokonywa umiliki ukaenda kwa bakhresa mwenyewe.
Sasa ile laana ya kupokonywa timu ndo matatizo yanapoanzia
Ulimsikia Prince Dube aliposema kuwa wanaambiwa wasiifunge timu fulani ?Mbumbumbu katika Moja na mbili
Azam ni Simba B
We hujui hilo
Walidanganywa na Mwili wa mazoeziIla Dabo ukocha sijui aliupataaje maana nilikuwa kila nikimuangalia sioni kocha,nikaamua kujilazimisha lakini nafsi bado ilikataa kuamini kama ni kocha
HakikaMzungu mzungu tuu wewe
Kwani Dube aliitaja ni timu ipi hiyo wasiifunge?Ulim
Ulimsikia Prince Dube aliposema kuwa wanaambiwa wasiifunge timu fulani ?
Unajua wanapoenda kusheherekea wakiifunga Simba ?
Ni nani anaye lipa ghalama za hiyo Sherehe?
Kwani wanashehelekeaga nini?
Au ndio wamechukua ubingwa wa ligi hapo ?
Waulize walipochukua nafasi ya pili ya ligi walienda kusheherekea wapi ?
Mwili wa mazoezi hata Denzel trainer anao 😄Walidanganywa na Mwili wa mazoezi
Kama msimamizi wa AZAM UKWAJUKunasura ukiziona kwa jicho la tatu unaona kabsa hapa hakuna kocha
Azam na Simba ni nduguUlim
Ulimsikia Prince Dube aliposema kuwa wanaambiwa wasiifunge timu fulani ?
Unajua wanapoenda kusheherekea wakiifunga Simba ?
Ni nani anaye lipa ghalama za hiyo Sherehe?
Kwani wanashehelekeaga nini?
Au ndio wamechukua ubingwa wa ligi hapo ?
Waulize walipochukua nafasi ya pili ya ligi walienda kusheherekea wapi ?
Huyo Amri kiemba alicheza lini Azam.Kwani Dube aliitaja ni timu ipi hiyo wasiifunge?
Haya ni maneno ya Amri Kiemba "Nilipokuwa nacheza Azam, tulikuwa tunajiandaa sana kwenye mechi ya Yanga kuliko Simba"
Aisee pole sana kwamba mwaka 2014 ulikuwa haujazaliwa? Kipindi ambacho Pascal Wawa akisajiliwa Azam pamoja na Amri Kiemba? Sasa kama 2014 hukuzaliwa kwanini unasumbua watu humu jukwaani wakati bado ni kinda sanaHuyo Amri kiemba alicheza lini Azam.
Mimi sikuzaliwa huo mwaka.
Ila nilimsikia Dube kwa masikio yangu kuwa walikuwa wanaambiwa wasiifunge timu fulani.
Uliona lini Azam wakiifunga Yanga wanafanya Sherehe ?
Wakiifunga Simba wanafanyia Sherehe Zanzibar na picha ninazo.
dabo is good, sema hana enough experience. you need experience but dabo is a genius. and very tactical. sema against yanga tu. against other teams sijui aoni.Ila Dabo ukocha sijui aliupataaje maana nilikuwa kila nikimuangalia sioni kocha,nikaamua kujilazimisha lakini nafsi bado ilikataa kuamini kama ni kocha
Hilo hata mi nitaka niseme ila kwa kuwa ana sijda usoni, ni kocha mzuri. 😀😃😄😁Kunasura ukiziona kwa jicho la tatu unaona kabsa hapa hakuna kocha
Pale azam viongozi wao wote wana timu zao hapa Tanzania wanazoshabikia.Wangewapa hisa waanzilishi