Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Kweli uchawi upo, yaani unakabidhi milioni 30 na ng'ombe 30, wewe unakabidhiwa watoto wawili wa wanaume wenzio..Mahari 30m mbona pesa haiendani na bidhaa aliyonunua
Wamwache na maisha yake as long as anajua anachokifanya
ukute ni domo zegeKweli uchawi upo, yaani unakabidhi milioni 30 na ng'ombe 30, wewe unakabidhiwa watoto wawili wa wanaume wenzio..
Huyu Ki kabda punga.
Kwahio vijana wa Kitanzania mna muonea wivu Hamisa, mlitaka Aziz awashenyete nyie..?
Embu huo umasikini wivu chuki makasiriko na upuuzi wenu pelekeni kijijini kwenu waacheni waoane...
By the way hapo kwanza Kitaifa tumefaidika na hiyo ndoa...
Niishie tu kusema Mwana kasomeshwa gazeti la kufungia maandazi!
Sijui kampani yake ni akina nani,ila kama angekuwa na mtoto wa Kino Mkude,kidogo angewaelewa wanawake wa mjini. Mkude kamla Kajala kimya kimya baadae kapiga chini.Sijui ni kwanini Wanaume wengi wa Afrika Magharibi ni Washamba mno wa Mbunye na sishangai ndiyo maana Wanaume wa Afrika Mashariki tunawazidi Ujanja na Akili.
Kwa Hamisa Mobeto ninayemjua Mimi ningekuwa Mimi ndiyo nataka Kumuoa ningetoa Mahari ya Shilingi Elfu Hamsini za Kitanzania na Kuku Jike mmoja na Jogoo mmoja tu.
Gari bovu huwa haligharamiwi sana Oky?
Wasanini nyie hamwajui......wanpenda kiki Hapo utakuta mahali hazidi 5M.Ukwer aziz k ametapeliwa akuna mahali y million 30 pale
Kwan huyu ni mwanamke au mwanaume.Duh wewe ulitolewa ngapi π
πππππππDuh wewe ulitolewa ngapi π
"KATA PUA UUNGE WAJIHI"Hivi hii methali ya kiswahili huwa Ina maana Gani?mpaka Leo sijawahi elewa na Ile KATA PUA UUNGE WAJIHI,ama kweli safari za Marco polo ziligundua kiswahili π€£π€£π€£