Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kwa hili la laki 3 kwa siku ,hakika shem kazi anayo haki ha ha ha ...hebu tumpeleke Kasulu tukaipunguze angalau iwe 50,000 ha ha haHatumuombei mabaya. Ila dada yetu tunamjua matumizi yake ni laki 3 kwa siku na shemeji kabakisha miaka haizidi saba,hapo ana 29,mpira ni ajira ya kipuuzi sana,soon ataitwa mzee
Ha ha ha wale sio binadamu wenye damu ya wema wa kitanzaniaM23 wamefanya wacongoman wagome kurudi kwao wako tayari kuchezea namungo bure
Watu wanaona kama tuna wivu ila tunajaribu kujenga hoja ili vijana wasijichanganye Hapo baadaeHuyu mpwa atakuwa na urithi.......
Kumbe ule mshangazi bado misuli ya ndani ipo biyeeee kufinyia vilivyoInaitwa honey trap,kitoto cha uswazi usikute kinafinyia ndani mixer limbwata,usimlaumu sana wanaume tunapitia mengi mkuu
Aiseeee! Jamaa ana bonge ya wife, kitu nyama laini Mimi kama huyu akinikiss tu kwishaaView attachment 3239571
Hapa unadhani ningetoboaje?😔
Ndo hivyo! Nimegive up baada ya kuona mtoto ni kisu hapo nimemzidi ubonge tu😔Aiseeee! Jamaa ana bonge ya wife, kitu nyama laini Mimi kama huyu akinikiss tu kwishaa
Sema wachezaji wanajua kuspot bn anajinyakulia Mali matata sana nimeona Mudathir Yahaya, Fareed Muda, Dogo Moja wa Simba demu wake nyama nyingi & huko ulaya ndo balaaaaNdo hivyo! Nimegive up baada ya kuona mtoto ni kisu hapo nimemzidi ubonge tu😔
Mademu tunafata jina, halafu siunajua wacheza mpira show show😉Sema wachezaji wanajua kuspot bn anajinyakulia Mali matata sana nimeona Mudathir Yahaya, Fareed Muda, Dogo Moja wa Simba demu wake nyama nyingi & huko ulaya ndo balaaaa
Kwenye majina kweli aisee hua mda mwingine naangaliaga video za Georgina Rodriguez anavomtazama Ronaldo au majuzi kati wakati makamu wa rais Marekani (yule Muhindi) alivokua anaapishwa aisee facial gestures za mke wake🙌🙌🙌unaona kabisa huyu mdada kaloaMademu tunafata jina, halafu siunajua wacheza mpira show show😉
Dada yetu nimemjulia kule Mikocheni uswazi alipokuwa anaishi na mama yake.....masela wa maeneo ya kanisa la Esta ,maeneo ya King'oko karibu na shule ya msingi Mikocheni B wanatoa ushuhuda kuwa dada ana "maumbile kificho" ya pekee na anajua nanihii mnooo....sasa "uspecialist" huo ukichanganya na "ukyuti" na limbwata la dawa ya ndizi mtwike+ nta nyeusi na talasimu katika mashimo ya vichuguu HUTOKI ,hutoki binamu.....wala simlaumu MBUKINABE.....Kumbe ule mshangazi bado misuli ya ndani ipo biyeeee kufinyia vilivyo
Kubaki na hamisa mobeto mpaka kifo kiwatenganisheKweli bongo new york,yanga pale kuna kitu wachezaji wa kigeni huwa wanalishwa si bure,kuna msululu wa wachezaji waliopita yanga hawataki kurudi kwao,kuanzia Makambo mpaka chirwa
Aziz Ki ameanza mchakato wa kuomba uraia huenda akawa kocha hapohapo uto baada ya kustaafu mpira na kufirisika
Tawile Sangoma.Kwani vina muda basi,mi naona aziz ki ni limbukeni wa mapenzi ila ajue bado anasomewa rada atakachofanywa hatakuja kuamini
Akitaka ajue wabongo hawana maana siku achomeshe.Kweli bongo new york,yanga pale kuna kitu wachezaji wa kigeni huwa wanalishwa si bure,kuna msululu wa wachezaji waliopita yanga hawataki kurudi kwao,kuanzia Makambo mpaka chirwa
Aziz Ki ameanza mchakato wa kuomba uraia huenda akawa kocha hapohapo uto baada ya kustaafu mpira na kufirisika