Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

Yamagashi,
Ni rahisi sana kumuamsha mtu aliyelala kuliko yule ajifanyae amelala.
Nimekuelekeza vipi utapata jibu.
Jibu swali rahisi ushashikwa uongo wako kama kawaida yako tukujuao tushakuja mjivu Wa uongo kila ukiandika ati tayari muislam kha! Mbona huandiki elimu hawakuwa nayo... Yaani unataka kuwakuza hadi matarishi na washika videvu kama wale wanaotizama mchezo Wa drafti ati wapigania Uhuru... List ya watu Wa Uhuru ipo na Nyerere karekodiwa kila kitu wewe Kazi yako unataka kuchange history ambayo huwezi... You can't change the history... Past is past... Habari zako umesubiri wazee wafe uje kudanganya... Uhuru umeletwa na Christian Zanzibar john okello na Tanganyika Julius Nyerere. Period

Yamakagashi jibu hakupi huyu ni muongo sana huyu zake ni propaganda za dini yake tu... Ungekuwa wewe ni Muslim angekujibu vizuri sana... Ila jibu ni muongo
 
Jibu swali rahisi ushashikwa uongo wako kama kawaida yako tukujuao tushakuja mjivu Wa uongo kila ukiandika ati tayari muislam kha! Mbona huandiki elimu hawakiwa nayo... Yaani unataka kuwakuza hadi matarishi na washika videvu kama wale wanaotizama mchezo Wa drafti ati wapigania Uhuru... List ya watu Wa Uhuru ipo na Nyerere karekodiwa kila kitu wewe Kazi yako unataka kuchange history ambayo huwezi... You can't change the history... Past is past... Habari zako umesubiri wazee wafe uje kudanganya... Uhuru umeletwa na Christian Zanzibar john okello na Tanganyika Julius Nyerere. Period

Yamakagashi jibu hakupi huyu ni muongo sana huyu zake ni propaganda za dini yake tu... Ungekuwa wewe ni Muslim angekujubi vizuri sana... Ila jibu ni muongo
Tulia wewe Soma nyuzi za nyuma mtoa Maada kumjibu amefanya na sote t umeelewa. Kuwa na NIDHAMU Kuna Wazazi wako HISTORIA watakayoleta hutapata pengine.
 
Mzee Muhammad Said aje atupe jibu, nani alitoa nyumba ilipozaliwa TANU(Sasa Lumumba)
Anaweza kukudanganya tu huyo mlezi Wa Tanu alikuwa Tajiri mkristo aliyeitwa Rupia. huyo mzee anajaribu kuwainua wauza kahawa wale wakutembeza mitaani Wa wakati ule waheshimike sababu ya ukabila wake wa kigoma sijui burundi Wamanyema ati na udini mtupu...nishamuambia hatoweza kubadilisha historia
 
Tulia wewe Soma nyuzi za nyuma mtoa Maada kumjibu amefanya na sote t umeelewa. Kuwa na NIDHAMU Kuna Wazazi wako HISTORIA watakayoleta hutapata pengine.
Huyo mzee atawadanganya nyie wavivu Wa kusoma na kufanya utafiti.. Cha ajabu hata maneno ya Nyerere anayapinga, wasio husika anaweweka kwenye historia yake.. Wapigania Uhuru wapo kihistoria hadi Uingereza wana tambua kuna hadi wazungu wahindi walisaidia Uhuru hawataji hapa anazumgumzia Aziz Ali ambae hamna kitu Kazi zake za misikiti... Asidamganye watu kitu kuna wajuu zake Aziz tunawafahamu pia.
 
Klyste Sykes amemwoa Stella Malya mchaga wa machame. ..
 
Jibu swali rahisi ushashikwa uongo wako kama kawaida yako tukujuao tushakuja mjivu Wa uongo kila ukiandika ati tayari muislam kha! Mbona huandiki elimu hawakiwa nayo... Yaani unataka kuwakuza hadi matarishi na washika videvu kama wale wanaotizama mchezo Wa drafti ati wapigania Uhuru... List ya watu Wa Uhuru ipo na Nyerere karekodiwa kila kitu wewe Kazi yako unataka kuchange history ambayo huwezi... You can't change the history... Past is past... Habari zako umesubiri wazee wafe uje kudanganya... Uhuru umeletwa na Christian Zanzibar john okello na Tanganyika Julius Nyerere. Period

Yamakagashi jibu hakupi huyu ni muongo sana huyu zake ni propaganda za dini yake tu... Ungekuwa wewe ni Muslim angekujubi vizuri sana... Ila jibu ni muongo
Duduwasha usiandike ukiwa umeghadhibika. Hapa nakusoma lakini nashindwa kupata mtiririko mzuri kufanya mjadala.

Sijasubiri Nyerere afariki ndiyo nisahihishe historia ya TANU.

Nimeandika Nyerere akiwa hai na hili nishalieleza hapa jamvini labda kwa kuwa wewe ni mgeni na maandishi yangu ndiyo hujui.

Kuna "series" zangu kuanzia 1988 nikiandika na Africa Events (London) makala ya kwanza kuandika historia ya TANU tofauti na ile rasmi ya Chuo Cha Kivukoni toleo zima liliondolewa katika "circulation."

Nimechapa kitabu cha maisha ya Abdul Sykes 1998 Nyerere alikuwa hai.

Vizuri kabla ya kuingia mjadala mtu ukafanya utafiti lau kidogo kujua unachokizungumza kuondoa kuonekana hujui kitu.

Laiti ungelifanya hivyo ungejua kuwa nilianza kuandika siku nyingi sana.

Tutazungumza zaidi nina mengi.
 
Huyo mzee atawadanganya nyie wavivu Wa kusoma na kufanya utafiti.. Cha ajabu hata maneno ya Nyerere anayapinga, wasio husika anaweweka kwenye historia yake.. Wapigania Uhuru wapo kihistoria hadi Uingereza wana tambua kuna hadi wazungu wahindi walisaidia Uhuru hawataji hapa anazumgumzia Aziz Ali ambae hamna kitu Kazi zake za misikiti... Asidamganye watu kitu kuna wajuu zake Aziz tunawafahamu pia.
Duduwasha ikiwa unayo historia ya Dar es Salaam na TANU iweke hapa tujifunze yale ambayo hatukuyajua kabla.

Huku ndiko kukuza elimu.
 
"Mwafrika wa kwanza kununua gari na kujenga nyumba ya vigae na vioo mtoni " Aziz Ali ,hapa ulikuwa na maana gani ? Kwamba Afrika nzima Aziz Ali ndio alikuwa wa kwanza kujenga au ulimaanisha Mtanzania mweusi wa kwanza kujenga nyumba ?
Walikuwepo wengine kama waarabu walishajenga ndio maana akaamanisha mwaafrika wa kwanza .
 
"Mwafrika wa kwanza kununua gari na kujenga nyumba ya vigae na vioo mtoni " Aziz Ali ,hapa ulikuwa na maana gani ? Kwamba Afrika nzima Aziz Ali ndio alikuwa wa kwanza kujenga au ulimaanisha Mtanzania mweusi wa kwanza kujenga nyumba ?
Miaka inayoandikwa hapa ni kabla ya Uhuru Tanzania haikuwepo. Tanzania imezaliwa April 26,1964. Rejea historia ya nchi yako.
 
Kina Sykes kiasili wao ni wafa
Sykes nasikia ndo babu zake na huyu mkata mauno prince dully sykes najiuliza kwann yy hakuwahi fata hata nyayo za babu zake au katika ukoo wao kuna aliyewahi kuwa hata mbunge katka zama za 2 , 3,4,5?
Sykes kiasili hawa ni wafanya biashara kujihusisha ktk Siasa ilikuwa ni kupitia Kulwa support harakati hizo financially. Hata leo sehemu kubwa ya familia hii ni wafanya biashara.
 
Kina Sykes kiasili wao ni wafa

Sykes kiasili hawa ni wafanya biashara kujihusisha ktk Siasa ilikuwa ni kupitia Kulwa support harakati hizo financially. Hata leo sehemu kubwa ya familia hii ni wafanya biashara.
Lakini huoni kama imesahulika kiasi fulani historia ya shuleni haiwataji kabisa me nadhani wangepewa heshima kama familia ya nyerere ingekuwa vizuri zaidi, na hii yote ni kutokana hawana mhamasishaji katika sector hyo
 
Anamaanisha mtanganyika wa kwanza mweusi kuwa na nyumba ya vigae. Elewa picha.
Wajing Wa humu wamekazia kumtetea mtu muongo na hatari ujinga na uongo anao uandika humu ni hatari sana kihistoria na nilijua keshashikwa atakwepa majibu mwishowe atatoa matusi ndio formula ya mtu muongmuongo... Ati Aziz Ali ndie mwafrica Wa kwanza au mtanganyika kununua gari na kujenga nyumba ya vigae! nilikuwa namsubiri ataje mwaka nimuumbue kakwepa kujibu hivyo thread yake hii ni hizo mtupu haiwezi kuwa history yenye uongo ndani... Tusiwe wapumbavu kumtetea mtu muongo
 
Kumbuka kuna aina tatu au njia tatu za kujibu swali njia ya kwanza unaweza kujibu swali kwa kupitia swali njia ya unaweza kujibu swali kwa maelezo njia tatu unaweza kujibu swali kwa kifupi sasa Mzee Mohamed Said amekujibu swali lako kupitia swali sasa sioni ubaya wwote hapo ndugu yngu
Hizo njia ndio umefundishwa shuleni kwenu? Acheni ujinga na upumbavu hakika ulifail mitihani kama unaamini ulichofundishwa shuleni kwenu aina tatu za kujibu maswali... Mtu muongo akinaswa huishia kutukana naona umekazia kumtetea mpotoshaji
 
Wajing Wa humu wamekazia kumtetea mtu muongo na hatari ujinga na uongo anao uandika humu ni hatari sana kihistoria na nilijua keshashikwa atakwepa majibu mwishowe atatoa matusi ndio formula ya mtu muongmuongo... Ati Aziz Ali ndie mwafrica Wa kwanza au mtanganyika kununua gari na kujenga nyumba ya vigae! nilikuwa namsubiri ataje mwaka nimuumbue kakwepa kujibu hivyo thread yake hii ni hizo mtupu haiwezi kuwa history yenye uongo ndani... Tusiwe wapumbavu kumtetea mtu muongo
Lete sasa historia yako ww ya ukweli zaidi ya hiyo Mzee Mohamed Said na sio maneno matupu na kashifa za kitoto
 
Back
Top Bottom