Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

Azizi Ki tumepigwa mchana kweupeee

Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
unateseka kutokea wapi
 
Eti kwakuwa alimfunga Simba goli hapa nyumbani na kule kwao kwenye mechi ya Marudiano, basi ndio tunatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha tunamsajili.

Mchezaji gani anatingisha nchi kwenye usajili wakati ukijumlisha magoli na assist zake jumla hupati walau hata magoli 15 kwa msimu.

Aziz Ki ni mchezaji wa kawaida anayeishi katika bahati ya aina yake kisa tu aliifunga Simba.

Baada ya mechi 10 za raundi ya kwanza msimu ujao, tutasema bora Ntibazonkiza angebaki Yanga.

Aziz Ki licha ya uwezo wake wa kawaida, atakumbana na presha ya kusajiliwa na kulipwa hela kubwa, hivyo ajiandae kunyimwa pasi ndani ya uwanja, ajiandae kupigwa misumari na aspokuwa makini kila siku atakuwa anaumia, mwisho wa msimu tutajikuta na sisi Yanga tuna Perfect Chikwende wetu!!

Muda ni mwalimu mzuri...
Akili zako zinaendana kabisa na Id yako, Wewe ni kobisi jina la yule muigizaji wa tamthiliya ya kombolela kwenye kisimbuzi cha Azam, matendo yake yanaakisi ulichokiandika hapa, unakuwa mpiga ramli unatokwa maneno kibaooo utafikiri muuza karanga, waliomsajili wao wamerizika nae lakini wewe sherehe isiyokuwa yako umeivalia dela, umechangia bei gani kwenye usajili wake hili akiferi urudishiwe pesa yako ndugu
 
Kumbe mpo uto mlioona mbali mapema, hongera kwako.

Jitu Okrah.... kila nikimtazama tabasamu lake mazoezini ni kama vile anasema hii ligi mbona inachelewa kuanza, anajiamini halafu katuliaaa..
 
Hersi aliingizwa cha kike hapa
1660113463286.jpg
 
Kumbe mpo uto mlioona mbali mapema, hongera kwako.

Jitu Okrah.... kila nikimtazama tabasamu lake mazoezini ni kama vile anasema hii ligi mbona inachelewa kuanza, anajiamini halafu katuliaaa..
Anatoa pass huku anakimbia. Kama play station tu yaani
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom