William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #21
Azimio la Arusha was a living document iliyobeba dira na 'definition' ya taifa tulilokuwa tunataka kujenga. Iliweka misingi na taratibu za kiutawala pamoja na mahusiaono ya kijamii. Azimio la Arusha lilibeba 'mipaka' na 'barabara' za kupita ili tupate aina ya taifa tulilotaka.
Kwa mtazamo wangu a living document inaweza kufanyiwa update kutokana na mabaliko ya lazima ambayo yanaigusa jamii husika. Lakini sisi tulilifuta Azimio la Arusha kimoja bila mbadala ya maana! Sasa hivi William unaweza kusema Tanzania ni nchi ya aina? Au tuna-aspire kuwa Taifa gani? Na kama unajua aina ya taifa linalojengwa kwa sasa nini misingi ya ujenzi huo?
Ni rahisi sana kuona Azimio la Arusha si chochote kama hujalisoma kwa makini na kuelewa logic yake. Na kwa bahati mbaya au nzuri sasa hivi tunaishi post-Azimio la Arusha, hivyo tunaweza kutofautisha kabisa pande mbili hizi za shilingi. Kulaumu kwamba hali tuliyonayo imesababishwa na Azimio la Arusha ni dalili ya uelewa mdogo wa Azimio lenyewe. With Azimio la Arusha tusengekuwa tunamumunya maneno kuhusu mawaziri wananen waliovurunda!
Azimio la Arusha lilikuwa linahimiza kutafuta majibu ya matatizo yetu kama nchi from within na sio ku-import solutions! Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea wawekezeji huku asilimia kubwa ya population yake ikiwa iko outside the system! CCM ya sasa hawatataka kulisikia Azimio la Arusha kwa sababu wamejipa 'hati miliki' ya nchi. Watalisema vibaya kwa ujumla wake bila kuangalia kipengele kimoja kimoja na kufanya marekebisho pale inapobidi. Wanafaidika moja kwa moja na hii nyumba isiyokuwa na msingi na incase inaanguka tayari wameshajiwekea mpango wa dharura kama kuwa na account visiwa ya Jersey huko Uingereza!.
- Living document ni ile Constitution ya USA tu, maana siku zote ina majibu ya maswali magumu ya taifa kila yanapozuka, wanaikimbilia inawapa majibu unajua Why ni kwa sababu ilijikita kwenye Sheria zaidi, kuliko miiiko ya uongozi. A living document inatakwia itoe mwanga panapokuwa giza sio kutoa impossible theories kama za Aazimio la arusha, kwanza haikuweza kufanaya anything muanzilishi wake akiwa hai, sasa hivi kweli kuna aliyetegeema itatusaidia akiwa hayupo?
- I have a lot of respect na Mwalimu, as individual na siku zote ninatenganisha Azimio na yeye kama kiongozi, kwenye maneno ya Azimio la Arusha, hakututendea haki taifa hili na ninasikitika sana kwamba wasomi wanaotakiwa kutusiadia na wao hawana majawabu ya matatizo tuliyonayo sasa wamejikita kujificha kwenye maneno ya Azimio la arusha!
William.