Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MakoloSisi au azizi ki na edo ?
Chama na Aziz K ni wachezaji tofauti kabisa huwezi kuwafananisha ndio maana nmesema yale yale ya Mayele na KibuChama hafananishwi mkuu
Awe mwanachama au asiwe Mimi hainihusu.Usisahau pia kuwa edo ni mwanachama hai kabisa wa utopolo
Kuna Sheria imevunjwa au Ni hii post tu.Wakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake.
Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Punguza umaandazi utafika mbali.Dogo acha ny.ege
Punguza umaandazi utajanishukuru baadae.mwakarobo fc
Hujachamba mkuu Rudi chooni katawaze.nawewe punguza umachapati na usije nishukuru tambaa
Utoto + togwa raha sana.“Hata yeye mwenyewe (Aziz Ki) tukiwa hotelini Tunisia aliwahi kunifuata na kuniambia anashangaa namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikijaribu kumlinganisha na Clatous Chama huku akiamini Chama alikuwa mkali zaidi yake. Na kwa sababu hiyo ndiye mchezaji pekee wa Simba ambaye anayemfuatilia katika mtandao wa Instagram.” - Edo Kumwembe, Mchambuzi
Amefika fainali yoyote ya CAF huyo CHAMA?Wakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake.
Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Maana yake ni kwamba Yanga kuna kina Chama wengi tumia akiliYanga Bana alianza Feisal akalambishwa nyasi mchana kweupe Taifa, wakaja kwa Aziz Ki wakaenda kwa Pacome wamerudi kwa Aziz Ki [emoji23][emoji23]