Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Azimia kuacha kuangalia video/picha za ngono 2023

Nimefuatilia uzi wako pamoja na comments zako mwanzo mpaka mwisho.

Ni ushauri mzuri unautoa wa kusaidia vijan wadogo mpaka wakubwa.

Nimewahi ingia Tanesco tumepanga folen kuja jamaa amevaa magwanda ya ccm yupo mbele yng nakuta anaperuzi website ya porn, nilishangaa sana.!

Kwa kuongezea mawazo yako nafikiri tushauri vijana waoe ilimradi tu umebarehe yaani miaka 18, 19 mpaka 20 oa ili kuzuia haya majanga.
Ukizidisha umri huo hujaoa yaani huna pa kupunguzia shahawa zako, believe me huwezi kukwepa punyeto hata Kama unamiliki nokia kitochi na hujui kama kuna websites za ngono.

Mfano mimi mwenyw nilianza darasa la sita from no where lkn nilikuja kuacha baada ya kuoa.

Ukweli ni kwamba sisi afrik tuna aminisha vijana wetu kuoa wakiwa wamejenga, wana pesa ya kutosha mara at least miaka 28 mpaka 35 mtu bado anatafuta maisha kuoa kakuwek kando, utaponea wapi punyeto weweeee.!!

Kwa hiyo tujikite kuona sababu ni nini na kushauriana.
Mi mwanangu akifikisha miaka 18 hata kama yupo shule nashauri aoe maana atanidanganya kwamba hana mihemko, wazungu pia ni mfano mzuri wao age 15 tayari ana sehemu ya kukojolea.
Hayo ma punyeto atayatolea wapi na ma porn??
Mkuu Kwanza nianze Kwa mshangao ambao nawe uliupata Kwa huyo jamaa ambaye ndani ya foleni na pilika pilika za kupata huduma na bado akawa na gati ya Kuangalia porn, ebu jiulize akiwa free bilasha ndio balaa zaidi.

Tukija katika wazo la pili ni kweli kabisa suluhisho ya haya mambo yote pamoja na kuepuka zinaa ni kuoa Tu.

Hiyo ndio njia nzuri na njema ya kufuata,kuna haja ya Kuangalia ni kwa namna gani kama jamii ikabadili mtazamo na kuona kwamba Jambo la kuoa ni muhimu sana katika kulinda utu WA mtu na kuwa na jamii Bora inayo thamini umuhimu wa familia.

Mahari ziwe nyepesi ili kumuwezesha kijana afanikishe swala zima la kuoa,nadhani wewe ni Shahidi ingawa watu wengi wanaponda kuwa waislamu Wana mahari nyepesi lkn waliona mbali hii yote kuhakikisha ndoa zinafungwa na watu waepuke machafu mbali mbali.

Kwahiyo nakubaliana na wewe kabisa kuna haja ya Kuangalia namna ya kuhamasisha ndoa zaidi na kuweka miundo mbinu rahisi katika kufanikisha Hilo.
 
Kwanza hongera kwa kupona na hii inaonyesha kuwa kila kitu kinawezekana kama ukiwa na dhamila njema.

Pole Sana ulienda kuomba ushauri Kwa shetani. (Shetani ni Jambo ovu au mtu muovu au mapepo)
Kabisaaa mkuu ni moja ya ulevi unaodumaza fikra na mwili pia.
 
Mkuu Kwanza nianze Kwa mshangao ambao nawe uliupata Kwa huyo jamaa ambaye ndani ya foleni na pilika pilika za kupata huduma na bado akawa na gati ya Kuangalia porn, ebu jiulize akiwa free bilasha ndio balaa zaidi.

Tukija katika wazo la pili ni kweli kabisa suluhisho ya haya mambo yote pamoja na kuepuka zinaa ni kuoa Tu.

Hiyo ndio njia nzuri na njema ya kufuata,kuna haja ya Kuangalia ni kwa namna gani kama jamii ikabadili mtazamo na kuona kwamba Jambo la kuoa ni muhimu sana katika kulinda utu WA mtu na kuwa na jamii Bora inayo thamini umuhimu wa familia.

Mahari ziwe nyepesi ili kumuwezesha kijana afanikishe swala zima la kuoa,nadhani wewe ni Shahidi ingawa watu wengi wanaponda kuwa waislamu Wana mahari nyepesi lkn waliona mbali hii yote kuhakikisha ndoa zinafungwa na watu waepuke machafu mbali mbali.

Kwahiyo nakubaliana na wewe kabisa kuna haja ya Kuangalia namna ya kuhamasisha ndoa zaidi na kuweka miundo mbinu rahisi katika kufanikisha Hilo.
Amen.
 
Nimefuatilia uzi wako pamoja na comments zako mwanzo mpaka mwisho.

Ni ushauri mzuri unautoa wa kusaidia vijan wadogo mpaka wakubwa.

Nimewahi ingia Tanesco tumepanga folen kuja jamaa amevaa magwanda ya ccm yupo mbele yng nakuta anaperuzi website ya porn, nilishangaa sana.!

Kwa kuongezea mawazo yako nafikiri tushauri vijana waoe ilimradi tu umebarehe yaani miaka 18, 19 mpaka 20 oa ili kuzuia haya majanga.
Ukizidisha umri huo hujaoa yaani huna pa kupunguzia shahawa zako, believe me huwezi kukwepa punyeto hata Kama unamiliki nokia kitochi na hujui kama kuna websites za ngono.

Mfano mimi mwenyw nilianza darasa la sita from no where lkn nilikuja kuacha baada ya kuoa.

Ukweli ni kwamba sisi afrik tuna aminisha vijana wetu kuoa wakiwa wamejenga, wana pesa ya kutosha mara at least miaka 28 mpaka 35 mtu bado anatafuta maisha kuoa kakuwek kando, utaponea wapi punyeto weweeee.!!

Kwa hiyo tujikite kuona sababu ni nini na kushauriana.
Mi mwanangu akifikisha miaka 18 hata kama yupo shule nashauri aoe maana atanidanganya kwamba hana mihemko, wazungu pia ni mfano mzuri wao age 15 tayari ana sehemu ya kukojolea.
Hayo ma punyeto atayatolea wapi na ma porn??
Wakati wazungu ndo wanaongoza kwa izo porn haijalishi ni mtu mzima wala nini na kwao ni kitu cha kawaida,kikubwa ni malezi na utandawazi umeharibu jamii
 
Mkuu Kwanza nianze Kwa mshangao ambao nawe uliupata Kwa huyo jamaa ambaye ndani ya foleni na pilika pilika za kupata huduma na bado akawa na gati ya Kuangalia porn, ebu jiulize akiwa free bilasha ndio balaa zaidi.

Tukija katika wazo la pili ni kweli kabisa suluhisho ya haya mambo yote pamoja na kuepuka zinaa ni kuoa Tu.

Hiyo ndio njia nzuri na njema ya kufuata,kuna haja ya Kuangalia ni kwa namna gani kama jamii ikabadili mtazamo na kuona kwamba Jambo la kuoa ni muhimu sana katika kulinda utu WA mtu na kuwa na jamii Bora inayo thamini umuhimu wa familia.

Mahari ziwe nyepesi ili kumuwezesha kijana afanikishe swala zima la kuoa,nadhani wewe ni Shahidi ingawa watu wengi wanaponda kuwa waislamu Wana mahari nyepesi lkn waliona mbali hii yote kuhakikisha ndoa zinafungwa na watu waepuke machafu mbali mbali.

Kwahiyo nakubaliana na wewe kabisa kuna haja ya Kuangalia namna ya kuhamasisha ndoa zaidi na kuweka miundo mbinu rahisi katika kufanikisha Hilo.
Vijana wa kuoa walikuwa zamani mkuu,sasaivi maisha magumu na usawa ulivyokaza mtu kuoa mpk avuke miaka 30 wazungu wao wanawah kuoa au kuolewa lakin ndo wanaongoza kuangalia porn
 
Vijana wa kuoa walikuwa zamani mkuu,sasaivi maisha magumu na usawa ulivyokaza mtu kuoa mpk avuke miaka 30 wazungu wao wanawah kuoa au kuolewa lakin ndo wanaongoza kuangalia porn
Wale wana Laana mkuu
 
mimi nilishaishinda miaka saba sasa ila wife akiniuzi huwa nastua tena mbele yake ili kumuonyesha kuwa mimi ni mhuni mwenye Fujo zisozo umiza si unajua zile mambo eti leo nimechoka namwambia tulia nastua kimyaa.
 
mimi nilishaishinda miaka saba sasa ila wife akiniuzi huwa nastua tena mbele yake ili kumuonyesha kuwa mimi ni mhuni mwenye Fujo zisozo umiza si unajua zile mambo eti leo nimechoka namwambia tulia nastua kimyaa.
We Noma mkuu hahah
 
Hii kitu ni hatari NOFAP NDIO MSAADA ingia google soma au ni PM dopamine inawasumbua
 
Tubadilike ndugu zangu porn zinatuweka mbali na utukufu wa Mola wetu, kuangalia utupu ambao sio WA mume wako au mke wako ni haramu na INA mchukiza Sana muumba wetu
Ndiyo sisi wenyewe tunajiweka mbali na utukufu wa Mola. Pia ni kujiharibu binafsi kihisia, kiafya, kijamii na mengineyo.

Lakini kuhusu kumchukiza Mungu walaa tusijiproud. Mungu ni mkuuuubwa mno kuchokozwa na binadamu kadoogo hivyo.

Kama porn imekuumiza jiombe msamaha, kama imemuumiza mkeo muombe msamaha, mmeo vilevile. Kwa Mungu tukaombe tu nguvu ya kupambana na kuonesha kutubu, toba ni kubadili ufikiri kabisa uwe katika namna ya kuacha dhanbi husika. Mungu mpe moyo.
 
Back
Top Bottom