Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Ahsante nimekuelewa sana hapo Mohamed Said.

Nataka turudi kwa Azizi Ali, je yeye ana uhusiano gani na kupigania uhuru wa Tanganyika!!?
Je aliwahi kujihusisha pia na uongozi wowote wa kisiasa!!?
Iceman,
Aziz Ali
umaarufu wake uko katika utajiri wake na katika kujenga misikiti na nyumba
za watu wa Dar es Salaam akwa kama mkandarasi kwa ustaarabu sana maana inasemekana akiwafanyia wepesi kulipa na ikiwa mtu kashindwa kulipa alisamehe deni.

Hii mali yake aliyochuma katika uhai wake alirithi mwanae Dossa na Dossa alitumia mali hii katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Iceman,
Aziz Ali
umaarufu wake uko katika utajiri wake na katika kujenga misikiti na nyumba
za watu wa Dar es Salaam akwa kama mkandarasi kwa ustaarabu sana maana inasemekana akiwafanyia wepesi kulipa na ikiwa mtu kashindwa kulipa alisamehe deni.

Hii mali yake aliyochuma katika uhai wake alirithi mwanae Dossa na Dossa alitumia mali hii katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Anhaaa
Kumbe Dossa ndiye mtoto wa Ali!!
Ahsante sana nime elewa hilo. Nashukuri kwa kuleta maarifa haya
 
Dosa na Hamza hawa walishiriki katika harakati za TANU. Hamza alikuwa IGP baada ya Elangwa Shaidi na baada ye kuwa afisa wa ubalozi Washington DC na Canada

Ahsante
Dossa yeye hakushika madaraka yoyote !?
 
Asili yao babu yao Alikuwa askari wa Kizulu walioletwa na Wajerumani kupigana na Wareno Tangnyika, aliloea Pangani Tanga na kuoa mwanamke wa Kiislam na ilimbidi kubadili dini.
Sky,
Kleist alizaliwa Pangani na mara tu baada ya kuzaliwa mama yake kabila Mnyaturu akafariki.

Kleist kaja Dar es Salaam akiwa mtoto mdogo hakuwahi kuishi Pangani.

Baba yake Sykes Mbuwane alikuja Tanganyika na nduguye akiitwa Ali Katini tayari Waislam.

Hawakuja kupigana na Wareno bali na Watanganyika - Bushiri bin Salim na Chief Mkwawa.

Ndugu yao mwingine Ramadhani Mashado Plantan alikuja Tanganyika 1905 akiwa
na umri wa miaka mitano akiwa Muislam.


M
 
Sky,
Kleist alizaliwa Pangani na mara tu baada ya kuzaliwa mama yake kabila Mnyaturu akafariki.

Kleist kaja Dar es Salaam akiwa mtoto mdogo hakuwahi kuishi Pangani.

Baba yake Sykes Mbuwane alikuja Tanganyika na nduguye akiitwa Ali Katini tayari Waislam.

Ndugu yao mwingine Ramadhani Mashado Plantan alikuja Tanganyika 1905 akiwa na umri wa miaka matano akiwa Muislam.


M
Mzee wangu@ Mohammed Said naomba mawasiliano yako...nikutafute nahitaji kukaa na wewe kufanya kitu cha kukumbukwa
 
Mohamed Said nashauri uandike kitabu yatadumu wakati huu wazee bado wako hai ili vizazi vilivyopo na vijavyo waijue historia ya jiji kabla na baada ya uhuru
CDG,
Hiyo picha niko Azam TV angaalia kitabu nilichoandika miaka 19 iliyopita.

dsTTSwUBC9SBtKRLBsstkoXo5J_Bn_sVyPrBupxQQ07uDIbvzba2HKZHbF18oCeF39f2LHK3Y_V8BMV5R5SwyW9dcmnIRaUYPNn28Nt6l75tP2i0xPglxHo5DbcWMx1BLqw7C1JHbnm2C7usKXxYz0NM3Tu4PwAfkeLFruedGOSWxtKEe48j2iR7xmd0-scUikrb__qmBZns674MorV4rx72KAzuU-5TkJU2MLeYMUXdRGxPyyFLP_bf0byeggrrnHqptymoaLZRPuEDB5WqBLz6HRrpGCAGVYXBR66mmtY9IKmY6opQjySPiSKjBnuZgerkxrLv9TUHET6rT8YhTBG9fe_tiEClbyn4K6kr_cvd3dEVUW1w7sgldvSQBW4GgRNTo5uU55vMev4bEqhPinXRDQzguFyn_UA6FkITy8OXSPov8MK4K5SnVn_viGcdCH3RHWhannk8L3MN62FX30DTEX2ykH_HeiPgh9R9J4kvUvAcqOEAGyPiZpmvV5EiK-LsL2oJHhv6xjibLV_qm2vR3oUKB3rRns5DJyv__TWzbThncuG16y9EWNsnOAtUjbfNFmXBjEpzud9-SgUvVjpb__NtcPaG7mI22hhljHiJ-KJ6j8spFw=w923-h692-no
 
Tunahitaji kuwa na historia ya watu waarufu waliowahi kuishi Dar na kuipa muonekana huu wa sasa. Hii ni mradi ambao ulitakiwa ufanywe na jiji la Dar. Yapo majina mengi yanasikika tuu lakini watu hawajui historia zao. Watafiti kama mzee Mohamed wahusishwe. Itapendeza sana. Na majiji mengine pia yaige.
 
Dosa na Hamza hawa walishiriki katika harakati za TANU. Hamza alikuwa IGP baada ya Elangwa Shaidi na baada ye kuwa afisa wa ubalozi Washington DC na Canada

Hamza Azizi akiwa IGP alikataa Amri ya Amiri Jeshi Julius Kambarage alieamuru Kiongozi Mkuu wa Waislam wa Wakati huo Al marhum Sheikh Hassan Bin Ameir akamatwe na kupelekwa kuishi Zanzibar bila ya kutoa sababu!

Nyerere akaamuru Usalama wa Taifa wa wakati huo ndio wafanye Kazi hiyo bila ya kushirikisha Jeshi la Polisi!
 
Back
Top Bottom