Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Sykes nasikia ndo babu zake na huyu mkata mauno prince dully sykes najiuliza kwann yy hakuwahi fata hata nyayo za babu zake au katika ukoo wao kuna aliyewahi kuwa hata mbunge katka zama za 2 , 3,4,5?
 
Mtoni kwa azizi ally napafananisha na Amsterdam njia panda ya dunia maana pale hukosi usafiri popote dar es salaam, ila nilikuwa simjui huyu mzee historia yake nilifikiri pengine ni mtu wa juzi juzi tu karne ya 20 kumbe sikujua kama ni mmoja wa wenyeji wa mkoa huu waliompokea mzee wa taifa,
apumzike kwa amani huko alipo
 
Mohamed Said, historia zako nzuri sana tatizo haziko balanced zimeegemea sana kuonyesha ni waislam tu waliopigania uhuru wa Tanganyika kitu ambacho ni uongo! Angalizo: mimi ni muislamu..jitahidi kua fair kidogo ili hizi historia ziwe zimebalance na sio kuvutia upande mmoja tu. Thanks.
Mauza,
Ikiwa wewe unayo historia "balanced," iweke
hapa tuisome lakini ukweli ni kuwa vitabu vyote
vilivyoandikwa kuhusu uhuru wa Tanganyika
havikueleza haya ninayoandika mimi.

Tuletee historia "balanced," tuelimike.
 
Yamagashi,
Ni rahisi sana kumuamsha mtu aliyelala kuliko yule ajifanyae amelala.
Nimekuelekeza vipi utapata jibu.
Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani

Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
 
Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani

Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
Anamaanisha mtanganyika wa kwanza mweusi kuwa na nyumba ya vigae. Elewa picha.
 
Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani

Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
Yamakagashi,
Hakuna swali la kujibu.

Mtu asiejua kuogelea anaezama unamtupia mdizi aushike atoke majini.
Jibu kumbe unalijua halafu unauliza jibu sasa mimi nikujibu kitu kipi?

Kumbatia huo mdizi ukutoe hatarini.
 
Oh kumbe Mwafrika wa kwanza maana yake ni Mtanganyika wa kwanza ?

Asante sana
Yamakagashi,
Usinishukuru subiri kwanza nikueleza habari za Aziz Ali upate kumuelewa:

''Dossa Aziz alipokwenda Nairobi mwaka wa 1946 alimkuta Ally Sykes, kijana
maarufu na mwenye shughuli zake pale mjini akijulikana na takriban kila mtu.

Dossa Aziz alikuwa amekwenda Nairobi kufanya usaili wa mafunzo ya urubani.
Kulikuwa na vijana wawili kutoka Tanganyika, wote watoto wa matajiri.

Dossa Aziz alikuwa katika usaili na mtoto wa Mwarabu mmoja tajiri, Ally Mmanga.
Dossa Aziz alikataliwa kufanyiwa usaili kwa kuwa alikuwa Mwafrika.

Waingereza walidai kuwa Waafrika hawakuwa tayari kufundishwa urubani.
Dossa Aziz alifadhaika sana.

Alimpigia simu baba yake huku akilia na kumpasha habari hizo.

Ili kumliwaza mwanae, baba yake Dossa, Aziz Ally, alimtumia fedha anunue gari
kama kifuta machozi.

Gari hili lilikuja kuwa ndiyo chombo cha kwanza cha usafiri kwa TAA, TANU na
Julius Nyerere.''
 
"Mwafrika wa kwanza kununua gari na kujenga nyumba ya vigae na vioo mtoni " Aziz Ali ,hapa ulikuwa na maana gani ? Kwamba Afrika nzima Aziz Ali ndio alikuwa wa kwanza kujenga au ulimaanisha Mtanzania mweusi wa kwanza kujenga nyumba ?
Mada inayozungumziwa ni ya Tanganyika kwa Akili za kawaida tu mzee Mohamed Said alikuwa na maana ya Mwafrika kwanza kujenga nyumba ya vioo Tanganyika sio Africa au ulimwenguni
 
Mada inayozungumziwa ni ya Tanganyika kwa Akili za kawaida tu mzee Mohamed Said alikuwa na maana ya Mwafrika kwanza kujenga nyumba ya vioo Tanganyika sio Africa au ulimwenguni
Kwa hiyo nikisema Mmarekani wa kwanza kujenga nyumba ya vioo maana yake naongelea Lost Angels lakini sio Sao Paolo sio ?
 
Mohamed Said, historia zako nzuri sana tatizo haziko balanced zimeegemea sana kuonyesha ni waislam tu waliopigania uhuru wa Tanganyika kitu ambacho ni uongo! Angalizo: mimi ni muislamu..jitahidi kua fair kidogo ili hizi historia ziwe zimebalance na sio kuvutia upande mmoja tu. Thanks.
Sidhani km hicho unasema kina ukweli wwote jaribu pia kusoma vitabu vya mzee Mohamed Said kuna wakatoliki wengi tu wamewataja na kuwapa sifa zao katika kupigania Uhuru wa nchi hii ndugu yngu
 
Mbona hujibu swali ,unazunguka sana ? Jibu swali wacha maelezo mengi yasiyo eleweka ,uliposema Aziz Ali ndiye Muafrika wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na vioo ulikuwa na maana gani

Kulikuwa na ugumu gani kusema Mtanzania wa kwanza kuwa na nyumba ya vigae na kioo badala ya Muafrika wa kwanza ?
Kumbuka kuna aina tatu au njia tatu za kujibu swali njia ya kwanza unaweza kujibu swali kwa kupitia swali njia ya unaweza kujibu swali kwa maelezo njia tatu unaweza kujibu swali kwa kifupi sasa Mzee Mohamed Said amekujibu swali lako kupitia swali sasa sioni ubaya wwote hapo ndugu yngu
 
Kwa hiyo nikisema Mmarekani wa kwanza kujenga nyumba ya vioo maana yake naongelea Lost Angels lakini sio Sao Paolo sio ?
Nafikiri labda utakuwa una matatizo binafsi kichwani mwako umesoma vzuri andiko na kulielewa vzuri kbs maana mfano unao toa na mada yetu ni vitu viwili tofauti sie tumezungumzia Tanganyika sio Africa ila ktk tanganyika kuna aina ya watu tofauti mfano unaweza kusema rage ni mtanganyika wa kwanza mwenye Asili ya kisomali kuwa mbunge
 
Nafikiri labda utakuwa una matatizo binafsi kichwani mwako umesoma vzuri andiko na kulielewa vzuri kbs maana mfano unao toa na mada yetu ni vitu viwili tofauti sie tumezungumzia Tanganyika sio Africa ila ktk tanganyika kuna aina ya watu tofauti mfano unaweza kusema rage ni mtanganyika wa kwanza mwenye Asili ya kisomali kuwa mbunge
Wewe utanichosha na maswali yangu hamtaki kujibu mnazunguka
Kila la kheri
Ni kweli nina matatizo ya akili sasa hiyo phsycriatic assessment sijui umenifanyia lini
 
Back
Top Bottom