Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Atakachofanywa lini mzeya ?!!Kwani vina muda basi,mi naona aziz ki ni limbukeni wa mapenzi ila ajue bado anasomewa rada atakachofanywa hatakuja kuamini
Ha ha haSupport aliyoipata hapa nadhani ni tofauti hata na huko kwao, na bado akapewa na mbunye classic kwanini asiombe uraia.
Ha ha ha ha yatosha yeye kutuburudisha pale jangwani...mtu hapewi yote.....Watoto watachukua mbegu ya mama
Kwa hiyo kwa usalama wa wapwa zetu na shemeji yetu kipenzi tumpeleke uvinza ama Mwamgongo Kigoma akamtie tunguruni dada yetu ?!!Hofu ya wengi ni matumizi ya laki tatu kwa siku ya dada yetu
Why mumuombee mabaya kijana wa watu? Afilisike kweli?Kweli bongo new york,yanga pale kuna kitu wachezaji wa kigeni huwa wanalishwa si bure,kuna msululu wa wachezaji waliopita yanga hawataki kurudi kwao,kuanzia Makambo mpaka chirwa
Aziz Ki ameanza mchakato wa kuomba uraia huenda akawa kocha hapohapo uto baada ya kustaafu mpira na kufirisika
Umeonaa eee?!!Kumvua kyupi binti ni uchawi tosha
😀mbona kufirisika tenaKweli bongo new york,yanga pale kuna kitu wachezaji wa kigeni huwa wanalishwa si bure,kuna msululu wa wachezaji waliopita yanga hawataki kurudi kwao,kuanzia Makambo mpaka chirwa
Aziz Ki ameanza mchakato wa kuomba uraia huenda akawa kocha hapohapo uto baada ya kustaafu mpira na kufirisika
Na huko Bukinabe si ndio yupo yule chalii ndio raisi wao lazima hali ya huko ni tete. Tz ni the best option.Kabisa ni kama yupo nyumbani
Si tu wanaspoti na wanamuziki....Ni kweli wachezaji wa kigeni walioanzia Yanga hasa wakongo huwa wanatia kambi bongo mazima na hii fashion ya uraia wa vodafasta hali itakuwa balaa.
Moringa,Shishimbi,Zahera wapo DSM mpaka kesho.
Tanzania pazuri, watanzania wakarimu sanaaa, mtu arudi Burkina Faso kwenye vita na njaa kweli wakati uache asali TanzaniaBongo wakarimu sana kwa wageni sio rahisi mgeni kufanyiwa fujo ,nenda congo au south ukiwa mgeni basi ni kosa kubwa .
Morisson mwenyewe anaipenda Tz imempa heshima kubwa sana.
Hatumuombei mabaya. Ila dada yetu tunamjua matumizi yake ni laki 3 kwa siku na shemeji kabakisha miaka haizidi saba,hapo ana 29,mpira ni ajira ya kipuuzi sana,soon ataitwa mzeeWhy mumuombee mabaya kijana wa watu? Afilisike kweli?
Not that way .Usimba na Yanga usiwapeleke huku ,we are human beings bwana
Moja ya nchi Dunia ,,ukiwa mgeni kuishi vizuri na ukapokelewa na watu ni Tanzania hatunaga ka roho Fulani hivyo ka vijicho Kwa wageni ,sema angetafuta tu Demu moali sio superstar akao Hilo litamfilisiM23 wamefanya wacongoman wagome kurudi kwao wako tayari kuchezea namungo bure
Kwa mpira hapo ni miaka mitatu Au 4 MaxHatumuombei mabaya. Ila dada yetu tunamjua matumizi yake ni laki 3 kwa siku na shemeji kabakisha miaka haizidi saba,hapo ana 29,mpira ni ajira ya kipuuzi sana,soon ataitwa mzee
Acha zako ...Watu wanapendana 😀😀hajashtuka Tu Mtoto wake WA Kwanza ana urithi wasafi ,wapili ana urithi EFm ,ww unaingia kichwa kichwaKwa mara ya kwanza nimefanikiwa kumuona live mtu aliejichanganya kwenye mapenzi