AzamPay preps to launch AzamPesa

AzamPay preps to launch AzamPesa

Jamaa cjui wana akili ggani ...ukimwambia yeye aanzishe alipe mishahara ya wafanyakazi watano tu hawezi afu mtu aliejiri maelfu ya watanzania anataka apigwe stop wtf
 
Alafu nyie wakenya msitupangie fala nyie kwanza mmeshindwa hata kuzzalisha mabilionea ..afu mnakuja leta porojo huku ..
 
Hata nashangaa kwa nini huyu jamaa hajaanzisha benki. Hio ndio industry pekee iliyobaki na soon najua ataanzisha benki au pia anaweza kununua existing bank. Yaani jamaa anadominate uchumi wenu vibaya sana.
Kenyatta family dominates Kenya's resources.....
 
Jamaa cjui wana akili ggani ...ukimwambia yeye aanzishe alipe mishahara ya wafanyakazi watano tu hawezi afu mtu aliejiri maelfu ya watanzania anataka apigwe stop wtf
🤣🤣🤣
 
Angalia kampuni ya METLE kazi yake na jamaa kaisambaza nchi ngapi africa ...we ukiona mmbongo hajui viwanda vya mo bhc ujue ni shabiki wa yanga kindaki ndaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]..hio kiwanda moja ni sawa na juice zote za azam + unga aina zote za azam ..note bss mikoa mingine hukuti bizaa zake ila ukiwa dsm ndio daily utakuta
 
Upuuzi gani katetea mbona we ndio huna hoja .mtu kajenga viwanda kibao katoa ajira kibao na hujawai sikia kua ana kesi za kukwepa kodi ..sasa wazani yeye akiacha izo shughuli hao watz walioajiriwa ww utaeza kuwaajiri ..au kisa ana asili ya uarabu ndio mnaleta ubaguzi
Viwanda vya mo viko wapi
 
Angalia kampuni ya METLE kazi yake na jamaa kaisambaza nchi ngapi africa ...we ukiona mmbongo hajui viwanda vya mo bhc ujue ni shabiki wa yanga kindaki ndaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]..hio kiwanda moja ni sawa na juice zote za azam + unga aina zote za azam ..note bss mikoa mingine hukuti bizaa zake ila ukiwa dsm ndio daily utakuta
Iko location gani iyo kampuni
 
Nikuelekeze ukaombe kazi au ..mzee una smart phone google hapo uone kazi zake na viwanda vyake acha kubisha kama mtoto mdogo wakat majib unayo kiganjani mwako
 
Mo yuko juu ya huyo azam ..mo anauza vifaa vya umeme kuanzia majiko, pasi ,wire ,ma fridge ,nk ..mo anazo mpaka piki piki mzee
Fridge na pikipiki alizoimport sio? Huo ni ujinga. Anastahili kujenga viwanda vya kutengeneza fridge na pikipiki. Sio kuimport na kuwauzia nyie. Yaani yeye anafanya kazi ya umiddle-man.
 
Fridge na pikipiki alizoimport sio? Mo ana ujinga. Anastahili kujenga viwanda vya kutengeneza fridge na pikipiki. Sio kuimport na kuwauzia nyie. Yaani yeye anafanya kazi ya umiddle-man.
We huko kenya matajiri wenu wameamua kuwekeza kwenye ku bet sportpesa ..utafananisha kampuni ya metle ..jua kwanza bizaa zinazozalishwa hapo afu tuone kama utarud hapa kuongea utumbo
 
Naomba kujua uko mkoa gani ili nikupe maelezo mazur
 
Alafu nyie wakenya msitupangie fala nyie kwanza mmeshindwa hata kuzzalisha mabilionea ..afu mnakuja leta porojo huku ..
Hatuna mabilionea kwa sababu sisi hatujakaliwa vichwani na waarabu kama nyinyi. Nyinyi waarabu wamewakalia vichwani. Huku Kenya tunasema "wamewakalia chapati"
 
Huyu Muarabu si atadominate industries zote Tanzania. Kuanzia Azam tv, Azam drinks hadi sasa ameingia kwenye Azampesa. Aisee kwani Tanzania ina mwanamme mmoja tu hao wengine ni mazombie?
mkuu usisahau pia kuna ndege za azam
 
Hatuna mabilionea kwa sababu sisi hatujakaliwa vichwani na waarabu kama nyinyi. Nyinyi waarabu wamewakalia vichwani. Huku Kenya tunasema "wamewakalia chapati"
Nchi haina bilionea hata mmoja afu inakuja ongea nn hapa hao mamilionea wenu huku sisi tunawaita machawa wa mo
 
Hivyo vyote hapo atakua ana import au sio
Screenshot_20210624-155757.jpg
Screenshot_20210624-155842.jpg
 
Jamaa ana pruduce pia ana import ...kama waona ku import ni rahisi fanya ww ku import matrecta 1000 na pikipiki 1000
 
Ofis zake au company ziko wapi
Mo ni mhujumu wa uchumi. Mo ni middleman. Kazi yake ni kuimport finished products na kuziuza. Hafanyi value addition kama vile Azzam anavyofanya. Nionyeshe kampuni ya Mo inayounda finished product hapo TZ. Azzam anaunda juice, unga na kadhalika. Yaani anafanya value addition.
 
Which resources?
NCBA Bank....Ksh 8.5 Billion

The family owns tracts of lands.....
The family owns diary farms.....
The family is interested in hospitality.....
The family is interested in banks.....

Acha maneno maneno wewe....

Hata Moi na familia yake pia ni WAWEKEZAJI WA KUFA MTU.....
 
Back
Top Bottom