Azizi ki amvulia kofia Chama

Azizi ki amvulia kofia Chama

Awe mwanachama au asiwe Mimi hainihusu.

Mimi ni shabiki wa mpira na siyo msukule wa mchambuzi au watimu yoyote.

Wachambuzi wanaangalia pesa siyo kuwa msukule kama wewe. Wengi wanahongwa na wachezaji, wanajifanya mawakala wa wachezaji na ni madalali.
Msukule shangazi yako mbwa wewe
 
Wakati mwingine tupunguze mahaba ya Wachezaji kisa nashabikia timu fulani. Aziz Ki hajafikia hadhi ya Chama hata kwa 20%. Chama ana misimu zaidi ya 4 kiwa kwenye Peak, kesha onja Soka la Ushindani Zambia, Tanzania, Moroco nk.
Cham ni mchezaji anatumia akili na arts kwenye uchezaji wake.
Aziz Ki akili kiasi n Nguvu 100%. Yanga ndio 2nd Klabu yake, huu ni msimu wake wa pili hatujui mwendelezo wake. Kwahiyo tuache kulinganisha IST na BAJAJ. Ki asubiri 2025 ndipo tumlinganishe na Chama.
Chama wa WIDA War in Dar, Chama wa Do or Die uje umlinganishe na huyu mpiga nyento wa Wagadugu?? Lets be fair pls
Comments reserved
 
Yanga Bana alianza Feisal akalambishwa nyasi mchana kweupe Taifa, wakaja kwa Aziz Ki wakaenda kwa Pacome wamerudi kwa Aziz Ki [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga Bana alianza Feisal akalambishwa nyasi mchana kweupe Taifa, wakaja kwa Aziz Ki wakaenda kwa Pacome wamerudi kwa Aziz Ki [emoji23][emoji23]
Haha mkuu umenikumbusha hiyo siku [emoji23][emoji23]
 
“Hata yeye mwenyewe (Aziz Ki) tukiwa hotelini Tunisia aliwahi kunifuata na kuniambia anashangaa namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikijaribu kumlinganisha na Clatous Chama huku akiamini Chama alikuwa mkali zaidi yake. Na kwa sababu hiyo ndiye mchezaji pekee wa Simba ambaye anayemfuatilia katika mtandao wa Instagram.” - Edo Kumwembe, Mchambuzi
Maneno hayawagi na uhalisia asilimia 100 ila vitendo ndoo majibu ...... Azizi ki yuko vizuri kuliko chama Mfano Guardiola anawapambaga Sana makocha baadhi kuwa ni bora ila akaikutana nao ni vichapo tu vinahusika
 
Tujitahidi kutengeneza pia wachezaji wa ndani......maana tunapigwa gap kubwa.....hatuna shule za vijana wetu .....sijui scouting tunapata wapi vipaji
Ng'ombe anapelekwa tu mtoni ila halazimishwi kunywa maji
 
Maneno hayawagi na uhalisia asilimia 100 ila vitendo ndoo majibu ...... Azizi ki yuko vizuri kuliko chama Mfano Guardiola anawapambaga Sana makocha baadhi kuwa ni bora ila akaikutana nao ni vichapo tu vinahusika
Uzuri wa azizi ki ni upi over chama ?
 
Aziz ki ni mchezaji wa umri mdogo anaeprove makubwa national team na klabu yake ......

Statistics za Aziz ki ni kubwa katika umri mdogo kulinganisha na chama ambaye peak imeanza jioni huku
Hahahaha haya tuwekee statistics za azizi ki na chama
 
“Hata yeye mwenyewe (Aziz Ki) tukiwa hotelini Tunisia aliwahi kunifuata na kuniambia anashangaa namna ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikijaribu kumlinganisha na Clatous Chama huku akiamini Chama alikuwa mkali zaidi yake. Na kwa sababu hiyo ndiye mchezaji pekee wa Simba ambaye anayemfuatilia katika mtandao wa Instagram.” - Edo Kumwembe, Mchambuzi
TANZANIA [emoji1241] NI NCHI TAJIRI CHAPA KAZI
 
Back
Top Bottom