Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine

Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine

Jina la series is "From a whore to a wife"

Wacha tuone miaka 10 baada ya ndoa watakua wametoa nini cha wanajamii kujifunza na football career ya jamaa ikiisha, jamaa atakua kajiandaa vipi at his peak?

Mimi kama mama boys siwezi kubali mwanangu aoe type ya mobeto, wafanye tu yao bila kunishirilisha hiyo dhambi.

Kuwa single mother sio shida, shit happens ila dada ni anajiuza, MALAYA WA BEI MBAYA
 
Wakati ukifika mtu sahihi kwako atakuja hutafosi chochote vitu vitaenda smooth
 
Jina la series is "From a whore to a wife"

Wacha tuone miaka 10 baada ya ndoa watakua wametoa nini cha wanajamii kujifunza na football career ya jamaa ikiisha, jamaa atakua kajiandaa vipi at his peak?

Mimi kama mama boys siwezi kubali mwanangu aoe type ya mobeto, wafanye tu yao bila kunishirilisha hiyo dhambi.

Kuwa single mother sio shida, shit happens ila dada ni anajiuza, MALAYA WA BEI MBAYA
Wanaume wanapenda wanawake malaya wanavutia zaidi
 
Maneno haya sio mageni jijini 😁😁

Kama sio kiki za promotion bhasi ikawe kheri kwao.
Ndio uone mapenzi hayana formula kaacha alomzalisha mtoto mmoja kaenda kuoa mama mwenye watoto wawili wanaume hamjuagi nin mnataka 😂😂😂
 
Mimi bado naamini hili ni igizo au tangazoooo.....kwelitutajua weekend hiii
 
Ndio uone mapenzi hayana formula kaacha alomzalisha mtoto mmoja kaenda kuoa mama mwenye watoto wawili wanaume hamjuagi nin mnataka 😂😂😂

Sura ya masaki, utundu wa tandika. Muacheni kijana mcheza mpira achanganyikiwe 😁😁😁
 
Tangu hili limeanza siwaoni kataa ndoa na wale wapinga maendeleo ya single mother. Kulikoni?

Wanaandala waraka?. Wanasubiri muda ufike? Au?
Hizi ni promotion na kiki tu. Haya mambo mbona sio mageni mjini, hata ndoa ya Jux haijatushtua kwa sababu tunajua kifuatacho. Huu utaratibu wa kutumia ndoa kupata cheap populality aliuanzisha Manara
 
Wanaume wanapenda wanawake malaya wanavutia zaidi
Kupenda malaya na kuoa malaya ni vitu viwili tofauti....
Kijana ni mshamba tu wa K, apige maombi sana iwe kheri...
In the end he has alot to loose akiachwa kuliko binti
 
Kwa hio wewe choka mbaya mnuka nyapu unaeingia period zisizoeleweka unataka kujufananisha na Hamisa ambae kila boss wa mjini anataka agonge, hadi rick ross alitaka kugonga?
Umetukana kama wewe hunuki wasichana wa elfu mbili wamesema mnanuka mapumbuu na matakoo na hamuogi vizuri uko nyuma mnanuka mavi , kiufupi bora yangu mie na nuka **** nanina mzunguu. Nanikuambie jamboo . Anaipenda hiyo **** kama nini na anaiosha mwenyewe huna kazi . Kazi umezungukwa na inzi chooni .

Kwanz hamisa ananuka k ndio manaa anaolewa mwanamke , huna akili kwa hiyo hamisa haendi hedhi kwani yeye ni malaika wanawake wote wananuka na wanaenda hedhi . Kwani kabla hajajitambua na kwenda kwa waganga nani alikuwa anamtambua halafu ukute unakichaa na chart na kichaa asiyejijua kachanganyikiwa katoka milembe na wanafamilia wamempokea peleka shida zako kwenu kabake mbuzi maana huna hata jero lakumla hata asha ngedere shenzi type kazi kutukana wanadada watu wazima mpuuzi mmoja tu wewe.
 
Wapi Majizo
Wapi Chibu Dangote
Wapi Boss kubwa wa kijani
Wapi Rick Rosey
Wapi Fred Vunja bei
Wapi Hushpupi
Wapi Wizkid
Wapi Chawa wetu muha
Wapi Alikiba
Wapi madirector kibao
Wapi Ginimbi a.k.a the late Boss G
Wapi Ivan Don the late

Foleni ni ndefu nyingine hatujui nyingine rumours haya sasa leo mahari milioni 30.
 
Wapi Majizo
Wapi Chibu Dangote
Wapi Boss kubwa wa kijani
Wapi Rick Rosey
Wapi Hushpupi
Wapi Wizkid
Wapi Chawa wetu muha
Wapi Alikiba
Wapi madirector kibao
Wapi Ginimbi a.k.a the late Boss G
Wapi Ivan Don the late

Foleni ni ndefu nyingine hatujui nyingine rumours haya sasa leo mahari milioni 30.
Tena ndogo hii mie nitalipiwa ml 500 nakama hutoamini ipo siku mie sio star walahi mtaniona kwenye mitandao ya kijamii kuna mwanakaka amezimia ameoza kwa mwanadada huyu hadi kamlipia ml 500 mahari yake bila kulogwa wala nini ni ridhaa ya Mwenyenzi Mungu kumtunukia sweet candy
 
Tena ndogo hii mie nitalipiwa ml 500 nakama hutoamini ipo siku mie sio star walahi mtaniona kwenye mitandao ya kijamii kuna mwanakaka amezimia ameoza kwa mwanadada huyu hadi kamlipia ml 500 mahari yake bila kulogwa wala nini ni ridhaa ya Mwenyenzi Mungu kumtunukia sweet candy

Labda milioni za South Sudan
 
Back
Top Bottom