Azam yamtangaza Rachid kuwa kocha wao mpya

inaonekana kigezo mojawapo cha kuwa kocha wa Azam Fc ni dini......
hawa jamaa kwa mentality hii hawawezi kufanikiwa !
 
inaonekana kigezo mojawapo cha kuwa kocha wa Azam Fc ni dini......
hawa jamaa kwa mentality hii hawawezi kufanikiwa !
Taja orodha yote ya makocha wa azam waliopita tuone wakristo wangap na waislam wangap? acha udini, watu wa mikoani mnaendekeza sana udini.
 
Azam laZima wazingatie dini

Sasa coach ni Rashid
acha ujinga wewe,kuleta udini hapa,azam makocha wangapi wakristo walishapita hapo?stewart hall,ettiene ndayiragije,joseph omog,george lwandamina,plugim b.k
ukikosa la kuandika nenda chooni ukanye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…