Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

Azimio La Arusha: Why We Were Dead Wrong!

- Ulianza vizuri na hoja sasa umeanza personal, vipi mkuu lets stick kwenye hoja, sihitaji kukujadili wewe nanajadili taifa!

William.

Mutuz,kama husipoleta hoja nzito za kuonyesha madhaifu ya azimio,ni sawa na kubisha tu. Umeambiwa na wakuu hapa kwamba lete facts za udhaifu wa azimio na mafanikio ya "maazimio" mbadala. Wewe hufanyi hivyo bali unang'ang'ana na watu wameliwa na fisi na simba.

W. J. Malecela,leta hoja za ku-validate hoja yako,la sivyo utakuwa unabisha tu. That is a fact. Nothing personal mkulu Willie.
 
Last edited by a moderator:
Unarudi kwenye tatizo lile lile la kutojali kabisa kujadili and appreciate 'NIA' ya Sera ya Azimio la Arusha, badala yake unazidi kupotea kwani kwako wewe muongozo wa hoja zako ni 'MCHAKATO' na 'MATOKEO'. Kwa mwendo huo, itakuwa ni vigumu sana kwako kuja na Sound Argument iliyo coherent and that is near the Quality and Character ya Azimio la Arusha. Kwa mfano hapa chini unamjibu Jasusi and I quote:



Kaka William, madhara ya tabia yako ya kutopendelea kujisomea/kufanya utafiti zinazidi kujitokeza hapa. Kwa mfano, kama umesoma historia ya afrika mashariki, wakati wa ujenzi wa Reli ya Kisumu – Mombasa, (waingereza) wazungu wengi pamoja na waafrika waliliwa sana na Simba katika nyika ya Voi. Kuna filamu moja by ‘Michael Douglas' inaitwa ‘Ghost of the Darkness', inaelezea vizuri sana nini kilijiri, lakini maudhui yake sio mchakato au matokeo bali NIA. Kwa vile NIA ya waingereza haikuwa kuwalisha Simba wa Porini nyama za binadamu bali kuleta maendeleo ya miundombinu kama kichocheo cha kujenga uchumi imara, suala la watu kupoteza maisha halikupewa uzito wowote zaidi ya kuchukuliwa kwamba ni suala la ‘ajali kazini'. Inashangaza watu kama wewe kuzidi kung'a'ng'ania hoja ya wananchi kuliwa na ‘Fisi'. Hoja kama hii haitakiwi kutoka kwa mtu mwenye upeo mkubwa kama wewe kaka William.

Unaelewa nini ilikuwa ni Nia ya vijiji vya ujamaa? Nia ilikuwa ni kuvifanya vijiji hivi view the basis of a socialist system of production, ultimate aim ikiwa kuifanya Tanganyika liwe taifa linalojitegemea kutokana na nguvu kazi ya wananchi wake, lakini muhimu zaidi katika mazingira ya people-centered development ambayo yanazingatia a Bottom-Up approach to development badala ya Top-Bottom approach.

Kaka William, kama umewahi kutumia muda wako japo kidogo kujosomea historia ya nchi yetu, by the time tunapata uhuru (mwaka 1961), takibran 85% ya Tanganyika ilikuwa ni vijiji. Pia usisahau kwamba nch yetu mpaka leo hii ni moja ya nchi chache sana duniani ambayo imezungukwa na mbuga za wanyama. Hivi una taarifa kwamba mwaka jana Simba alitokea Mbagala Rangi Tatu na kuleta maafa?

Wakoloni walipokuja walikuta mazingira ya Tanganyika ni pori kwa kiasi kikubwa sana. Fahamu tu kwamba hawakujenga miji huko porini na badala yake waliwafuata watanganyika huko huko na kuwatumikisha katika kilimo cha mazao ya biashara. Nadhani unatambua kwamba wakoloni hawakuwa na mkakati wowote wa kuwahamishia watanganyika mijini au kuwajengea industrial centres. Je, katika mazingira ya mwaka 1961, Mwalimu ilitakiwa afanye nini kama njia yaku ‘transform' jamii hizi? Kumbuka kwamba ilikuwa ni miaka sita tu tokea uhuru na nchi ilikuwa haina fedha za kutosha kuwa na options nyingi za kufikishia wananchi huduma, wananchi ambao asilimia 90 walikuwa hawajui kusoma na kuandika, hawana huduma za afya, hawana ajira, na wanaishi mazingira ya porini and in a very sparse manner. Kaka William, nadhani una ufahamu mzuri kwamba nchi yetu hata leo, population yake imetapakaa sana, kwani ni sehemu chache tu ndio zenye concentration kubwa ya watu. Je, ulitegemea Mwalimu afanye nini ili kuwafikishia wananchi huduma muhimu, wananchi ambao walikuwa na kiu ya maendeleo baada ya miaka mingi ya colonial exploitation, wananchi ambao walishapewa ahadi nyingi sana wakati wa harakati za ukombozi? Mwalimu angezitimizaje ahadi za matunda ya uhuru in terms of kuwapatia wananchi huduma za kijamii pamoja na ajira? Inawezekana una mawazo tofauti juu ya nini Mwalimu angefanya, huu ni wasaa wako kutueleza ili tujue tulikosea wapi na tusonge vipi mbele.

Vinginevyo kwa mtazamo wangu ambao unaweza kuwa finyu – kwa kifupi tu – Njia sahihi ilikuwa kuja na mkakati/sera ambayo ingepelekea watanganyika kuishi kwa pamoja na kwa wingi katika maeneo kadhaa ili iwe rahisi kuwafikishia huduma za kijamii pamoja na kuwapatia mazingira ya kujishughulisha kiuchumi ili kujipatia kipato. Kwa maana hii, ilibidi vijiji vya ujamaa vinazishwe kwa wingi ili kuwaondoa wananchi kutoka maeneo ambayo mengi yalikuwa na watu wachache kwani Economies of Scale zisingewezekana huko walipo. More importantly, a system of production inayokidhi level ya maendeleo ya wakati ule pamoja na mazingira ilibidi iwe devised, so by default it had to be Kilimo. Kumbuka, jamii zote zilianza na Kilimo kwani huo ndio msingi wa kukupelekea kwenye Mapinduzi ya Viwanda. Ukipunguza uvivu wa kufanya utafiti utalibaini hilo mapema sana.



If one reads between the lines, atabaini kwa upesi tu kwamba inaonyesha ‘inside information' kuhusu viongozi Fulani Fulani kuruhusiwa kuiba mali ya umma wakati wa Ujamaa. Kwa vile sisi hatuna hizo taarifa na hapa JF We Dare to Speak Openly, please speak up ili hoja yako iache kupepesuka na badala yake iwe na mashiko.

Kuhusu hoja yako juu ya Kifo cha Azimio la Arusha, nakushauri jaribu kufanya utafiti japo kidogo kuhusu internal and external factors zilizopelekea kifo chake kwani kwa haraka sana utagundua kwamba, ni kweli partially ilikuwa ni poor implementation ya sera lakini kwa kiasi kikubwa sana ilitokana na juhudi za makusudi on part of viongozi waliopewa dhamana ya kulitekeleza kum ‘black mail' Mwalimu. Viongozi wengi walikuwa wanashirikiana na wahindi pamoja na mabepari wa nje kuharibu uchumi wa nchi yetu, na wengi wa hawa ndio waliopewa dhamana kusimamia mashirika ya umma. Kama William, unafahamu kwamba nchi yetu ina rasilimali nyingi sana na wazungu walikuwa wanatafuta kila njia ya kuhakikisha Ujamaa haufanyi kazi ili waweze pata nafasi ya kuja kutufilisi kupitia ubepari chni ya soko huria holela lisilojali maslahi ya Watanzania, jambo ambalo sasa wamefanikiwa chini ya Structural Adjustment Policies na Azimio la Zanzibar.

Hivi nikuulize - Kwanini Ujamaa wa Sweden ulifanikiwa? Tusidanganyake kwamba Ujamaa hauwezekani. Ujamaa unawezekana, hivyo Azimio la Arusha bado lina nafasi katika Tanzania yetu ya leo, lakini linahitaji kufanyiwa marekebisho. Kwa mtazamo wangu, huo ndio uwe msingi wa mjadala wetu – kubaini success and failures za Azimio la Arusha, iwapo kweli tuna nia nzuri na taifa letu changa.



Kwa kweli inasikitisha kuona kwamba, licha ya wadau wengi hapa kujaribu kukuelezea jinsi gani taifa letu lilikuwa na dira huko nyuma, wewe bado unazidi kupingana na hilo. Lakini ukiulizwa je, dira ya sasa ni nini? Majibu hauna zaidi ya kuleta hoja zinazoelwa juu ya ubepari na utawala wa kisheria. Na ni nani anaesema kwamba wizi unaweza kudhibitiwa kwa asilimia mia moja? Hakuna nchi inayoweza kuzuia hilo, lakini nchi makini zinaweza kuja na leadership code na mambo kama hayo kupunguza tatizo husika. Na hivyo ndivyo alivyofanya Mwalimu chini ya Azimio La Arusha. Leo hii we are facing a major social evil – UFISADI, and this is a by-product ya hatua ya kuachana na azimio la arusha. Sidhani kama utapingana na hili. Azimio la Arusha served as an ‘orbit' ya kisiasa, kijamii na kiuchumi; Chini ya Azimio la Arusha, na katika mazingira ya nchi changa iliyokuwa na umri wa miaka sita tu ya uhuru (1961 – 1967), ajira ndio ilikuwa ni kipato halali kwa kila mtanzania; lakini leo hii chini ya azimio la Zanzibar, equation imepanuliwa na sasa Rushwa na Ubadhirifu pia vimekuwa sehemu halali ya viongozi kujipatia kipato. Hii ndio nature of leadership that we have nurtured chini ya azimio la Zanzibar. Viongozi wameacha kuwa watumishi wa umma, sasa wanashindana kwa utajiri and lifestyle huku wale waliowapa dhamana wakizidi kudidimia.

Tangia mwaka 1995, wanasiasa wote wenye nia ya kuongoza nchi hii hawafanyi hivyo kwa maslahi ya umma bali maslahi binafsi na ushahidi ulio wazi juu ya hili ni jinsi gani wanatumia mamilioni ya pesa kununua wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa. Wengi wa hawa wanakamatwa na pesa hizo chafu wakati wa michakato ya kupata mgombea wa Urais kupitia CCM, lakini kwa vile Azimio La Zanzibar linakamata wengi zaidi, masuala kama haya yanapotezewa. Je, hii ndio Tanzania yako ya sasa yenye Dira?

- Mkuu sio siri kwamba wewe ni msomi maana naona sasa unamwaga sana ma-theory makubwa makubwa sana, ila one thing bado sielewi kwa nini unashindwa kuonyesha why taifa letu tumekwama, maana US ipo ilipo sasa kwa sababu ya strong Foundation iliyojengwa na baba wao wa Taifa, George Washington, sasa kwa nini hutakikukubali kwamba sisi tumekwama kwa sababu ya misingi mibovu iliyojengwa na Awamu ya kwanza, Azimio likiwa on the top of the list!

William.
 
- Ahagaaaahhh, jamani kwa nini nipoteze muda wangu kusoma Azimio, ambalo limtufikisha hapa Tanzania tulipo kwama?
William.

Tumejaribu kukusaidia mawazo uboreshe vizuri hoja zako ili kwa pamoja tusaidiane kujua tumetoka wapi, kwanini tupo hapa na twende vipi mbele lakini kwa kauli kama hiyo hapo juu, nadhani aidha kwa kujua au kutokujua unaua mjadala wa maana sana kwa taifa letu na badala yake unatafuta ushindi wa hoja ya nguvu, na sio nguvu ya hoja.
 
Mutuz,kama husipoleta hoja nzito za kuonyesha madhaifu ya azimio,ni sawa na kubisha tu. Umeambiwa na wakuu hapa kwamba lete facts za udhaifu wa azimio na mafanikio ya "maazimio" mbadala. Wewe hufanyi hivyo bali unang'ang'ana na watu wameliwa na fisi na simba.

W. J. Malecela,leta hoja za ku-validate hoja yako,la sivyo utakuwa unabisha tu. That is a fact. Nothing personal mkulu Willie.

- Kwa hiyo mkuu unasema kwamba thread hii ni hai kwa sababu mnajaribu kupangua hoja zangu za fisi na simba tu? ha! ha! ha! ha! Ni kweli sijawahi kulisoma Azimio na will never kwa sababu niliyoyaona kwa macho yangu hapa bongo kuhusu madhara yake yanatosha, sasa nilisome la nini? Nikumbatie ma-dead theories ili yanisaidie nini?

- Azimio ndilo limetufikisha hapa hili taifa, tumekwama, hatujui tulikotoka na wala tunakwenda; Azimio lilijenga Viwanda halafu likaviua kwa kuingiza siasa kwenye uchumi, Azimio hilo hilo limetuletea utawala kutoheshimu sheria sasa hivi tunalia sana kwamba hatuna sheria, nilete hioja zipi tena na wakati nimesema yote I mean what else do you want?

William.
 
Tumejaribu kukusaidia mawazo uboreshe vizuri hoja zako ili kwa pamoja tusaidiane kujua tumetoka wapi, kwanini tupo hapa na twende vipi mbele lakini kwa kauli kama hiyo hapo juu, nadhani aidha kwa kujua au kutokujua unaua mjadala wa maana sana kwa taifa letu na badala yake unatafuta ushindi wa hoja ya nguvu, na sio nguvu ya hoja.

- Mchambuzi ninaogopa kusoma theories zilizoshindwa, ili zinisaidie nini mkuu wangu? Unataka na mimi nianza
e ku-argue kama ninyi kwamba watekelezaji hawakuisoma vizuri? Hapana wll never do that, hilo Azimio limeshindwa kwa ku-transform theories zake kwa vitendo, sasa bora ni kama Viongozi wetu walivyoamua kule Zanzibar kulivunjilia mbali,

- Azimio haliwezi kuwa a living document kwa sababu halina mwanga wa kumulika wakati wa giza, ninakubali sana mkuu kwamba you guys are very educated na mmelisoma sana hili Azimio na sio siri mnalijua sana nje ndani, lakini mimi naomba mniache kama nilivyo yaani kukataa kusoma dead theories za hilo Azimio.

William.
 
- Mkuu sio siri kwamba wewe ni msomi maana naona sasa unamwaga sana ma-theory makubwa makubwa sana, ila one thing bado sielewi kwa nini unashindwa kuonyesha why taifa letu tumekwama, maana US ipo ilipo sasa kwa sababu ya strong Foundation iliyojengwa na baba wao wa Taifa, George Washington, sasa kwa nini hutakikukubali kwamba sisi tumekwama kwa sababu ya misingi mibovu iliyojengwa na Awamu ya kwanza, Azimio likiwa on the top of the list!

William.

Kaka William,

Kama Taifa hatujakwama bali tumeangushwa na viongozi wa serikali ya CCM, especially kuanzia 1985. Hivi unadhani mzee kama Edwin Mtei anajisikiaje moyoni akifikiria ni jinsi gani alidhania IMF na World Bank wataikomboa hii nchi baada ya mapungufu yaliyojitokeza wakati wa Ujamaa ambapo ni dhahiri kulikuwa na success and failures? Miaka 18 ya Ujamaa Versus 26 ya Soko Huria, watanzania walio wengi wana unafuu gani?

Azimio la Arusha ndio msingi wa maendeleo ya nchi yetu, hilo halijabadilika, cha kubadilika ni utekelezaji pamoja na marekebisho ya hapa na pale. Do you mind nikuwekee misingi ya azimio la arusha ili sote kwa pamoja tukubaliane nini kibaki na nini kitoke?

Hatutaweza kupata msingi wa kujenga nchi yetu ulio bora kuliko wa ujamaa ambao unatakiwa kuboreshwa ili uwe wa kidemokrasia, tunachotakiwa ni kujua wapi tulikosea chni ya azimio la arusha kama taifa changa na wapi tuboreshe.

Vinginevyo kama taifa, tumekwama kutokana na ujio wa IMF na World Bank mwaka 1985 ambao wanalea mfumo wa kifisadi kwani hivyo ndivyo unawasaidia wanasiasa wetu wa CCM kunufaisha makampuni makubwa toka nchi tajiri ambao ndio shareholders wa taasisi hizi za utapeli uliohalalishwa kimataifa.
 
Unarudi kwenye tatizo lile lile la kutojali kabisa kujadili and appreciate ‘NIA’ ya Sera ya Azimio la Arusha, badala yake unazidi kupotea kwani kwako wewe muongozo wa hoja zako ni ‘MCHAKATO’ na ‘MATOKEO’. Kwa mwendo huo, itakuwa ni vigumu sana kwako kuja na Sound Argument iliyo coherent and that is near the Quality and Character ya Azimio la Arusha. Kwa mfano hapa chini unamjibu Jasusi and I quote:



Kaka William, madhara ya tabia yako ya kutopendelea kujisomea/kufanya utafiti zinazidi kujitokeza hapa. Kwa mfano, kama umesoma historia ya afrika mashariki, wakati wa ujenzi wa Reli ya Kisumu – Mombasa, (waingereza) wazungu wengi pamoja na waafrika waliliwa sana na Simba katika nyika ya Voi. Kuna filamu moja by ‘Michael Douglas’ inaitwa ‘Ghost of the Darkness’, inaelezea vizuri sana nini kilijiri, lakini maudhui yake sio mchakato au matokeo bali NIA. Kwa vile NIA ya waingereza haikuwa kuwalisha Simba wa Porini nyama za binadamu bali kuleta maendeleo ya miundombinu kama kichocheo cha kujenga uchumi imara, suala la watu kupoteza maisha halikupewa uzito wowote zaidi ya kuchukuliwa kwamba ni suala la ‘ajali kazini’. Inashangaza watu kama wewe kuzidi kung’a’ng’ania hoja ya wananchi kuliwa na ‘Fisi’. Hoja kama hii haitakiwi kutoka kwa mtu mwenye upeo mkubwa kama wewe kaka William.

Unaelewa nini ilikuwa ni Nia ya vijiji vya ujamaa? Nia ilikuwa ni kuvifanya vijiji hivi view the basis of a socialist system of production, ultimate aim ikiwa kuifanya Tanganyika liwe taifa linalojitegemea kutokana na nguvu kazi ya wananchi wake, lakini muhimu zaidi katika mazingira ya people-centered development ambayo yanazingatia a Bottom-Up approach to development badala ya Top-Bottom approach.

Kaka William, kama umewahi kutumia muda wako japo kidogo kujosomea historia ya nchi yetu, by the time tunapata uhuru (mwaka 1961), takibran 85% ya Tanganyika ilikuwa ni vijiji. Pia usisahau kwamba nch yetu mpaka leo hii ni moja ya nchi chache sana duniani ambayo imezungukwa na mbuga za wanyama. Hivi una taarifa kwamba mwaka jana Simba alitokea Mbagala Rangi Tatu na kuleta maafa?

Wakoloni walipokuja walikuta mazingira ya Tanganyika ni pori kwa kiasi kikubwa sana. Fahamu tu kwamba hawakujenga miji huko porini na badala yake waliwafuata watanganyika huko huko na kuwatumikisha katika kilimo cha mazao ya biashara. Nadhani unatambua kwamba wakoloni hawakuwa na mkakati wowote wa kuwahamishia watanganyika mijini au kuwajengea industrial centres. Je, katika mazingira ya mwaka 1961, Mwalimu ilitakiwa afanye nini kama njia yaku ‘transform’ jamii hizi? Kumbuka kwamba ilikuwa ni miaka sita tu tokea uhuru na nchi ilikuwa haina fedha za kutosha kuwa na options nyingi za kufikishia wananchi huduma, wananchi ambao asilimia 90 walikuwa hawajui kusoma na kuandika, hawana huduma za afya, hawana ajira, na wanaishi mazingira ya porini and in a very sparse manner. Kaka William, nadhani una ufahamu mzuri kwamba nchi yetu hata leo, population yake imetapakaa sana, kwani ni sehemu chache tu ndio zenye concentration kubwa ya watu. Je, ulitegemea Mwalimu afanye nini ili kuwafikishia wananchi huduma muhimu, wananchi ambao walikuwa na kiu ya maendeleo baada ya miaka mingi ya colonial exploitation, wananchi ambao walishapewa ahadi nyingi sana wakati wa harakati za ukombozi? Mwalimu angezitimizaje ahadi za matunda ya uhuru in terms of kuwapatia wananchi huduma za kijamii pamoja na ajira? Inawezekana una mawazo tofauti juu ya nini Mwalimu angefanya, huu ni wasaa wako kutueleza ili tujue tulikosea wapi na tusonge vipi mbele.

Vinginevyo kwa mtazamo wangu ambao unaweza kuwa finyu – kwa kifupi tu – Njia sahihi ilikuwa kuja na mkakati/sera ambayo ingepelekea watanganyika kuishi kwa pamoja na kwa wingi katika maeneo kadhaa ili iwe rahisi kuwafikishia huduma za kijamii pamoja na kuwapatia mazingira ya kujishughulisha kiuchumi ili kujipatia kipato. Kwa maana hii, ilibidi vijiji vya ujamaa vinazishwe kwa wingi ili kuwaondoa wananchi kutoka maeneo ambayo mengi yalikuwa na watu wachache kwani Economies of Scale zisingewezekana huko walipo. More importantly, a system of production inayokidhi level ya maendeleo ya wakati ule pamoja na mazingira ilibidi iwe devised, so by default it had to be Kilimo. Kumbuka, jamii zote zilianza na Kilimo kwani huo ndio msingi wa kukupelekea kwenye Mapinduzi ya Viwanda. Ukipunguza uvivu wa kufanya utafiti utalibaini hilo mapema sana.



If one reads between the lines, atabaini kwa upesi tu kwamba inaonyesha ‘inside information’ kuhusu viongozi Fulani Fulani kuruhusiwa kuiba mali ya umma wakati wa Ujamaa. Kwa vile sisi hatuna hizo taarifa na hapa JF We Dare to Speak Openly, please speak up ili hoja yako iache kupepesuka na badala yake iwe na mashiko.

Kuhusu hoja yako juu ya Kifo cha Azimio la Arusha, nakushauri jaribu kufanya utafiti japo kidogo kuhusu internal and external factors zilizopelekea kifo chake kwani kwa haraka sana utagundua kwamba, ni kweli partially ilikuwa ni poor implementation ya sera lakini kwa kiasi kikubwa sana ilitokana na juhudi za makusudi on part of viongozi waliopewa dhamana ya kulitekeleza kum ‘black mail’ Mwalimu. Viongozi wengi walikuwa wanashirikiana na wahindi pamoja na mabepari wa nje kuharibu uchumi wa nchi yetu, na wengi wa hawa ndio waliopewa dhamana kusimamia mashirika ya umma. Kama William, unafahamu kwamba nchi yetu ina rasilimali nyingi sana na wazungu walikuwa wanatafuta kila njia ya kuhakikisha Ujamaa haufanyi kazi ili waweze pata nafasi ya kuja kutufilisi kupitia ubepari chni ya soko huria holela lisilojali maslahi ya Watanzania, jambo ambalo sasa wamefanikiwa chini ya Structural Adjustment Policies na Azimio la Zanzibar.

Hivi nikuulize - Kwanini Ujamaa wa Sweden ulifanikiwa? Tusidanganyake kwamba Ujamaa hauwezekani. Ujamaa unawezekana, hivyo Azimio la Arusha bado lina nafasi katika Tanzania yetu ya leo, lakini linahitaji kufanyiwa marekebisho. Kwa mtazamo wangu, huo ndio uwe msingi wa mjadala wetu – kubaini success and failures za Azimio la Arusha, iwapo kweli tuna nia nzuri na taifa letu changa.

Kama dira ya taifa haikuwepo toka awamu ya kwanza, haiwezi kuwa ajabu kama haipo leo, wizi haukuanza leo umeanzia awamu ya kwanza, we were here, mpaka siku hili taifa kwa pamoja tutakapo kubali kwamba Azimio na maazimio mengi ya awamu ya kwanza ndio yametufikisha hapa tumekwama, ndio tutaanza kusonga mbele, maana taifa lisilojua linakotoka, haliwezi kujua linapokweda! /quote]

Kwa kweli inasikitisha kuona kwamba, licha ya wadau wengi hapa kujaribu kukuelezea jinsi gani taifa letu lilikuwa na dira huko nyuma, wewe bado unazidi kupingana na hilo. Lakini ukiulizwa je, dira ya sasa ni nini? Majibu hauna zaidi ya kuleta hoja zinazoelwa juu ya ubepari na utawala wa kisheria. Na ni nani anaesema kwamba wizi unaweza kudhibitiwa kwa asilimia mia moja? Hakuna nchi inayoweza kuzuia hilo, lakini nchi makini zinaweza kuja na leadership code na mambo kama hayo kupunguza tatizo husika. Na hivyo ndivyo alivyofanya Mwalimu chini ya Azimio La Arusha. Leo hii we are facing a major social evil – UFISADI, and this is a by-product ya hatua ya kuachana na azimio la arusha. Sidhani kama utapingana na hili. Azimio la Arusha served as an ‘orbit’ ya kisiasa, kijamii na kiuchumi; Chini ya Azimio la Arusha, na katika mazingira ya nchi changa iliyokuwa na umri wa miaka sita tu ya uhuru (1961 – 1967), ajira ndio ilikuwa ni kipato halali kwa kila mtanzania; lakini leo hii chini ya azimio la Zanzibar, equation imepanuliwa na sasa Rushwa na Ubadhirifu pia vimekuwa sehemu halali ya viongozi kujipatia kipato. Hii ndio nature of leadership that we have nurtured chini ya azimio la Zanzibar. Viongozi wameacha kuwa watumishi wa umma, sasa wanashindana kwa utajiri and lifestyle huku wale waliowapa dhamana wakizidi kudidimia.

Tangia mwaka 1995, wanasiasa wote wenye nia ya kuongoza nchi hii hawafanyi hivyo kwa maslahi ya umma bali maslahi binafsi na ushahidi ulio wazi juu ya hili ni jinsi gani wanatumia mamilioni ya pesa kununua wajumbe wa mkutano mkuu wa taifa. Wengi wa hawa wanakamatwa na pesa hizo chafu wakati wa michakato ya kupata mgombea wa Urais kupitia CCM, lakini kwa vile Azimio La Zanzibar linakamata wengi zaidi, masuala kama haya yanapotezewa. Je, hii ndio Tanzania yako ya sasa yenye Dira?

Mchambuzi

Mark my words Nostalgia isn't a sound guide to economic and social policies. Premises and variables ambazo zilitumika kutunga Azimio la Arusha hazipo sasa. Hivyo huwezi kurudisha Azimio la Arusha na kutegemea matokeo mazuri.

Kwa bahati nimetembea katika nchi zilizokuwa za kijamaa za ulaya mashariki. Nchi nyingi hizi zinaongeza katika masuala ya rushwa na uzembe kama vile Tanzania. Hiyo tunaweza kuita, post communism syndrome. Hili nchi hizi zirudi katika hali ya kawaida ni lazima zijenge taasisi za kiraia ambazo zitasimamia haki za binadamu, sheria, na uwajibikaji. Inachukua miaka mingi na nguvu nyingi kujenga taasisi hizi.

Tanzania haijajenga au kuziimalisha taasisi hizi. Kwa mfano katiba bado ni hilehile ya chama kimoja. Bunge bado ni rubber stamp. Mahakama bado zinaingiliwa. Kamati kuu ya CCM bado ina sauti.

Kushindwa kwa taasisi hizi kumetufanya watanzania tushindwa mambo mengi. Hivyo hata kama utamfufua Nyerere na kumpa urais na kulirudisha Azimio la Arusha, bado Tanzania inaboronga. Hii ni kwa sababu hatuna taasisi za kiraia zenye ufanisi.

Ndugu Mkandara saa zote anakazania declaration of independence. Ukweli wa mambo kuna taasisi inazozilinda hilo Azimio. Na hizo taasisi zimekuwepo toka mwanzo wa uhuru.

Chukua mfano, makao makuu ya serikali ya Marekani. Makao makuu ya kwanza yalikuwa Philadelphia. Lakini walipohamua kuhamishia Washington DC, walihama mara moja hata kabla majengo kumalizika. Hivyo mji wa Washington DC unakuwa kama alama ya uhuru wao. Wameweza kumadilisha msitu kuwa mji wa nchi yao huru.

Huu ni mwaka wa 40 toka Dodoma itangazwe kuwa makao makuu ya nchi. Marais wote toka Nyerere wameongoza nchi kwa kutumia remote kutoka DSM. Kila mtu anasubiri mpaka Dodoma iwe kama New York ndipo wahamie. Hivyo hakuna maazimio yanayokuja kwa vitendo. Cha kusikitisha hata waNigeria walioiga kutoka kwetu tayari wamehamia Abuja.

Azimio la Arusha linazungumza kuinua maisha vijijini. Ni kazi nyepesi kuwaambia wakulima na watu wasio na uwezo wafanye nini. Lakini kuwawezesha ni kitu kigumu. Inashukua zaidi ya miaka mitano kwa mtu kujijengea nyumba ya maana na kuwa na shamba la kuweza kutoa manufaa. Lakini viongozi wa serikali wanafikiri kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja bila matayarisho yoyote mtu anaweza kuhamia kwenye kijiji cha ujamaa na kuwa productive. Hata Pro. Issa Shivji anasema huu ndio mwanzo wa kuua Azimio lenyewe.

Mpaka sasa sijaona kiongozi yoyote aliyepitisha Azimio la Arusha ambaye alijaribu kufanya yale wanavijiji waliyotakiwa kuyafanya. Kwenye makaratasi vitu vinaonekana vyepesi, kuna complexities zake. Na mpaka sasa sijaona watu wanaozungumzia complexities za kuinua maisha kwa kutumia maazimio.

Kuhusiana na Ujamaa wa Sweden. Sweden ni nchi ndogo na highly educated. Wanayo private sector iliyo nzuri sana na Ujamaa wao hupo kwenye huduma za jamii. Watu wanalipa tax kubwa sana hili serikali itoe huduma kwa jamii.

Azimio la Arusha linataka serikali imiliki njia za uzalishaji na litoe huduma za jamii bila watu kulipa tax directly. Kwa nchi kama Tanzania mfumo huu unaifanya nchi iwe ya watu wavivu na kutegemea sana misaada kutoka nje.

Cau

Z10.
 
- Mchambuzi ninaogopa kusoma theories zilizoshindwa, ili zinisaidie nini mkuu wangu? Unataka na mimi nianza
e ku-argue kama ninyi kwamba watekelezaji hawakuisoma vizuri? Hapana wll never do that, hilo Azimio limeshindwa kwa ku-transform theories zake kwa vitendo, sasa bora ni kama Viongozi wetu walivyoamua kule Zanzibar kulivunjilia mbali,

- Azimio haliwezi kuwa a living document kwa sababu halina mwanga wa kumulika wakati wa giza, ninakubali sana mkuu kwamba you guys are very educated na mmelisoma sana hili Azimio na sio siri mnalijua sana nje ndani, lakini mimi naomba mniache kama nilivyo yaani kukataa kusoma dead theories za hilo Azimio.

William.

Kaka,

How do you diagnose a patient's death without kumpima? daktari akifanya hivyo, ataua wengi ambao kumbe walikuwa kwenye comma tu. Death is subject to medical analysis, hivyo kifo cha Azimio La Arusha is also subject to economic, social and political analysis, of which you dont want to get involved and instead call death upon Azimio la Arusha kwa kuliangalia tu usoni bila ya ku determine kama bado linapumua au lah.
 
- Mchambuzi ninaogopa kusoma theories zilizoshindwa, ili zinisaidie nini mkuu wangu? Unataka na mimi nianza
e ku-argue kama ninyi kwamba watekelezaji hawakuisoma vizuri? Hapana wll never do that, hilo Azimio limeshindwa kwa ku-transform theories zake kwa vitendo, sasa bora ni kama Viongozi wetu walivyoamua kule Zanzibar kulivunjilia mbali,

- Azimio haliwezi kuwa a living document kwa sababu halina mwanga wa kumulika wakati wa giza, ninakubali sana mkuu kwamba you guys are very educated na mmelisoma sana hili Azimio na sio siri mnalijua sana nje ndani, lakini mimi naomba mniache kama nilivyo yaani kukataa kusoma dead theories za hilo Azimio.

William.

W. J. Malecela. Vyema.

Ebu tuwekee mbadala wa azimio. Nia si kujenga na kuweka misingi imara kwa taifa? Basi leta wazo mbadala kwa azimio,ili wazo hilo ndiyo liwe dira na msingi.

Mpaka sasa umesema suala la kufuata sheria n.k. as if taifa letu halina sheria. Hizo sheria ambazo karibu zote zimetengenezwa kwa influence ya "wakubwa" zimelisaidia nini taifa? Mbona ndiyo katika kipindi hiki hiki ndiyo uhujumu uchumi umechachamaa ndani ya uwepo wa sheria hizo?

Natumaini pia unatetea yale yaliowekwa na Azimio la Zanzibar. Wakuu wamekuomba uweke hapa mafanikio ya hayo za Zanzibar. Lete facts za success stories za azimio la Zanzibar ili uwe na concrete base ya ku-argue kwa Azimio la Arusha ndilo limetufikisha hapa.
 
Last edited by a moderator:
Kaka,

How do you diagnose a patient's death without kumpima? daktari akifanya hivyo, ataua wengi ambao kumbe walikuwa kwenye comma tu. Death is subject to medical analysis, hivyo kifo cha Azimio La Arusha is also subject to economic, social and political analysis, of which you dont want to get involved and instead call death upon Azimio la Arusha kwa kuliangalia tu usoni bila ya ku determine kama bado linapumua au lah.

- Mchambuzi huhitaji kusoma kujua madhara ya Azimio kwa hili taifa, sasa ninasema hivi ni sawa lilikufa, na kwa kweli siamini kuna anything good in it lingekuwepo lingeonekana, analysis za jinsi ilivyotuumiza na kutufikisha hapa tulipo kweli zinahitaji kulisoma mkuu wangu? Hapana hili Azimio lilikuwa wrong, halitekelezeki, na wala halikuwa na anything good isipokuwa ilikuwa manifesto tu ya namna ya kutawala kwa kutumia chama kimoja, baada ya Awamu ya kwanza kuvunja vyama vingine.

William.
 
W. J. Malecela. Vyema.

Ebu tuwekee mbadala wa azimio. Nia si kujenga na kuweka misingi imara kwa taifa? Basi leta wazo mbadala kwa azimio,ili wazo hilo ndiyo liwe dira na msingi.

Mpaka sasa umesema suala la kufuata sheria n.k. as if taifa letu halina sheria. Hizo sheria ambazo karibu zote zimetengenezwa kwa influence ya "wakubwa" zimelisaidia nini taifa? Mbona ndiyo katika kipindi hiki hiki ndiyo uhujumu uchumi umechachamaa ndani ya uwepo wa sheria hizo?

Natumaini pia unatetea yale yaliowekwa na Azimio la Zanzibar. Wakuu wamekuomba uweke hapa mafanikio ya hayo za Zanzibar. Lete facts za success stories za azimio la Zanzibar ili uwe na concrete base ya ku-argue kwa Azimio la Arusha ndilo limetufikisha hapa.

- Mbadala sasa ni ubepari tu hakuna njia nyingine, sasa hivi pamoja na mapungufu mengi ya ubepari lakini angalau tunasogea mbele, sio kama enzi za Azimio, kila kitu kimekufa, viwanda vimekufa, mashirika yamekufa, wananchi masikini sana, I mean I can go on and on yote yalikuwa ni madhara ya Azimio la Arusha,

- Sasa hivi mkuu ni ubepari tu ndio the answer! sidhani kama ninahitaji kurudia mafanikio ya ubepari uliokubaliwa Zanzibar ulipotufikisha, Tanzania imebadilika, na maendeleo yapo mengi sana sina sababu ya kurudia unless otherwsie!

William.
 
Unarudi kwenye tatizo lile lile la kutojali kabisa kujadili and appreciate 'NIA' ya Sera ya Azimio la Arusha, badala yake unazidi kupotea kwani kwako wewe muongozo wa hoja zako ni 'MCHAKATO' na 'MATOKEO'. Kwa mwendo huo, itakuwa ni vigumu sana kwako kuja na Sound Argument iliyo coherent and that is near the Quality and Character ya Azimio la Arusha. Kwa mfano hapa chini unamjibu Jasusi and I quote:



Kaka William, madhara ya tabia yako ya kutopendelea kujisomea/kufanya utafiti zinazidi kujitokeza hapa. Kwa mfano, kama umesoma historia ya afrika mashariki, wakati wa ujenzi wa Reli ya Kisumu – Mombasa, (waingereza) wazungu wengi pamoja na waafrika waliliwa sana na Simba katika nyika ya Voi. Kuna filamu moja by ‘Michael Douglas' inaitwa ‘Ghost of the Darkness', inaelezea vizuri sana nini kilijiri, lakini maudhui yake sio mchakato au matokeo bali NIA. Kwa vile NIA ya waingereza haikuwa kuwalisha Simba wa Porini nyama za binadamu bali kuleta maendeleo ya miundombinu kama kichocheo cha kujenga uchumi imara, suala la watu kupoteza maisha halikupewa uzito wowote zaidi ya kuchukuliwa kwamba ni suala la ‘ajali kazini'. Inashangaza watu kama wewe kuzidi kung'a'ng'ania hoja ya wananchi kuliwa na ‘Fisi'. Hoja kama hii haitakiwi kutoka kwa mtu mwenye upeo mkubwa kama wewe kaka William.

Unaelewa nini ilikuwa ni Nia ya vijiji vya ujamaa? Nia ilikuwa ni kuvifanya vijiji hivi view the basis of a socialist system of production, ultimate aim ikiwa kuifanya Tanganyika liwe taifa linalojitegemea kutokana na nguvu kazi ya wananchi wake, lakini muhimu zaidi katika mazingira ya people-centered development ambayo yanazingatia a Bottom-Up approach to development badala ya Top-Bottom approach.

Kaka William, kama umewahi kutumia muda wako japo kidogo kujosomea historia ya nchi yetu, by the time tunapata uhuru (mwaka 1961), takibran 85% ya Tanganyika ilikuwa ni vijiji. Pia usisahau kwamba nch yetu mpaka leo hii ni moja ya nchi chache sana duniani ambayo imezungukwa na mbuga za wanyama. Hivi una taarifa kwamba mwaka jana Simba alitokea Mbagala Rangi Tatu na kuleta maafa?

Wakoloni walipokuja walikuta mazingira ya Tanganyika ni pori kwa kiasi kikubwa sana. Fahamu tu kwamba hawakujenga miji huko porini na badala yake waliwafuata watanganyika huko huko na kuwatumikisha katika kilimo cha mazao ya biashara. Nadhani unatambua kwamba wakoloni hawakuwa na mkakati wowote wa kuwahamishia watanganyika mijini au kuwajengea industrial centres. Je, katika mazingira ya mwaka 1961, Mwalimu ilitakiwa afanye nini kama njia yaku ‘transform' jamii hizi? Kumbuka kwamba ilikuwa ni miaka sita tu tokea uhuru na nchi ilikuwa haina fedha za kutosha kuwa na options nyingi za kufikishia wananchi huduma, wananchi ambao asilimia 90 walikuwa hawajui kusoma na kuandika, hawana huduma za afya, hawana ajira, na wanaishi mazingira ya porini and in a very sparse manner. Kaka William, nadhani una ufahamu mzuri kwamba nchi yetu hata leo, population yake imetapakaa sana, kwani ni sehemu chache tu ndio zenye concentration kubwa ya watu. Je, ulitegemea Mwalimu afanye nini ili kuwafikishia wananchi huduma muhimu, wananchi ambao walikuwa na kiu ya maendeleo baada ya miaka mingi ya colonial exploitation, wananchi ambao walishapewa ahadi nyingi sana wakati wa harakati za ukombozi? Mwalimu angezitimizaje ahadi za matunda ya uhuru in terms of kuwapatia wananchi huduma za kijamii pamoja na ajira? Inawezekana una mawazo tofauti juu ya nini Mwalimu angefanya, huu ni wasaa wako kutueleza ili tujue tulikosea wapi na tusonge vipi mbele.

Vinginevyo kwa mtazamo wangu ambao unaweza kuwa finyu – kwa kifupi tu – Njia sahihi ilikuwa kuja na mkakati/sera ambayo ingepelekea watanganyika kuishi kwa pamoja na kwa wingi katika maeneo kadhaa ili iwe rahisi kuwafikishia huduma za kijamii pamoja na kuwapatia mazingira ya kujishughulisha kiuchumi ili kujipatia kipato. Kwa maana hii, ilibidi vijiji vya ujamaa vinazishwe kwa wingi ili kuwaondoa wananchi kutoka maeneo ambayo mengi yalikuwa na watu wachache kwani Economies of Scale zisingewezekana huko walipo. More importantly, a system of production inayokidhi level ya maendeleo ya wakati ule pamoja na mazingira ilibidi iwe devised, so by default it had to be Kilimo. Kumbuka, jamii zote zilianza na Kilimo kwani huo ndio msingi wa kukupelekea kwenye Mapinduzi ya Viwanda. Ukipunguza uvivu wa kufanya utafiti utalibaini hilo mapema sana.



If one reads between the lines, atabaini kwa upesi tu kwamba inaonyesha ‘inside information' kuhusu viongozi Fulani Fulani kuruhusiwa kuiba mali ya umma wakati wa Ujamaa. Kwa vile sisi hatuna hizo taarifa na hapa JF We Dare to Speak Openly, please speak up ili hoja yako iache kupepesuka na badala yake iwe na mashiko.

Kuhusu hoja yako juu ya Kifo cha Azimio la Arusha, nakushauri jaribu kufanya utafiti japo kidogo kuhusu internal and external factors zilizopelekea kifo chake kwani kwa haraka sana utagundua kwamba, ni kweli partially ilikuwa ni poor implementation ya sera lakini kwa kiasi kikubwa sana ilitokana na juhudi za makusudi on part of viongozi waliopewa dhamana ya kulitekeleza kum ‘black mail' Mwalimu. Viongozi wengi walikuwa wanashirikiana na wahindi pamoja na mabepari wa nje kuharibu uchumi wa nchi yetu, na wengi wa hawa ndio waliopewa dhamana kusimamia mashirika ya umma. Kama William, unafahamu kwamba nchi yetu ina rasilimali nyingi sana na wazungu walikuwa wanatafuta kila njia ya kuhakikisha Ujamaa haufanyi kazi ili waweze pata nafasi ya kuja kutufilisi kupitia ubepari chni ya soko huria holela lisilojali maslahi ya Watanzania, jambo ambalo sasa wamefanikiwa chini ya Structural Adjustment Policies na Azimio la Zanzibar.

Hivi nikuulize - Kwanini Ujamaa wa Sweden ulifanikiwa? Tusidanganyake kwamba Ujamaa hauwezekani. Ujamaa unawezekana, hivyo Azimio la Arusha bado lina nafasi katika Tanzania yetu ya leo, lakini linahitaji kufanyiwa marekebisho. Kwa mtazamo wangu, huo ndio uwe msingi wa mjadala wetu – kubaini success and failures za Azimio la Arusha, iwapo kweli tuna nia nzuri na taifa letu changa.



Mchambuzi

Mark my words Nostalgia isn't a sound guide to economic and social policies. Premises and variables ambazo zilitumika kutunga Azimio la Arusha hazipo sasa. Hivyo huwezi kurudisha Azimio la Arusha na kutegemea matokeo mazuri.

Kwa bahati nimetembea katika nchi zilizokuwa za kijamaa za ulaya mashariki. Nchi nyingi hizi zinaongeza katika masuala ya rushwa na uzembe kama vile Tanzania. Hiyo tunaweza kuita, post communism syndrome. Hili nchi hizi zirudi katika hali ya kawaida ni lazima zijenge taasisi za kiraia ambazo zitasimamia haki za binadamu, sheria, na uwajibikaji. Inachukua miaka mingi na nguvu nyingi kujenga taasisi hizi.

Tanzania haijajenga au kuziimalisha taasisi hizi. Kwa mfano katiba bado ni hilehile ya chama kimoja. Bunge bado ni rubber stamp. Mahakama bado zinaingiliwa. Kamati kuu ya CCM bado ina sauti.

Kushindwa kwa taasisi hizi kumetufanya watanzania tushindwa mambo mengi. Hivyo hata kama utamfufua Nyerere na kumpa urais na kulirudisha Azimio la Arusha, bado Tanzania inaboronga. Hii ni kwa sababu hatuna taasisi za kiraia zenye ufanisi.

Ndugu Mkandara saa zote anakazania declaration of independence. Ukweli wa mambo kuna taasisi inazozilinda hilo Azimio. Na hizo taasisi zimekuwepo toka mwanzo wa uhuru.

Chukua mfano, makao makuu ya serikali ya Marekani. Makao makuu ya kwanza yalikuwa Philadelphia. Lakini walipohamua kuhamishia Washington DC, walihama mara moja hata kabla majengo kumalizika. Hivyo mji wa Washington DC unakuwa kama alama ya uhuru wao. Wameweza kumadilisha msitu kuwa mji wa nchi yao huru.

Huu ni mwaka wa 40 toka Dodoma itangazwe kuwa makao makuu ya nchi. Marais wote toka Nyerere wameongoza nchi kwa kutumia remote kutoka DSM. Kila mtu anasubiri mpaka Dodoma iwe kama New York ndipo wahamie. Hivyo hakuna maazimio yanayokuja kwa vitendo. Cha kusikitisha hata waNigeria walioiga kutoka kwetu tayari wamehamia Abuja.

Azimio la Arusha linazungumza kuinua maisha vijijini. Ni kazi nyepesi kuwaambia wakulima na watu wasio na uwezo wafanye nini. Lakini kuwawezesha ni kitu kigumu. Inashukua zaidi ya miaka mitano kwa mtu kujijengea nyumba ya maana na kuwa na shamba la kuweza kutoa manufaa. Lakini viongozi wa serikali wanafikiri kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja bila matayarisho yoyote mtu anaweza kuhamia kwenye kijiji cha ujamaa na kuwa productive. Hata Pro. Issa Shivji anasema huu ndio mwanzo wa kuua Azimio lenyewe.

Mpaka sasa sijaona kiongozi yoyote aliyepitisha Azimio la Arusha ambaye alijaribu kufanya yale wanavijiji waliyotakiwa kuyafanya. Kwenye makaratasi vitu vinaonekana vyepesi, kuna complexities zake. Na mpaka sasa sijaona watu wanaozungumzia complexities za kuinua maisha kwa kutumia maazimio.

Kuhusiana na Ujamaa wa Sweden. Sweden ni nchi ndogo na highly educated. Wanayo private sector iliyo nzuri sana na Ujamaa wao hupo kwenye huduma za jamii. Watu wanalipa tax kubwa sana hili serikali itoe huduma kwa jamii.

Azimio la Arusha linataka serikali imiliki njia za uzalishaji na litoe huduma za jamii bila watu kulipa tax directly. Kwa nchi kama Tanzania mfumo huu unaifanya nchi iwe ya watu wavivu na kutegemea sana misaada kutoka nje.

Cau

Z10.

Z10. Hii imetulia. Long live the boots on your feet:-
 
Katiba yetu inatakiwa ifuate MISINGI YA AZIMIO LA ARUSHA.
au hujui hilo?
kobello, Nimesikia kwa muda mrefu, ikisemwa na kutofautishwakati ya Azimio La Arusha na Misingi ya Azimio hilo, jambo ambalo ninaafiki nahapa nataka kulitolea ufafanuzi wa kimsingi.

A + B = C

C. Ni Matokeo ya kanuni mbili (driving forcesin the community) ambazo zinapelekea Ustawi/Maendeleo ya Mwanadamu.
B. Ni Mazingira jamii husika inapojikutaambayo yanatofautiana kulingana ni sehemu gani ya dunia.
A. Ni Mwanadamu mwenyewe. Au morespecifically kile kinachomtofautisha Mtu na wanyama, mimea na madini hivyo kiite UTUkama ukitaka yaani hali kama (Uadilifu, usawa, heshima, haki, maadili, uhuru, kujiamini na Utukwa ujulma wake wote amabo kunaigia sheria, miiko ya kuulinda utu huo nk)


Kinachotetewa kama msingi wa azimio la arusha ni kuwa kila unapokuwa namatokeo yeyote yanayoitwa ustawi au maendeleo sehemu yeyote ile kwenye uso wahii dunia, Lazima ikifanyika analysis Kanuni A na B zionekane dhahiri kuwakweli zime stawi na kuendelea kwa wakati huo huo (Simultaneously)!

Hii ni kwa sababu, kuna tendency ya kanuni A kumezwa na kuuagamizwa kabisa kwenyemchakato mzima wa Kukablina na mazingira B ili kufikia matokeo C, Jambo ambalolinapelekea tupaze sauti za kulindwa kwamakusudi kwa kanuni A. Jambo amabalo ni ligumu sana au lisilowezekana kwa walewote “WAPINGA UTU” na waabudu kile kilicho kinyume na UTU wa MTU …ambacho ni ....?

Msingi wa Azimio la Arusha ni Kuazimia kuwa kwenye kila Matokeo C yatakayokuwayamefikiwa kwenye jamii dhidi ya Kanuni B ni lazima Kanuni A ionekane wazi kabisa au tuseme Totallyand objectively!

Kwa nini?

Uwezekano wa Kufikia Matokeo C kwa kukabiliana na kanuni B huku kanuni A ikiangamia upo na hicho ndicho kilio cha Azimio La arusha. Mfano. Mtu X anawezakuonekana amestawi na kuendelea kimaisha kwa kunagamiza Albino, kuuza madawa yakulevya, rushwa nk, Vitendo amabavyo vimeanagamiza kanuni A Pia. Mtu Y anawezakuwa na maendeleo kwa Kudhalilisha wafanyakazi wake na kuwatumia kama mashineyasiyo na ubinadamu, akawapunja ujira, kuwahujumu ardhi yao nk lakini akifikiamatokeo C. Mtu Q anaweza kufikia C kwa kudhulumu rasilimali za wanakijiji waeneo B. Kuwadhulumu kijanja, kuwapora kiakili, kuwahadaa hii ikiwa na maana kuangamizaA ya eneo husika, lakini mtu huyo akafikia lengo C.

Msingi wa azimio la arusha amabalo ni azimio la Kusitiri UTU ni kuwa Kamapatakuwa na Ustawi wa kanuni C lazima Ustawi huo uwe pia sawa kabisa na ustawiwa kanuni A dhidi ya mazingira B. Mazingira B yanaweza kutafsiriwa kamarasilimali ya kupelekea matokeo C Lakini lazima tuite A, kuwa ni RASILIMALIMAMA! Ikiwa na maana kuwa bila rasili mali mama lakini tukiwa na rasilimalimazingira ni ndoto kufikia C ya kweli hata kama macho yetu yanaona hivyo ni kwakuwa Yamepinga na kusaliti, Utu wa jamii husika!

Kwa hiyo Maendeleo na Ustawi wa mwanadamu Utafsriwe sio kwa kanuni C peke yakebali Kanuni A na C kwa wakati mmoja. Hii ni kwa sababu na mifano iko mimgi kuwaMaendeleo na ustawi wa jamii umekuwa unatafsiriwa in expense ya Kuangamia kwaKanuni A, ambayo huo sio msingi wa Azimio la Arusha kwani hapo utu wa jamiihusika utakuwa umeadhirika na hatimaye Utu wa Taifa utakuwa mashakani pia!

Inatakiwa ukianagalia Ustawi wa elimu, afya, kilimo, usalama, serekali, vyamavya siasa, Bisahara, uwekezaji, michezo na jumuia zote za kijamii uone waziwaziKanuni mbili A na C zimekamilika na kuwa kwenye stahili ilisheni heshima dhidiya kmazingira B.

Nitarejeapost ya za kumi no (132). jinsi ya kuhusisha mtizamo huu wa msingi wa azimio la Arushakwenye Katiba ya nchi au sheria ya nchi au code of ethics.

Fanya analysis ya Tanzania ya Miaka 10/15 baada ya 1967 na Tanzaniaya miaka 10/15 !!!!
 
Last edited by a moderator:
Zakumi,
Mshikaji umeandika mambo mengi sana ukifikiri sana UFANISI, nami nakuambia hakuna swala la Ufanisi ni kupoteza DIRA. kama unavyodai tuliamua kujenga makao makuu mapya Dodoma na tulikuwa tuhamie toka mwaka 1986 lakini tulishindwa na sababu sio ufanisi bali tumeshapoteza Malengo yaliyokusudiwa na ndio maana viongozi wetu wanabishana bungeni kila siku ktk maswala ambayo ni Principals, ethics na moral values.. Hata Ufisadi unafanyiwa mzaha na kuhalalishwa ikiwa hujakamatwa.

Ukiona watu wanabishana juu ya msingi wa Utaifa wao, hawakubaliani ktk vitu kama hivi ujue tayari wamepoteza dira na ndio maana sisi hapa tunabishana juu ya Azimio la Arusha. Huwezi kuta Wamarekani wanabishana juu ya declaration hata siku moja wanalienzi zaidi na hata kujivunia. Watabishana kuhusu Constitution, sheria, utekelezaji (siasa) na mengine wakilitazama Azimio lao linasema nini na zipi principal,ethics and moral values. Ukienda kinyume cha hapo hawatakuacha hata iwe kwa kiongozi kufanya zinaa tu unavuliwa madaraka.

Sisi ndio kwanza tunabishana juu ya Azimio ambalo kushindwa kwetu kutekeleza maagizo yale, tunaanza kulalamikia maandishi kuwa ni makosa na hayatekelezeki kama mjomba anayesema Uislaam mgumu kwa sababu mnyama mfu (nyamafu) imeharamishwa..NJAA tu mkuu wangu tunasumbuliwa na njaa - umaskini.
 
- Mbadala sasa ni ubepari tu hakuna njia nyingine, sasa hivi pamoja na mapungufu mengi ya ubepari lakini angalau tunasogea mbele, sio kama enzi za Azimio, kila kitu kimekufa, viwanda vimekufa, mashirika yamekufa, wananchi masikini sana, I mean I can go on and on yote yalikuwa ni madhara ya Azimio la Arusha,

W. J. Malecela. Alright.
Hivi tangu huo ubepari umeanza mwaka 1986,ni viwanda ngapi vile vimejengwa? Ni vingapi vilivyokufa vimefufuliwa? Tangu huo ubepari umeanza utegemezi wa taifa katika misaada umekuaje vile? Na je,maisha ya raia yakoje vile? Kwa ujumla ubepari umetosogezaje mbele vile?

[/QUOTE] Sasa hivi mkuu ni ubepari tu ndio the answer! sidhani kama ninahitaji kurudia mafanikio ya ubepari uliokubaliwa Zanzibar ulipotufikisha, Tanzania imebadilika, na maendeleo yapo mengi sana sina sababu ya kurudia unless otherwsie!

William.[/QUOTE]

Duh! Mutuz,maendeleo yapi hayo unayoyazungumza? Maendeleo ya watu au vitu?
Pia hivi ni wapi taifa limesema kwa maandishi kwamba sasa ni taifa la kibepari vile? Mbona chama chako bado kinaimba ujamaa? Au ndio una-preempt mjadala wa katiba? Au ndivyo mnavyoambizana kwenye "kamati kuu"?
 
Last edited by a moderator:
Tumejaribu kukusaidia mawazo uboreshe vizuri hoja zako ili kwa pamoja tusaidiane kujua tumetoka wapi, kwanini tupo hapa na twende vipi mbele lakini kwa kauli kama hiyo hapo juu, nadhani aidha kwa kujua au kutokujua unaua mjadala wa maana sana kwa taifa letu na badala yake unatafuta ushindi wa hoja ya nguvu, na sio nguvu ya hoja.

MCHAMBUZI

huyu bwana anamajibu yake kichwani,anachotaka ni watu kusema kile anachopenda kukisikia na hapendi kusikia kile asichokipenda

mtatumia muda mwingi sana kuchambuwa,hata kutoa vitu vya kiada na ziada lakini katu huyu bwana hawezi kuelewa somo,hawezi kujenga hoja wala kutetea kile alichokileta ktk jukwaa.

yaani watoto wa mitaani wanasema
mbili hakai na wala tatu hasimami

fuatilia post zake,kuanzia hii ya azimio la arusha na ya ubinafsishaji soma kwa makini sana michango yake,utagundua kuwa huwa anaweka post tayari akiwa na majibu yake kichwani

kwa upande wangu william bado anasafari ndefu sana ktk maswala ya kisiasa,kwa ccm ninayoifahamu mimi,kama si mjenga hoja za kushawishi watu kamwe hawawezi kupa nafasi za kugombania zaidi labda za kuteuliwa,nayasema haya kwani nimewahi kuwa kiongozi wa umoja wa vijana wa kuchaguliwa pale morogoro,kwa hiyo nikivuta taswila jinsi tulivyokuwa tukipambana kwa hoja na maswali kamwe na apa william kwa hoja anazozitoa humu hawezi

nimeacha siasa kwa sasa sina chama
 
Zakumi said:
Mchambuzi

Mark my words Nostalgia isn't a sound guide to economic and social policies. Premises and variables ambazo zilitumika kutunga Azimio la Arusha hazipo sasa. Hivyo huwezi kurudisha Azimio la Arusha na kutegemea matokeo mazuri.

Kwa bahati nimetembea katika nchi zilizokuwa za kijamaa za ulaya mashariki. Nchi nyingi hizi zinaongeza katika masuala ya rushwa na uzembe kama vile Tanzania. Hiyo tunaweza kuita, post communism syndrome. Hili nchi hizi zirudi katika hali ya kawaida ni lazima zijenge taasisi za kiraia ambazo zitasimamia haki za binadamu, sheria, na uwajibikaji. Inachukua miaka mingi na nguvu nyingi kujenga taasisi hizi.

Tanzania haijajenga au kuziimalisha taasisi hizi. Kwa mfano katiba bado ni hilehile ya chama kimoja. Bunge bado ni rubber stamp. Mahakama bado zinaingiliwa. Kamati kuu ya CCM bado ina sauti.

Kushindwa kwa taasisi hizi kumetufanya watanzania tushindwa mambo mengi. Hivyo hata kama utamfufua Nyerere na kumpa urais na kulirudisha Azimio la Arusha, bado Tanzania inaboronga. Hii ni kwa sababu hatuna taasisi za kiraia zenye ufanisi.

Ndugu Mkandara saa zote anakazania declaration of independence. Ukweli wa mambo kuna taasisi inazozilinda hilo Azimio. Na hizo taasisi zimekuwepo toka mwanzo wa uhuru.

Chukua mfano, makao makuu ya serikali ya Marekani. Makao makuu ya kwanza yalikuwa Philadelphia. Lakini walipohamua kuhamishia Washington DC, walihama mara moja hata kabla majengo kumalizika. Hivyo mji wa Washington DC unakuwa kama alama ya uhuru wao. Wameweza kumadilisha msitu kuwa mji wa nchi yao huru.

Huu ni mwaka wa 40 toka Dodoma itangazwe kuwa makao makuu ya nchi. Marais wote toka Nyerere wameongoza nchi kwa kutumia remote kutoka DSM. Kila mtu anasubiri mpaka Dodoma iwe kama New York ndipo wahamie. Hivyo hakuna maazimio yanayokuja kwa vitendo. Cha kusikitisha hata waNigeria walioiga kutoka kwetu tayari wamehamia Abuja.

Azimio la Arusha linazungumza kuinua maisha vijijini. Ni kazi nyepesi kuwaambia wakulima na watu wasio na uwezo wafanye nini. Lakini kuwawezesha ni kitu kigumu. Inashukua zaidi ya miaka mitano kwa mtu kujijengea nyumba ya maana na kuwa na shamba la kuweza kutoa manufaa. Lakini viongozi wa serikali wanafikiri kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja bila matayarisho yoyote mtu anaweza kuhamia kwenye kijiji cha ujamaa na kuwa productive. Hata Pro. Issa Shivji anasema huu ndio mwanzo wa kuua Azimio lenyewe.

Mpaka sasa sijaona kiongozi yoyote aliyepitisha Azimio la Arusha ambaye alijaribu kufanya yale wanavijiji waliyotakiwa kuyafanya. Kwenye makaratasi vitu vinaonekana vyepesi, kuna complexities zake. Na mpaka sasa sijaona watu wanaozungumzia complexities za kuinua maisha kwa kutumia maazimio.

Kuhusiana na Ujamaa wa Sweden. Sweden ni nchi ndogo na highly educated. Wanayo private sector iliyo nzuri sana na Ujamaa wao hupo kwenye huduma za jamii. Watu wanalipa tax kubwa sana hili serikali itoe huduma kwa jamii.

Azimio la Arusha linataka serikali imiliki njia za uzalishaji na litoe huduma za jamii bila watu kulipa tax directly. Kwa nchi kama Tanzania mfumo huu unaifanya nchi iwe ya watu wavivu na kutegemea sana misaada kutoka nje.

Cau

Z10.

Nakuelewa kimsingi lakini nadhani kuna tofauti kubwa baina ya kuangalia Azimio la Arusha kwa outward orientation vis a vis inward orientation. Nadhani ume-base zaidi kwenye outward orientation, especially given the fact that unaangalia zaidi experience za wenzetu. Nitajaribu kufafanua kidogo baadae.

Tuanze na hoja yako ya NOSTALGIA. Hapa, it means you are trying to suggest kwamba we as Tanzanians should stop longing, or having desires of the past experience; I beg to disagree with you on that front. Una maana gani kwamba premises and variables za wakati ule zilizopelekea kuundwa kwa azimio la Arusha hazipo tena? Nchi zote zinapigana kutafuta au ku maintain aina mbili kuu za uhuru: Uhuru wa kisiasa na Uhuru wa kiuchumi; Mwalimu Nyerere alikuja na azimio la arusha baada ya kugundua kwamba uhuru wa mwaka 1961 ulikuwa ni wa kisiasa tu, kwani kiuchumi, bado tulikuwa hatupo huru. Tukirudi kwenye premises and variables unazo jaribu kuzijengea hoja - naomba nikuulize:

· Azimio la Arusha lilikuja katika kipindi ambacho karibia 90% ya watanzania walikuwa wanaishi vijijini; Leo hii, idadi hiyo ni karibia 80%; Je, hauoni kwamba we are living at times when the very same variables that led Mwalimu to architect Azimio La Arusha bado zipo relevant?
· Another key variable to analyze – Hadi kufikia Mwaka 1967 ambapo kipindi cha 1961 – 1967 kilikuwa chini ya mfumo wa kibepari, Kilimo kiliendelea kuwa sekta kuu ya uchumi, je chini ya miaka 26 ya ubepari na soko huria (1986-2012) nini kimebadilika?
· A third variable worth our analysis - mwaka 1967, watanganyika wengi sana ambao by default wapo vijijini walikuwa na kiu ya kufaidi matunda ya uhuru, je hali hii imebadilika kwa kiasi gani kwa ndugu zetu huko vijijini ambao leo hii idadi yao inazidi milioni 30 kati ya karibia jumla ya watanzania milioni 46?

Naomba unifanyie analysis yako based on these three variables or more kama unazo kujenga hoja yako juu ya NOSTALGIA and the irrelevance of the premises and variables at this age ambazo kwa wakati ule zilikuwa relevant kupelekea kuzaliwa kwa azimio la arusha.

Kuhusu suala la communism experience katika nchi za ulaya ya mashariki, hoja yako ya msingi naielewa lakini ni muhimu ukatambua kwamba sisi hatukuwa wakomunisti bali wajamaa, na kuna tofauti kubwa kati ya vitu hivi viwili kisiasa, kiuchumi na kijamii. More importantly, Ujamaa wetu ulikuwa ni African based na tafiti mbalimbali zimeonyesha jinsi gani ujamaa wetu ulikuwa tofauti kabisa na ujamaa uliokuwa unaendelea katika jamii nyingine duniani. Ujamaa wetu ulilenga kuwarudisha watanganyika kwenye chungu kimoja na katika hali zao za awali baada ya production system and production relations zao kuvurugwa na mkoloni.

Kuhusu umuhimu wa uwepo wa taasisi mbalimbali za kusimamia haki, sheria, na uwajibikaji, upo sahihi kabisa juu ya umuhimu wake. Katiba mpya ndio solution yetu kuelekea huko. Lakini pamoja na hayo, tusipuuze jitihada za Mwalimu kuanzisha taasisi hizi from scratch pamoja na mapungufu mengi yaliyojitokeza. Muhimu zaidi, tuelewe kwamba Mwalimu alikuwa such a unique and charismatic leader such that hata wananchi hawakuwa na mawazo ya kutaka nchi iongozwe kwa mujibu wa katiba, na ndio maana Tanzania haikuwa na Katiba kwa miaka karibia 13 (1964 – 1977) and still many didn't bother kwani Ujamaa ulikuwa una deliver kisiasa, kijamii na kiuchumi kuanzia mwaka 1967 to around 1975. Na ni katika kipindi hiki nchi yetu iliweza kupata mafanikio makubwa ya kiuchumi na kijamii pengine kuliko wakati mwingine wowote wa historia ya nchi yetu if we take into account of the importance or an ‘inclusive economic growth or pro-poor growth, or economic growth with human face'. Economic indicators and Social indicators went hand in hand. Maendeleo yetu yalikuwa ya juu kuliko kipindi chochote in terms of progressive social indicators (afya, elimu..). We had an impressive economic performance katika miaka ya mid 1960s to mid 1970s - we recorded an average GDP growth of 6% na this growth was pro- poor kwani huduma za kijamii nazo zilikuwa juu.

Kimsingi, nakubaliana na wewe kwamba hakuna kiongozi wa miaka ya ujamaa ambae aliishi maisha yaliyokuwa yanahubiriwa kwenye azimia la arusha. Lakini kuna exceptions za watu kama Nyerere, Kawawa, Sokoine na wengine wachache. Kwa hawa, mbali ya kuwa na ulinzi na makazi mazuri, waliishi maisha ya kawaida sana na mara nyingi walikuwa watatekeleza Azimio la arusha kwa vitendo. Tofauti na enzi hizo, leo hii hata kupanda MTI mmoja au UA, viongozi wanawekewa mkeka, huku wamefunikwa na miamvuli. All in all, kufeli kwa ujamaa kulichangiwa pia na baadhi ya watendaji wa Mwalimu ambao walipewa dhamana ya kutekeleza azimio la arusha kupitia mashirika ya umma na taasisi.

Ni kweli kwamba Sweden ni nchi yenye mafanikio chini ya ujamaa kwa vielezo ulivyoweka, lakini kwa mtazamo wako, Je, sisi tuna nafasi gani ya kuweza embrace mengi ya sera zao chini ya katiba yetu mpya and become a socialist democratic state? Nadhani unaelewa umuhimu wa Tanzania ya leo ku lean towards the socialist principles for quite some time, huku ubepari na ujamaa viki co-exist na kuheshimiana.

Ni dhahiri azimio la arusha lilikuwa na mapungufu kadhaa lakini nina uhakika, ukilichukua sasahivi kasha ukalisoma mstari kwa mstari huku ukiweka Tiki kwenye mambo ambayo unadhani bado yapo relevant na kufuta yale yasio relevant, nina uhakika kwamba ukifikia mwisho wa zoezi hili, zaidi ya nusu ya mambo mle utayawekea alama kwamba bado yanatufaa nyakati hizi and thus find out kwamba your argument on 'NOSTLAGIA' kumbe ni self-defeating.

Mwisho,niseme tu kwamba moja ya makosa aliyofanya mwalimu ni pamoja na idea ya serikali kumiliki uchumi kwa kiwango cha 100%. Hata yeye aliwahi sema serikali kumiliki mashamba ya mkonge kwa asilimia mia ilikuwa ni kosa. Tukumbuke tu kwamba Zao la Mkonge wakati wa ukoloni lilipatia taifa zaidi ya 50% of fedha za kigeni, na hata mpaka miaka ya mid 70s, zaidi ya 30% ya pato hilo bado ilitokana na zao la mkonge.
 
Kuna tatizo gani vingozi kuwa na idea kama hizi?
 
Last edited by a moderator:
- Mbadala sasa ni ubepari tu hakuna njia nyingine, sasa hivi pamoja na mapungufu mengi ya ubepari lakini angalau tunasogea mbele, sio kama enzi za Azimio, kila kitu kimekufa, viwanda vimekufa, mashirika yamekufa, wananchi masikini sana, I mean I can go on and on yote yalikuwa ni madhara ya Azimio la Arusha,

- Sasa hivi mkuu ni ubepari tu ndio the answer! sidhani kama ninahitaji kurudia mafanikio ya ubepari uliokubaliwa Zanzibar ulipotufikisha, Tanzania imebadilika, na maendeleo yapo mengi sana sina sababu ya kurudia unless otherwsie!

William.

Naomba utuelezee huko kusonga mbele ni kwa namna gani - je ni kwa mwendo wa TUMETHUBUTU, TUMEWEZA na TUNASONGA MBELE? Wapi tulipothubutu, wapi tumeweza na nini ni ishara kwamba tunasonga mbele?

Kuhusu viwanda kufa, je mbadala wake ni kuviuza kwa bei ya karanga kwa wazungu huku watawala wakitafuta uadui na wazawa ambao walionyesha nia na uwezo wa kununua mashirika na viwanda hivyo? Je chini ya sera mbadala na azimio la arusha ambazo wewe ni mfuasi wake mkubwa, ni mzungu na mhindi pekee mwenye haki ya kufaidi utaratibu mzima wa ubinaifishaji tena uliokuwa holela?

Ukiwa kama mwana CCM, kweli unadiriki kutuambia serikali ya chama hiki ni serikali yenye mafanikio miaka ya 1985 - 2012 tofauti na 1967 - 1985?

Kutamka kwamba ubepari tu ndio the answer kwa kweli kaka yangu William is too shallow bila ufafanuzi juu ya jinsi gani wananchi zaidi ya milioni 30 huko vijijini ambao wamekuwa wakihubiriwa faida za ubepari na soko huria wanazidi kudidimia na kukata tamaa na maisha.

Pia naomba nikuulize swali moja tu na sidhani kama utakuwa na jibu:
  • Nitajie Nguzo kuu Tatu hadi Tano Za Azimio La Zanzibar, Azimio Ambalo ndilo msingi wa hoja yako kuu. Naomba usiniangushe katika hili.
 
W. J. Malecela,
Duh! Mutuz,maendeleo yapi hayo unayoyazungumza? Maendeleo ya watu au vitu?
Pia hivi ni wapi taifa limesema kwa maandishi kwamba sasa ni taifa la kibepari vile? Mbona chama chako bado kinaimba ujamaa? Au ndio una-preempt mjadala wa katiba? Au ndivyo mnavyoambizana kwenye "kamati kuu"?

William, tungependa kusikia majibu yako juu ya hili.
 
Back
Top Bottom