Azizi ki amvulia kofia Chama

Azizi ki amvulia kofia Chama

Mnapenda kujiona nyie ndo mnakubaliwa zaidi??
Naona mapovu..
 
Usisahau pia kuwa edo ni mwanachama hai kabisa wa utopolo
Awe mwanachama au asiwe Mimi hainihusu.

Mimi ni shabiki wa mpira na siyo msukule wa mchambuzi au watimu yoyote.

Wachambuzi wanaangalia pesa siyo kuwa msukule kama wewe. Wengi wanahongwa na wachezaji, wanajifanya mawakala wa wachezaji na ni madalali.
 
Chama anawasumbua Sana yanga, Kila msimu wanamsajili lakini hachezi. Kila wakisajili mchezaji lazima wamlinganishe na Chama.
 
Wakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake.
Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Kuna Sheria imevunjwa au Ni hii post tu.

Kwamba mnapenda kusikia yanayofurahisha mioyo yenu. Mawazo mbadala hapana.

Anayeweza kukataa haya maneno Ni Aziz Ki pekee.

Wewe ulikuwa nao hotelini?

Wewe Ni msemaji wa Ki?

Punguzeni umaandazi.
 
“Hata yeye mwenyewe (Aziz Ki) tukiwa hotelini Tunisia aliwahi kunifuata na kuniambia anashangaa namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikijaribu kumlinganisha na Clatous Chama huku akiamini Chama alikuwa mkali zaidi yake. Na kwa sababu hiyo ndiye mchezaji pekee wa Simba ambaye anayemfuatilia katika mtandao wa Instagram.” - Edo Kumwembe, Mchambuzi
Utoto + togwa raha sana.
 
Wakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake.
Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Amefika fainali yoyote ya CAF huyo CHAMA?
 
Yanga Bana alianza Feisal akalambishwa nyasi mchana kweupe Taifa, wakaja kwa Aziz Ki wakaenda kwa Pacome wamerudi kwa Aziz Ki [emoji23][emoji23]
 
Tujitahidi kutengeneza pia wachezaji wa ndani......maana tunapigwa gap kubwa.....hatuna shule za vijana wetu .....sijui scouting tunapata wapi vipaji
 
Back
Top Bottom