Aziz Ki acha ushamba, Hamisa Mobeto hana hata Mahari ya kuku kumi (10)

Bwana K. katengezewa mazingira ya kupigwa pesa na watoto wa mjini dalisalama, injinia ni mtu wa kufanyia kazi kila fursa inayojitokeza, bongo sio.
 
Binafsi siwezi kuoa au kutoa mahari wala kutambulishwa kwa wazazi na mwanamke singo maza tena wa mtoto mmoja, labla nitie mimba tuu maisha yaendelee
 
Mahari ni makubaliano ya mume na mke, ww kama hauna uwezo wa kutoa kias hicho ni ww.
Na ndio maana Kuna mwingine anaweza kutoa gari kumpa mwanamke, lakini mwingine hata kumpa mwanamke laki Moja hawezi. Kwa hiyo huo sio ushamba bali mfuko unaruhusu
 
Mahari ni makubaliano ya mume na mke, ww kama hauna uwezo wa kutoa kias hicho ni ww.
Na ndio maana Kuna mwingine anaweza kutoa gari kumpa mwanamke, lakini mwingine hata kumpa mwanamke laki Moja hawezi. Kwa hiyo huo sio ushamba bali mfuko unaruhusu
Kuna wengine mifuko hairuhusu lakini wanapambana kutoa. Maisha ndivyo yalivyo
 
Kwani anakuoa wewe?

Acheni Wivu wa kike
 
Hamisa ndo kaazima hao ng'ombe mnadani Pugu. Baada ya picha wanarudishwa
 
Hana bikra zote yule
 
Eng.Said born town kweli.
Pesa ya wabongo haiendi kujenga Burkinabe. Analipwa pesa ndefu nyingi inabaki bongoland.
 
Kwa akili kama hizi we hata Binti Yako ukinipa Bure sichukui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…