Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
 
Kuna timu hapa Tz Mashabiki , Wanachama na viongozi wao wana tabia ya kukuza Sana wachezaji waonekane wa Maana Sana kumbe wakawaida Sana.
Ikitokea wamemsajili na baadae ahamie upande wa pili huwa wanaumia mioyoni mwao na maamuzi yao huwa ni kuchoma jezi au kwenda kushitaki Cas na visasi visivyo vya kiungwana kwa mchezaji.
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
Unaposema umepigwa, useme kiasi ulichopigwa. Umepigwa wewe na nani?
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
Anatikisa usajili au anatikisa Instagram na story za wachambuzi wetu wa michongo

takataka kabisaaaaaaaa
 
Aise
JamiiForums-1753574502_720x715.jpg
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
Hata kwa Fiston Mayele mliwanga hivi hivi! Mwisho wa siku mliambulia tu aibu.
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
Umechangia shilingi ngapi za kumsajili KI AZIZ? Maana unateseka saana.
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
Simba ina viongozi makini, wachezaji wazuri, mafanikio ya kutosha lakini mshabiki wa ovyo.
 
Ila Saido bado alikuwa anahitajika Yanga.....
Hatukatai ila tatzo hataki mkataba wa mwaka 1 anataka miaka 2 na kwa umri wake kumpa miaka 2 ni risk sana hakuna aliyefurahia kuachwa kwake
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
umepigwa wapi
 
Back
Top Bottom