Azim Dewji awajibu wanaomponda Chasambi, adai "mimi mbona nampenda Maxi, je mi ni Yanga?

Azim Dewji awajibu wanaomponda Chasambi, adai "mimi mbona nampenda Maxi, je mi ni Yanga?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mfadhili wa zamani wa Simba SC, Azim Dewji amesema haoni maana yoyote ya kosa la Ladack Chasambi katika mechi ya Fountain Gate lizue mjadala kwa sababu alishawahi kumtaja mchezaji wa Yanga Maxi Nzengeli kama mchezaji kioo chake.

Dewji amesema yeye pia anampenda Maxi Nzengeli na ndiye mchezaji anayetamani kuona akipewa uraia wa Tanzania lakini hiyo haijabadilisha chochote kuhusu Usimba wake.

 
Ukweli usemwe mashabiki wa soka Bongo wengi ni vilaza.

Mwingine ananiambia pale Camara bora angedaka ingekua penati na angepewa kadi ya njano. Namuambia sio kweli pale angekua amewanyima Fountaine Gate nafasi ya kupata goli hivyo angepewa kadi nyekundu na ingepigwa faulo ndogo ndani ya box.

Ananiambia hakuna faulo ndani ya box, hiyo ni penalty. Imagine mtu ana miaka zaidi ya 35 hajui kama kuna indirect freekick, kweli?

Ukitoa Simba na Yanga mashabiki wa Bongo vichwani weupe hadi sio poa. Huyo Chasambi atapata shida kwasababu yupo kwenye nchi ambayo watu hawajui chochote kuhusu mpira.
 
Ukweli usemwe mashabiku wa soka Bongo wengi ni vilaza.

Mwingine ananiambia pale Camara bora angedaka ingekua penati na angepewa kadi ya njano. Namuambia sio kweli pale angekua amewanyima Fountaine Gate nafasi ya kupata goli hivyo angepewa kadi nyekundu na ingepigwa faulo ndogo ndani ya box.

Ananiambia hakuna faulo ndani ya box, hiyo ni penalty. Imagine mtu ana miaka zaidi ya 35 hajui kama kuna indirect freekick, kweli?

Ukitoa Simba na Yanga mashabiki wa Bongo vichwani weupe hadi sio poa. Huyo Chasambi atapata shida kwasababu yupo kwenye nchi ambayo watu hawajui chochote kuhusu mpira.
Mashabiki wengi wa TANZANIA ni mafukara na ndio mtaji mkubwa wa wanasiasa.
 
Back
Top Bottom