Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Wazo zuri mnoo kiujumla. Safi sana.

Vita kubwa tukizo nazo ni kujishinda tamaa zetu wenyewe. Hii ni kubwa kuliko hata kupambana na dini ingine au hata shetani na mashetani.

Well done topic
 
Majuzi hapa nilikuwa nasoma habari fulani mtandaoni kuhusu hii adult film induatry ..nikaona wanasema Hungary ni one of the lead country kwa Eastern Europe na duniani kwa kuwa na performers wa hii kitu ..aisee sasa nikasema embu ngoja ni google CV za hawa actors na actress eh bwana eh kuna wengine ni walikuwa na profile kubwa mfano wapo waliokuwa Ma Miss + wasomi wazuri kabisa engineers, Nursea (registered with licence) sasa bado najifanya research kuhusu vipato vyao na swala afya maana dah unakuta mdad ana shindiliwa dushe la 0714 kama K na huyo mfanyaji Je usalama wake kiafya upoje
 
Hiyo industry inawalipa Sana ndio maana wanajiingiza humo, just imagine mtu kama miss mwenye tittle anajizima data na kuingia kwenye hayo mambo,pesa ni shetani Sana.

Sawa Sawa na kupata habar au picha za udaku huko marekani kwa mastaa,kuna mwamba mmoja ana kampuni ya ujenzi lkn aliacha hiyo shughuli na kuingia mtaani kupata picha za mastaa na mambo Yao anakwambia anaingiza hela kubwa balaa
 
luangalila ingawa utafanya utafiti wako upande WA afya, nishaona youtube actors ambao wameathirika na maradhi mbali mbali,wakilalamika kuhusu company kutowajali na kwenda kinyume na makubaliano kuhusu huduma za afya na mambo kama hayo, lkn huenda zinategemeana kampuni na kampuni
 
Okay
 
Kuna mmoja niliona humo youtube akisema ilimbidi afanye upasuaji papuchi yake sababu baadabya kushuvhulikiwa na mandingo papuchi yake ililegea ikabidi akaibane πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mkuu nipo na brother hapa anakwambia akipiga mara 1 kwa wiki vipi sio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…