Huyu Dewji kila siku yupo kwaajili ya kuwatetea waliofeli, mara amtetee mama Abdul sasa anamtetea mdogo wake.
Kama hataki waliotufelisha wote waondoshwe maana yake anataka tuendelee kuwaacha wazidi kutuharibia?
Huyu gabachori mkubwa nae hajielewi. Kwanza amwambie mdogo wake atuwekee mezani zile bilioni 20 alizotudanganya kwa hundi feki..
Akishindwa kutuonesha wapi mzigo ulipo yeye na mdogo wake wafungashe, ile Simba Sc ni brand kubwa sana haiwezi kukosa wadhamini hata watatu.