-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Mwanaume kumpigia magoti mwanamke na kumvisha pete huo ni ufala....asilimia kubwa ya huo uhusiano huwa unaishia pabaya au kuwa na karaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Highest payed football player in TanzaniaAzizi K ana pesa?
Kama motisha ya kutafuta hela ni ili mtu aje kuoa single mama bora asizitafute hizo hela.Tafuteni hela jmn
Not smart , not smart at all marrying a sly queen with kids from multiple fathersMchezaji wa soka maarufu, Aziz Ki, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu mapenzi yake na mpenzi wake, Hamisa Mobetto. Akitumia mtandao wa kijamii wa Instagram, Aziz Ki ameandika ujumbe wa kipekee kwa Mobetto, akimtakia Siku ya Valentine na kuelezea jinsi alivyojisikia kuhusu uhusiano wao saa chache kuelekea ndoa yao.
View attachment 3236582
"Tangu nilipokutana nawe (Hamisa), nilijua kuwa wewe ni wangu wa milele. Wewe ni ushindi wangu mkubwa, ndoto yangu nzuri zaidi imetimia."
"Mwaka jana, nilipiga shuti muhimu zaidi-sio uwanjani, lakini kwa goti moja. Na uliposema NDIYO, Dunia yangu ilibadilika milele."
View attachment 3236583
View attachment 3236584
View attachment 3236601
Soma, Pia
anazo, siku akikosa kitakacho mpata mtakiona.Aziz K ana pesa?
Last time alikuqa anakunja mshahara wa milioni 34 kabla hajasaini mkataba mpya.Aziz K ana pesa?
Huyu msimu ujao Yanga wamuuze,maana ndicho kifuatacho.Huyu angetakiwa apate ushauri kwa ndikumana but too late jamaa alifariki na sonona yake
Kwa nini wa muuze?Huyu msimu Yanga wamuuze,maana ndicho kifuatacho.