zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Mo energy,mo chungwa etc..mafuta ya masafi maji ya maisha etc ivi ulitaka bizaa moja tuh eehMo ni mhujumu wa uchumi. Mo ni middleman. Kazi yake ni kuimport finished products na kuziuza. Hafanyi value addition kama vile Azzam anavyofanya. Nionyeshe kampuni ya Mo inayounda finished product hapo TZ. Azzam anaunda juice, unga na kadhalika. Yaani anafanya value addition.