Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
We uoni kafanya jambo la maendeleo.Duuuuu aiseee kweli wanaume tuna kazi........ kwa hiyo huyo mwanamke ana akili?
Ila ndugu zangu kama type zenyewe za wanawake ndio hawa ,bora mnyetuke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uoni kafanya jambo la maendeleo.Duuuuu aiseee kweli wanaume tuna kazi........ kwa hiyo huyo mwanamke ana akili?
Ila ndugu zangu kama type zenyewe za wanawake ndio hawa ,bora mnyetuke.
Kwani nyumba walitengeneza pamoja wakiwa kwenye ndoa mpaka aombe 50 50?Sheria si inasema mkiachana mume na mke mali zote mnagawana 50/50 au???
Bila kumwambia mwenzake, acheni kujitoa ufahamu kuweni na uhuruma.We uoni kafanya jambo la maendeleo.
Kutokutoa Kodi tenaSubiri kwanza kuzimia kupo kwa aina mbili Kuna kuzimia kwa furaha na huzuni jamaa alizimia kwa lipi hapo..?
Vipi Kama alizimia kwa furaha kwa kujua kuanzia muda huo hatotoa Kodi Tena..?Kutokutoa Kodi tena
Neno “mpambanaji” unalichukulia simple sana, kuunga unga tena mpaka ifike million 90, sio leo wala kesho mzee, labda uingie kwenye ngadaUnagawana mali na mwanamke kama wewe sio mpambanaji,kama umezaa nae unamuachia tu unaanza upya.Unaziweka urithi watoto then unapeleka document government custod kwa wosia maalumu mali za watoto wakabidhiwe ikifika umri fulani,mama yao ni msimamizi haziruhusiwi kuuzwa hadi unaweka specific umri ambao watoto watakuwa wamejitambua.
Atakaeuza na atakae nunua imekula kwake.
Ok nijibu hili swali, tufanye mume alkuwa ana nyumba pembeni akamficha mke wake, siku ikatokea wameachana, mke ana haki kwenye ile nyumba ambayo hawakutengeneza pamoja??Kwani nyumba walitengeneza pamoja wakiwa kwenye ndoa mpaka aombe 50 50?
Means alizimia Kwa furaha,kutokulipa Kodi na wakiachana mgao yumo😆🤸Vipi Kama alizimia kwa furaha kwa kujua kuanzia muda huo hatotoa Kodi Tena..?
Wengi watakupinga yaani unakuta mwanamme anapata hela afu haionekani bora mwanamke ujiongezeHuyo mwanamke ana akili hao ndio wanawake wa kuoa kaona mmewe hana akili ya maisha ye kajitahidi kujenga nyumba. Na usikute hizo pesa za pango zote zipo fixed account miaka 15 ni milioni 90.
Mme unapewa ukafanyie biashara.
Wapo wanaume wapumbavu wengi wameokolewa na wake zao wao ni ulevi tu
Kwangu hii ni comment bora kabisa kwa mwaka huu.Ukiona una mwanamme haeleweki ni bora ufanye mambo yako,mfano unakuta limwanaume linawaza kununua gari ya kutembelea huku halina nyumba au biashara nyingine(wengine wananunua magari ya biashara ye ananunua la kutambia kwa ndugu zake) unaona mipango yake ni ya kijingajinga kazi yake kutaka kuwafurahisha watu my friend kama we ni mwanamke badala ya kugombana naye kwamba kwa nini hafanyi vitu vya maendeleo we endelea kuwekeza kivyako,utanishukuru badae
HaaahaaSubiri kwanza kuzimia kupo kwa aina mbili Kuna kuzimia kwa furaha na huzuni jamaa alizimia kwa lipi hapo..?