Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,658
Jibu swali rahisi ushashikwa uongo wako kama kawaida yako tukujuao tushakuja mjivu Wa uongo kila ukiandika ati tayari muislam kha! Mbona huandiki elimu hawakuwa nayo... Yaani unataka kuwakuza hadi matarishi na washika videvu kama wale wanaotizama mchezo Wa drafti ati wapigania Uhuru... List ya watu Wa Uhuru ipo na Nyerere karekodiwa kila kitu wewe Kazi yako unataka kuchange history ambayo huwezi... You can't change the history... Past is past... Habari zako umesubiri wazee wafe uje kudanganya... Uhuru umeletwa na Christian Zanzibar john okello na Tanganyika Julius Nyerere. PeriodYamagashi,
Ni rahisi sana kumuamsha mtu aliyelala kuliko yule ajifanyae amelala.
Nimekuelekeza vipi utapata jibu.
Yamakagashi jibu hakupi huyu ni muongo sana huyu zake ni propaganda za dini yake tu... Ungekuwa wewe ni Muslim angekujibu vizuri sana... Ila jibu ni muongo