Aziz Ki angefanya vizuri ikwa angesajiiwa Simba SC, Yanga wanacheza mpira wa hovyo

Aziz Ki angefanya vizuri ikwa angesajiiwa Simba SC, Yanga wanacheza mpira wa hovyo

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Huu ndiyo ukweli, mpira wa Asec Memosa ni mpira wa kasi, siyo wa taratibu. Na wachezaji wengi wa Afrika Magharibi wanacheza mpira wa kasi. Timu pekee kwa Tanzania kwa sasa inayocheza mpira wa kitaalamu na wenye ubunifu ni Simba SC. Hivyo usahili wa Ki hapo Yanga haujaleta matokeo kulingana na mpira wa hovyo wanocheza Yanga.
 
Angekuja simba angekaa benchi coz ingebidi amuweke benchi chama...sasa Aziz ki kwa kiwango ghani cha kumuweka benchi chama?
Au arudi nyuma acheze kama Double holding midfielder amuweke benchi Mzamiru au Kanoute.
 
Angekuja simba angekaa benchi coz ingebidi amuweke benchi chama...sasa Aziz ki kwa kiwango ghani cha kumuweka benchi chama?
Au arudi nyuma acheze kama Double holding midfielder amuweke benchi Mzamiru au Kanoute.
Kitu ambacho kisingewezekana coz mzamiru Na kanoute wanakaba Sasa yeye angetuofa Nini???
 
Huu ndiyo ukweli, mpira wa Asec Memosa ni mpira wa kasi, siyo wa taratibu. Na wachezaji wengi wa Afrika Magharibi wanacheza mpira wa kasi. Timu pekee kwa Tanzania kwa sasa inayocheza mpira wa kitaalamu na wenye ubunifu ni Simba SC. Hivyo usahili wa Ki hapo Yanga haujaleta matokeo kulingana na mpira wa hovyo wanocheza Yanga.
Naomba Mungu Utowaingie makundi ili wakifika kule wapasuliwee
 
Nani ana kasi hapa kati ya hawa Chama, Mzamiru, Mkude Kyombo, Boco, Erasto Nyoni Kanoute, Onyango, Outara
We mzee kasi siyo kukimbia mbio kama riadha. Kasi ya mpira ni kutoa pasi wakati sahihi na kwenye nafasi sahihi. Yanga azizi akipata pasi anataka akokote mita 10-15 peke yake, Morrison akipata mpira anataka akimbilie kufunga yeye tu, Kisinda ndio kituko.. Akipata mpira anapitiliza mpaka nje kwa mbio, vilevile moloko. Fei ndio kabisa kila mpira anataka kupiga shuti golini. Lomalisa yeye ni kupiga back pass tu.
 
Huu ndiyo ukweli, mpira wa Asec Memosa ni mpira wa kasi, siyo wa taratibu. Na wachezaji wengi wa Afrika Magharibi wanacheza mpira wa kasi. Timu pekee kwa Tanzania kwa sasa inayocheza mpira wa kitaalamu na wenye ubunifu ni Simba SC. Hivyo usahili wa Ki hapo Yanga haujaleta matokeo kulingana na mpira wa hovyo wanocheza Yanga.
Kwa hiyo angecheza vizuri na yule kiungo nungunungu, kiungo punda, na kiungo konokono bila shaka!
 
Mi nilijua unaandika utaalamu wa kimfumo wa uchezaji!!

Kumbe unatoa maoni yako
 
Unatoka ASEC MIMOSA ..?..unaenda YANGA...?
 
Huu ndiyo ukweli, mpira wa Asec Memosa ni mpira wa kasi, siyo wa taratibu. Na wachezaji wengi wa Afrika Magharibi wanacheza mpira wa kasi. Timu pekee kwa Tanzania kwa sasa inayocheza mpira wa kitaalamu na wenye ubunifu ni Simba SC. Hivyo usahili wa Ki hapo Yanga haujaleta matokeo kulingana na mpira wa hovyo wanocheza Yanga.
Jumapili sio mbali.tulieni.
 
We mzee kasi siyo kukimbia mbio kama riadha. Kasi ya mpira ni kutoa pasi wakati sahihi na kwenye nafasi sahihi. Yanga azizi akipata pasi anataka akokote mita 10-15 peke yake, Morrison akipata mpira anataka akimbilie kufunga yeye tu, Kisinda ndio kituko.. Akipata mpira anapitiliza mpaka nje kwa mbio, vilevile moloko. Fei ndio kabisa kila mpira anataka kupiga shuti golini. Lomalisa yeye ni kupiga back pass tu.
Tupe matokeo ya mechi tano za mwisho za timu yenye kasi na wanao kokota mpira
 
Kwe
Tupe matokeo ya mechi tano za mwisho za timu yenye kasi na wanao kokota mpira
Kwenye mechi 5 za mwisho Simba ameshinda zote tano 1-0 Prisons, 2-0 Big Bullets, 3-0 Dodoma Jiji 3-1 De 1° Agosto, 1-0 1°Agosto. Kwenye hizo mechi 5 Simba wamefunga magoli 10 na kuruhusu goli moja pekee.
Yanga kwenye mechi 5 za mwisho ni 3-0 Mtibwa, 5-0 Zalan (hapa hata wewe najua unacheka) , 2-1 Ruvu shooting, 1-1 Al Hilal, 0-1 Al Hilal. Kwenye mechi hizo 5 wameshinda mechi 3, sare moja na wamepoteza moja. Wamefunga jumla ya magoli 11 ikiwa ni pamoja na yale walimfunga Zalan na wamefungwa magoli 3.
Haya uliza lingine
 
Kwe

Kwenye mechi 5 za mwisho Simba ameshinda zote tano 1-0 Prisons, 2-0 Big Bullets, 3-0 Dodoma Jiji 3-1 De 1° Agosto, 1-0 1°Agosto. Kwenye hizo mechi 5 Simba wamefunga magoli 10 na kuruhusu goli moja pekee.
Yanga kwenye mechi 5 za mwisho ni 3-0 Mtibwa, 5-0 Zalan (hapa hata wewe najua unacheka) , 2-1 Ruvu shooting, 1-1 Al Hilal, 0-1 Al Hilal. Kwenye mechi hizo 5 wameshinda mechi 3, sare moja na wamepoteza moja. Wamefunga jumla ya magoli 11 ikiwa ni pamoja na yale walimfunga Zalan na wamefungwa magoli 3.
Haya uliza lingine
Walipo kutuna wao kwa wao usitafute kichaka
 
Walipo kutuna wao kwa wao usitafute kichaka
Umebadilisha swali? Hebu nioneshe sehemu uliyosema mechi tano za mwisho walozokutana wao kwa wao? Na kwanini useme za mwisho na siyo walizofungana magoli mengi?
 
Back
Top Bottom