Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
Ndiyo ameshaolewa sasa sijui mtafanyaje😂😂 labda mdeki bahari mkisubiri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana K. katengezewa mazingira ya kupigwa pesa na watoto wa mjini dalisalama, injinia ni mtu wa kufanyia kazi kila fursa inayojitokeza, bongo sio.Yule muhuni wa kwetu Mbagala si alikaa naye bila kutoa ata shilingi kumi chafu sio? Sasa home boy wa Bukinabe kafeli wapi?
Eng.Said si huwa wanasema ni mtoto wa mjini kashindwa vipi kumsanua mwanetu?
Kila la kheri kwa KI Aziz
FT Ki Aziz 0 : Hamisa 3
Dah kweli mjini shuleBwana K. katengezewa mazingira ya kupigwa pesa na watoto wa mjini dalisalama, injinia ni mtu wa kufanyia kazi kila fursa inayojitokeza, bongo sio.
Kuna wengine mifuko hairuhusu lakini wanapambana kutoa. Maisha ndivyo yalivyoMahari ni makubaliano ya mume na mke, ww kama hauna uwezo wa kutoa kias hicho ni ww.
Na ndio maana Kuna mwingine anaweza kutoa gari kumpa mwanamke, lakini mwingine hata kumpa mwanamke laki Moja hawezi. Kwa hiyo huo sio ushamba bali mfuko unaruhusu
Kwani anakuoa wewe?Sijui ni kwanini Wanaume wengi wa Afrika Magharibi ni Washamba mno wa Mbunye na sishangai ndiyo maana Wanaume wa Afrika Mashariki tunawazidi Ujanja na Akili.
Kwa Hamisa Mobeto ninayemjua Mimi ningekuwa Mimi ndiyo nataka Kumuoa ningetoa Mahari ya Shilingi Elfu Hamsini za Kitanzania na Kuku Jike mmoja na Jogoo mmoja tu.
Gari bovu huwa haligharamiwi sana Oky?
Pia soma: Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto
Yaani😀😀😀😀😀Wanaume wa siku hizi bhana! Mnamuonea wivu Hamisa kuliko hata wanawake wenzake. Jipange na wewe wakutolee mahali ya ng'ombe 100
huyo ki mwenyewe anao wawili. Boy and girlInawezekana Kii hajui kama Mobeto ana watoto.
Hamisa ndo kaazima hao ng'ombe mnadani Pugu. Baada ya picha wanarudishwaSijui ni kwanini Wanaume wengi wa Afrika Magharibi ni Washamba mno wa Mbunye na sishangai ndiyo maana Wanaume wa Afrika Mashariki tunawazidi Ujanja na Akili.
Kwa Hamisa Mobeto ninayemjua Mimi ningekuwa Mimi ndiyo nataka Kumuoa ningetoa Mahari ya Shilingi Elfu Hamsini za Kitanzania na Kuku Jike mmoja na Jogoo mmoja tu.
Gari bovu huwa haligharamiwi sana Oky?
Pia soma: Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto
Hana bikra zote yuleSijui ni kwanini Wanaume wengi wa Afrika Magharibi ni Washamba mno wa Mbunye na sishangai ndiyo maana Wanaume wa Afrika Mashariki tunawazidi Ujanja na Akili.
Kwa Hamisa Mobeto ninayemjua Mimi ningekuwa Mimi ndiyo nataka Kumuoa ningetoa Mahari ya Shilingi Elfu Hamsini za Kitanzania na Kuku Jike mmoja na Jogoo mmoja tu.
Gari bovu huwa haligharamiwi sana Oky?
Pia soma: Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto
Eng.Said born town kweli.Yule muhuni wa kwetu Mbagala si alikaa naye bila kutoa ata shilingi kumi chafu sio? Sasa home boy wa Bukinabe kafeli wapi?
Eng.Said si huwa wanasema ni mtoto wa mjini kashindwa vipi kumsanua mwanetu?
Kila la kheri kwa KI Aziz
FT Ki Aziz 0 : Hamisa 3
Hapa ni domo zege Wala hakuna chungu kaona kivuno.GANDA LA MUWA LA JANA CHUNGU KAONA KIVUNO