Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msukule shangazi yako mbwa weweAwe mwanachama au asiwe Mimi hainihusu.
Mimi ni shabiki wa mpira na siyo msukule wa mchambuzi au watimu yoyote.
Wachambuzi wanaangalia pesa siyo kuwa msukule kama wewe. Wengi wanahongwa na wachezaji, wanajifanya mawakala wa wachezaji na ni madalali.
Comments reservedWakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake.
Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Hapo tyuuh napochokaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chama anawasumbua Sana yanga, Kila msimu wanamsajili lakini hachezi. Kila wakisajili mchezaji lazima wamlinganishe na Chama.
AaaahaaaCha kushangaza wanaye mlinganisha naye mwenyewe kavua kofia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga Bana alianza Feisal akalambishwa nyasi mchana kweupe Taifa, wakaja kwa Aziz Ki wakaenda kwa Pacome wamerudi kwa Aziz Ki [emoji23][emoji23]
Maneno hayawagi na uhalisia asilimia 100 ila vitendo ndoo majibu ...... Azizi ki yuko vizuri kuliko chama Mfano Guardiola anawapambaga Sana makocha baadhi kuwa ni bora ila akaikutana nao ni vichapo tu vinahusika“Hata yeye mwenyewe (Aziz Ki) tukiwa hotelini Tunisia aliwahi kunifuata na kuniambia anashangaa namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikijaribu kumlinganisha na Clatous Chama huku akiamini Chama alikuwa mkali zaidi yake. Na kwa sababu hiyo ndiye mchezaji pekee wa Simba ambaye anayemfuatilia katika mtandao wa Instagram.” - Edo Kumwembe, Mchambuzi
Sawa.....Ki mwenyewe kakubali wewe unapinga kama nani ?
Uzuri wa azizi ki ni upi over chama ?Maneno hayawagi na uhalisia asilimia 100 ila vitendo ndoo majibu ...... Azizi ki yuko vizuri kuliko chama Mfano Guardiola anawapambaga Sana makocha baadhi kuwa ni bora ila akaikutana nao ni vichapo tu vinahusika
Aziz ki ni mchezaji wa umri mdogo anaeprove makubwa national team na klabu yake ......Uzuri wa azizi ki ni upi over chama ?
Yanga hatuna mchezaji mvivu kama huyoMaana yake ni kwamba hakuna aliyeweza kuvaa viatu vya chama ndo maana mna badilisha badilisha
Hahahaha haya tuwekee statistics za azizi ki na chamaAziz ki ni mchezaji wa umri mdogo anaeprove makubwa national team na klabu yake ......
Statistics za Aziz ki ni kubwa katika umri mdogo kulinganisha na chama ambaye peak imeanza jioni huku
TANZANIA [emoji1241] NI NCHI TAJIRI CHAPA KAZI“Hata yeye mwenyewe (Aziz Ki) tukiwa hotelini Tunisia aliwahi kunifuata na kuniambia anashangaa namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikijaribu kumlinganisha na Clatous Chama huku akiamini Chama alikuwa mkali zaidi yake. Na kwa sababu hiyo ndiye mchezaji pekee wa Simba ambaye anayemfuatilia katika mtandao wa Instagram.” - Edo Kumwembe, Mchambuzi