Aziz Ki amewahadaa sana viongozi wa Simba, hawatamsahau kamwe

Aziz Ki amewahadaa sana viongozi wa Simba, hawatamsahau kamwe

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hahahaa sakata la Aziz Ki bora limeisha. Ukwelii Aziz alishaingiziwa mzigo akiwa huko kwao.

Kilichoendelea ni kuwachezesha Simba viongozi kadhaa wamempigia wakaimba naye weee akawaahidi akitua atakuja kumalizana nao.

Masikini Ahmed Ally akakimbilia mtandaoni hajasaini unajua Azizi mtu makini asaini kijinga anataka timuyenye hela yenye kumaliza shida zake na wana Simba mda si mrefu mtamfurahia Azizi Ki simba.

Alipotua akazima simu akakutana na kazi za Eng. zikmsubiria huku wahuni wa simba wakiwa pembeni kuangalia anaelekea wapi.

Akiwa huko aliambiwa ukifika kuna mtu atakupigia yuko xyz atavaa yzd.


Kufika wana Hersi wakapita naye wakaelekea hukoo jamaa wakakimbilia alipokuwa anaishi choma sana mihogo subiria holaaa.

Kazi ikamalizwa mapema baada ya viongozi kuona kama Mateso tumewapa imetosha kazi ndio hiiiiiiiii.

Mo na wenzie hawatawasahau milelelee
 
HAHAHAAAAA SAKATA LA AZIZ K BORA LIMEISHAAA

UKWELII AZIZ ALISHAINGJZIWA MZIGO AKIWA HUKO KWAO

KILICHOENDELEA N KUWACHEZESHA SIMBA VIONGOZI KADHAA WAMEMPIGIA WAKAIMBA NAEE WEEE AKAWAHAIDI AKITUA ATAKUJA MALIZANA NAOOO

MASIKINI AHMED ALLY AKAKIMBILIA MTANDAON HAJASAINI UNAJUA AZIZI MTU MAKINI ASAINI KIJINGA ANATAKA TIMUYENYE HELA YENYE KUMALIZA SHIDA ZAKE NA WANA SIMBA MDA SI MREFU MTAMFURAHIA AZIZI K SIMBA

ALIPOTUA AKAZIMA SIMU AKAKUTANA NA KAZI ZA ENGN ZIKMSUBIRIA HUKU WAHUNI WA SIMBA WAKIWA PEMBEN KUANGALIA ANAELEKEA WAPI

AKIWA HUKO ALIAMBIWA UKIFIKA KUNA MTU ATAKUPIGIA YUKO XYZ ATAVAA YZD

KUFIKA WANA HERSI WAKAPITA NAE WAKAELEKEA HUKOOII JAMAA WAKAKIMBILIA ALIPOKUWA ANAISHI CHOMAAA SANA MIHOGOO SUBIRIA HOLAAA


KAZI IKAMALIZWA MAPEMA BAADA YA VIONGOZI KUONA KAMA.MATESO TUM.EWAPA IMETOSHA KAZI NDIO HIIIIIIIIIII

AZIZ NA ENGN ...ANAWAONAAAA

MO NA WENZIE HAWATAWASAHAU MILELELEE
Mtonyo alioingiziwa na wananakolo aliurudisha?.


Aahaaa
 
KaoleDrama Fc Vol 2.
Vol 1 ft Mabeto hamisa imeuza uza ngoja tuone hii.
 
Ukiona mtu anatumia herufi kubwa kwenye uandishi wake anajua hata la7 hakumaliza.
KWENYEEEE UKOOO WENUUHH ELIMU YANGUU MNAHESABIKAA WEWE PIMBIII

SIJASOMAAAAAA TUMAINIII WALAA OPEN PUNBAVUUU WEWEEEE...

KWENYE FAMILIA YAKOOO NDOOO KABISAA HATA WANAO YAWEZEKANA WASIFIKE ELIMU YANGU
.SEMA.AMEEN KAMA HUJAKASIRIKA N JESUS NAME
 
Masters ya UDSM? amefanya ugunduzi gani unaoweza kutatua kero za jamii yetu? Au ndiyo zile masters za kukaa maofizini kusubiri mishahara?
Pimbiii msameheee mpwaa
 
Koma wewe, Pdidy ana Masters ya Udsm.
Kama ni kweli basi ajengewe sanamu aliyesema "linapokuja swala la utopolo ni ngumu sana kumtofautisha msomi na muokota makopo jalalani maana wote akili zao zinakuwa sawa"
 
Hahahaa sakata la Aziz Ki bora limeisha. Ukwelii Aziz alishaingiziwa mzigo akiwa huko kwao.

Kilichoendelea ni kuwachezesha Simba viongozi kadhaa wamempigia wakaimba naye weee akawaahidi akitua atakuja kumalizana nao.

Masikini Ahmed Ally akakimbilia mtandaoni hajasaini unajua Azizi mtu makini asaini kijinga anataka timuyenye hela yenye kumaliza shida zake na wana Simba mda si mrefu mtamfurahia Azizi Ki simba.

Alipotua akazima simu akakutana na kazi za Eng. zikmsubiria huku wahuni wa simba wakiwa pembeni kuangalia anaelekea wapi.

Akiwa huko aliambiwa ukifika kuna mtu atakupigia yuko xyz atavaa yzd.


Kufika wana Hersi wakapita naye wakaelekea hukoo jamaa wakakimbilia alipokuwa anaishi choma sana mihogo subiria holaaa.

Kazi ikamalizwa mapema baada ya viongozi kuona kama Mateso tumewapa imetosha kazi ndio hiiiiiiiii.

Mo na wenzie hawatawasahau milelelee
😀😀😀😀😀
 
Hahahaa sakata la Aziz Ki bora limeisha. Ukwelii Aziz alishaingiziwa mzigo akiwa huko kwao.

Kilichoendelea ni kuwachezesha Simba viongozi kadhaa wamempigia wakaimba naye weee akawaahidi akitua atakuja kumalizana nao.

Masikini Ahmed Ally akakimbilia mtandaoni hajasaini unajua Azizi mtu makini asaini kijinga anataka timuyenye hela yenye kumaliza shida zake na wana Simba mda si mrefu mtamfurahia Azizi Ki simba.

Alipotua akazima simu akakutana na kazi za Eng. zikmsubiria huku wahuni wa simba wakiwa pembeni kuangalia anaelekea wapi.

Akiwa huko aliambiwa ukifika kuna mtu atakupigia yuko xyz atavaa yzd.


Kufika wana Hersi wakapita naye wakaelekea hukoo jamaa wakakimbilia alipokuwa anaishi choma sana mihogo subiria holaaa.

Kazi ikamalizwa mapema baada ya viongozi kuona kama Mateso tumewapa imetosha kazi ndio hiiiiiiiii.

Mo na wenzie hawatawasahau milelelee
aziz ki alisaini yanga june
 
Hahahaa sakata la Aziz Ki bora limeisha. Ukwelii Aziz alishaingiziwa mzigo akiwa huko kwao.

Kilichoendelea ni kuwachezesha Simba viongozi kadhaa wamempigia wakaimba naye weee akawaahidi akitua atakuja kumalizana nao.

Masikini Ahmed Ally akakimbilia mtandaoni hajasaini unajua Azizi mtu makini asaini kijinga anataka timuyenye hela yenye kumaliza shida zake na wana Simba mda si mrefu mtamfurahia Azizi Ki simba.

Alipotua akazima simu akakutana na kazi za Eng. zikmsubiria huku wahuni wa simba wakiwa pembeni kuangalia anaelekea wapi.

Akiwa huko aliambiwa ukifika kuna mtu atakupigia yuko xyz atavaa yzd.


Kufika wana Hersi wakapita naye wakaelekea hukoo jamaa wakakimbilia alipokuwa anaishi choma sana mihogo subiria holaaa.

Kazi ikamalizwa mapema baada ya viongozi kuona kama Mateso tumewapa imetosha kazi ndio hiiiiiiiii.

Mo na wenzie hawatawasahau milelelee
Simba hawana ujinga wa kumsajili mchezaji wa kiwango cha Aziz Ki kwa kumpa sh. bilioni 1.2
 
Uthibi
Hahahaa sakata la Aziz Ki bora limeisha. Ukwelii Aziz alishaingiziwa mzigo akiwa huko kwao.

Kilichoendelea ni kuwachezesha Simba viongozi kadhaa wamempigia wakaimba naye weee akawaahidi akitua atakuja kumalizana nao.

Masikini Ahmed Ally akakimbilia mtandaoni hajasaini unajua Azizi mtu makini asaini kijinga anataka timuyenye hela yenye kumaliza shida zake na wana Simba mda si mrefu mtamfurahia Azizi Ki simba.

Alipotua akazima simu akakutana na kazi za Eng. zikmsubiria huku wahuni wa simba wakiwa pembeni kuangalia anaelekea wapi.

Akiwa huko aliambiwa ukifika kuna mtu atakupigia yuko xyz atavaa yzd.


Kufika wana Hersi wakapita naye wakaelekea hukoo jamaa wakakimbilia alipokuwa anaishi choma sana mihogo subiria holaaa.

Kazi ikamalizwa mapema baada ya viongozi kuona kama Mateso tumewapa imetosha kazi ndio hiiiiiiiii.

Mo na wenzie hawatawasahau milelelee
Uthibirisho tafadhali.
 
Back
Top Bottom