Azizi ki amvulia kofia Chama



bocco(chama) vs baleke(aziz k)
 
Haya ni maneno kutoka kwa mtu aliyejaza kinyesi kichwani anadhani ni ubongo!
 
Hakika umethibitisha Umbumbumbu unaomiliki akilini mwako.. kama hujui kitu Bora unyamaze Tu... [emoji16][emoji2]
 
Nashkuru kwa Chama kutumika kama kipimo cha kiungo Bora ktk soka letu. Ukileta kiungo wako sharti alinganishwe na Chama [emoji23][emoji23]
Amethibitisha hilo bila kujijua [emoji23]
 
Morocco ipi?? Aliyokimbia?? Sasa ushindani kaukimbia unawezaje kumuita mshindani.
Mchezaji wa mechi ndogo vs mchezaji wa mechi kubwa, acha kuwafananisha
 
Morocco ipi?? Aliyokimbia?? Sasa ushindani kaukimbia unawezaje kumuita mshindani.
Mchezaji wa mechi ndogo vs mchezaji wa mechi kubwa, acha kuwafananisha
Huyo azizi ki amecheza timu gani kubwa Africa ?
 
Huyo chama Amefika final yoyote ya CAF kwanza ili tumjadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…