AzamPesa ipo poa sana, bei zipo chini, ila kwanini SSB hawaweki mawakala wengi mtaani?

AzamPesa ipo poa sana, bei zipo chini, ila kwanini SSB hawaweki mawakala wengi mtaani?

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, leo nimejaribu kudownload app ya Azam pesa na kujaribu kucheki gharama zao, kiukweli wana gharama ndogo sana ukilinganisha na MNO wengine, ila shida sasa ni mawakala wao đź’” hawana mawakala kabisa?

Kwanini SSB wasifanye kampeni kubwa ya kupita kila kibanda cha Mawakala kuwafungulisha uwakala wa AzamPesa? Au wanasubiri mawakala waje ofisini kwao? Naiona kama kitu kizuri sana kama wataweza kuvuka mtego wa mawakala wengi.

Ni hayo tu kwa leo
 
App ile hairuhusu kuscreenshot, ila kutuma pesa kwenda mitandao yote ya simu ni bure kabisa, hukatwi hata pesa ya tozo,
Ukiona hivi ujue Hawana Commision kubwa, ile hela unayokatwa Ukituma, ukitoa ujue na mwenye Kibanda cha Mpesa na yeye anapata pale pale, kama Azampesa haina hio ndio sababu unaona kwanini wenye Vibanda hawaikimbilii.
 
Ukiona hivi ujue Hawana Commision kubwa, ile hela unayokatwa Ukituma, ukitoa ujue na mwenye Kibanda cha Mpesa na yeye anapata pale pale, kama Azampesa haina hio ndio sababu unaona kwanini wenye Vibanda hawaikimbilii.

Mawakala wanalipwa kwenye kuweka na kutoa na pesa, kwenye kutoa napo najua wana makato pia though sio makubwa, ila mitandao yote kuweka pesa kwa wakala ni bure
 
App ile hairuhusu kuscreenshot, ila kutuma pesa kwenda mitandao yote ya simu ni bure kabisa, hukatwi hata pesa ya tozo,
Kwa hiyo kujiunga nao ni mpaka upakue kwanza app yao sio?
 
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, leo nimejaribu kudownload app ya Azam pesa na kujaribu kucheki gharama zao, kiukweli wana gharama ndogo sana ukilinganisha na MNO wengine, ila shida sasa ni mawakala wao đź’” hawana mawakala kabisa?

Kwanini SSB wasifanye kampeni kubwa ya kupita kila kibanda cha Mawakala kuwafungulisha uwakala wa AzamPesa? Au wanasubiri mawakala waje ofisini kwao? Naiona kama kitu kizuri sana kama wataweza kuvuka mtego wa mawakala wengi.

Ni hayo tu kwa leo
Hata hawa unaoona wako na gharama kubwa walikuwa cheap mwanzoni...... wakati wa kupandisha gharama waja!!
 
Kila mwanzo huwa hivyo, watafanya vizuri sana kwenye soko, naamini kabisa.
 
Mtu aliyeko NYAKITONTO kule kigoma akitaka kuweka ela kwenye account ya azam anawekaje
 
Mimi nauliza kuna app ya kuweka hela hata kama ikitokea nikapoteza namba ya simu ila hela nikawa na uwezo wa kuitoa?
Yaani kwa sasa natumia mtandao X, baadae nikapoteza namba ya huo mtandao, Ila nikaweza kuitoa ile hela kwa mtandao Y?
 
Hawa AzamPesa walicho kosea ni kuleta hiyo huduma bila kutoa elimu kwa raia.

Mfano mitandao mingine unapaswa uwe na laini ya mtandao husika kisha unaweza kuweka ama kutoa pesa huko. Sasa hawa AzamPesa nao wana laini zao? Ama naweka na kutoa vipi pesa kuna nini hapo katikati mpaka naweka na kutoa pesa.
 
Bila kuwa na line yake mwisho wa siku atashindwa tu..., huwezi ukawa unawategemea wengine kwa miundo mbinu na nyote mnafanya kitu kilekile alafu utegemee utoe huduma cheaper kuwazidi na ufanye kwa ufanisi, hata ukifanya hivyo itakuwa ni kwa muda mfupi ili kuvutia wateja
 
Bila kuwa na line yake mwisho wa siku atashindwa tu..., huwezi ukawa unawategemea wengine kwa miundo mbinu na nyote mnafanya kitu kilekile alafu utegemee utoe huduma cheaper kuwazidi na ufanye kwa ufanisi, hata ukifanya hivyo itakuwa ni kwa muda mfupi ili kuvutia wateja
Kwani Visa na MasterCard wana line za Simu? Hizi wallet Duniani kote zipo, cha muhimu wawe creative tu.
 
Kwani Visa na MasterCard wana line za Simu? Hizi wallet Duniani kote zipo, cha muhimu wawe creative tu.
Aisee..., Visa na MasterCard ni Payment Gateway / Processors ambapo outlet yake ni Mobile Money Operators au hata Banks through ATM wanafanya kazi na BANKS au na Mtu yoyote mwenye outlet kwa kugawana commissions.....

Now ukitaka kwenda kwa mwendo wa APP ambayo ni through internet pekee wakati wenzako hata kwenye dump phones wanapiga Bingo hapo unakuwa una a disadvatange...

AZAM PESA achana na zile AZAM PAY ambapo wanatumia woocommerce kwenye malipo ya online (same kama Selcom Mobile) inabidi ili watumie mawakala watumie line za either Airtel, Tigo, Voda, TTCL au Halotel wote hao hii Mobile Money through mawakala.... na Mobile payment is one of their main business, kwahio kuna uwezekano wa kuwazibia hence ni vigumu kupambana nao through prices..., Nikupe mfano....

Selcom Mobile alikuwa na Mashine yenye facilities za Kibenki kupitia mawakala hata kabla ya kina NMB na CRDB muda si muda kwenye mikataba CRDB wakamyima Mkataba na NMB pia wakajitoa akabakia na Mabenki ambao hawajasambaa kila mahali (moral of the story kama unategemea infrastructure ya competitor wako inakupunguzia bargaining power)
 
Sawa Logikos huyu Azam pesa anafanyaje kazi. Yaani bila kuwa na laini naweza kuweka na kutoa pesa?
 
Sawa Logikos huyu Azam pesa anafanyaje kazi. Yaani bila kuwa na laini naweza kuweka na kutoa pesa?
Kuna njia mbili either utumie APP kwa kutumia Internet kwenye Smart Phone yako AU

Kwa kutumia USSD Code *150*08# sasa sababu unatumia hii kwenye line za watu lazima hapo mtaingia mkataba wa kugawana mapato na utaweza tu kumpa mapato kidogo huyo mwenye line yake iwapo yeye hana uwezo wa kupata wateja wengi kama wewe au ni partner wako na sio direct competitor (na akiwa direct competitor ni ngumu kwako wewe ku offer cheaper service kuliko yeye)
 
Back
Top Bottom