Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Atakachofanywa lini mzeya ?!!Kwani vina muda basi,mi naona aziz ki ni limbukeni wa mapenzi ila ajue bado anasomewa rada atakachofanywa hatakuja kuamini
Furaha na raha ya siku moja ina thamani kubwa kwani HATUISHI milele hapa duniani......
Mwache shemeji aendelee kumfaidi dada etu.....