raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hawa jamaa mara nyingi kujichanganya ni wao kwa wao tuhivi hawa wahindi wamezaliwa hapa, wameishi hadi wamezeeka lakini hawajui kiswahili vizuri huwa sababu yake nini, au wanajifanyisha?
Kumbe nawe ni mojawapo katika hawa waumini wake, pole!Mtulie, tupo wengi nyuma ya Gwajima. Wafunike madomo yao tu
manake hata kina modewj wakati mwingine unaona kabisa hayuko fluent 100% wakati amezaliwa singida hapo almanusura alitakiwa akijue na kinyaturu. lakini siwashangai kwasababu hata waswahili usukumani huko utakuta mtu hata kiswahili hakijui,Hawa jamaa mara nyingi kujichanganya ni wao kwa wao tu
Na wao kwa wao mara nyingi utakuta ni gujarat tu mwanzo mwisho ππππ
nakupa pole wewe maana siku si nyingi unapigwaaaaaaaaaaa kwa Jina la Yesu aliye hai
Kumbe wewe ndiye huyo Mchungaji Kibwetere aka aka askofu/mbunge aka baunsa au hujui unaongea na nani ibilisi wahed wewe, hebu nipe tafsiri ya maneno unayoongea kwenye hiyo video wewe shetani! Usilitaje bure Jina la Bwana...nakupa pole wewe maana siku si nyingi unapigwaaaaaaaaaaa kwa Jina la Yesu aliye hai
Nazilipua falme zako za kipepo paaaaaaaa! kwa jina la Yesuuuu!. Tunazika mashetani yote mwaka huu, hatutavuka na vipepo uchwara mwaka huuKumbe wewe ndiye huyo Mchungaji Kibwetere aka aka askofu/mbunge aka baunsa au hujui unaongea na nani ibilisi wahed wewe, hebu nipe tafsiri ya maneno unayoongea kwenye hiyo video wewe shetani! Usilitaje bure Jina la Bwana...