Azov Brigade, Magharibi wanakuendesha vile wanavyotaka wao kuwa makini

Azov Brigade, Magharibi wanakuendesha vile wanavyotaka wao kuwa makini

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Azov Brigade ya Ukraine inatambuliwa na ulimwengu wa magharibi kama mashujaa walinzi wa Ukraine ila Hamas wana tambulika kama kundi la kigaidi kutoka Palestine.

Ulimwengu wa Kimagharibi wakiamua kinyesi kiwe chakula wanaamua tu na ukiwa muunga tela watakulisha nawe utaona utamu wake.

Dunia hii bwana kuna kitu cha kipumbavu waafrika wanaimbishwa kinachoitwa democracy jina sahihi "unafiki".

Maslahi, maslahi, maslahi ogopa kitu kinachoitwa maslahi unafiki hapa ni wa kiwango cha juu sana mtu anageuka mwenye roho ya kinyama zaidi ya simba.
 
Sasa wewe unavamia, kuua na kuteka raia ambao hawana bunduki halafu uitwe shujaa? Wewe ni gaidi tu hata mimi nitakuita gaidi /magaidi.
Hao Hamas wangekuwa mashujaa
  • Wangetangaza vita
  • Wangevamia kambi za jeshi la Israel na kuteka wanajeshi.
Siyo nchi za magharibi ndizo zinafanya hivyo bali vitendo vyako ndiyo vitaleta tafsri hiyo. Wewe kwa akili yako, kitendo walichofanya october 7 Hamas ni cha kishujaa?
 
Sasa wewe unavamia, kuua na kuteka raia ambao hawana bunduki halafu uitwe shujaa? Wewe ni gaidi tu hata mimi nitakuita gaidi /magaid...
Huwajui Azov wewe, Kabla ya Vita vya Ukraine Nchi kibao zilikuwa Zinawapiga marufuku, ni Magaidi kama Magaidi wengine, ni White supremacist na wanaua watu wote ambao sio weupe,
 
Acha kulinganisha Azov na hao hamas waoga wanaokimbia hata mende

Hamas ni kama wanaume wa dar tu., siku chache tu majeshi ya islaer yanavinjari Gaza bila kukutana na battle yoyote ya maana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mmoja ana misaada kama yote Dunia nzima, mwengine anatumia home made weapons, akate bomba la. Maji ndio atengeneneza Silaha. Na IDF hawavinjari Gaza wanakufa kama Kuku kila siku, nenda telegram video zinatumwa live
 
Mmoja ana misaada kama yote Dunia nzima, mwengine anatumia home made weapons, akate bomba la. Maji ndio atengeneneza Silaha. Na IDF hawavinjari Gaza wanakufa kama Kuku kila siku, nenda telegram video zinatumwa live
Sasa km IDF wanakufa kama kuku mbona mnaandamana free palestina?
 
Sasa km IDF wanakufa kama kuku mbona mnaandamana free palestina?
Free palestine kwa maana raia na sio Hamas, ushaona maandamano ya Free Hamas?

Israel wanafanya Genocide kuua raia wa kawaida,

Ingekua situation ni Vice versa IDF haui raia na Hamas wanaua raia wa kawaida wa Israel kungekua na maandamano ya Free Israel.
 
Free palestine kwa maana raia na sio Hamas, ushaona maandamano ya Free Hamas?

Israel wanafanya Genocide kuua raia wa kawaida,

Ingekua situation ni Vice versa IDF haui raia na Hamas wanaua raia wa kawaida wa Israel kungekua na maandamano ya Free Israel.
hamas=palestina
idf=israel
 
Nao walifanya tukio km la Hamas la octoba 7?
Sio moja wana matukio kibao, Hao ni Neo Nazi na wamehusika kwenye Christchurch shooting New Zealand na matukio kibao duniani kote.

Angalia hii video

View: https://m.youtube.com/watch?v=fy910FG46C4

Hii kauli aliitoa kiongozi wao

"lead the white races of the world in a final crusade … against Semite-led Untermenschen [inferior races]”.

Na hilo ndio Lengo la Azov kuhakikisha Race zote duniani zinakua Chini ya Mzungu.
 
Free palestine kwa maana raia na sio Hamas, ushaona maandamano ya Free Hamas?

Israel wanafanya Genocide kuua raia wa kawaida,

Ingekua situation ni Vice versa IDF haui raia na Hamas wanaua raia wa kawaida wa Israel kungekua na maandamano ya Free Israel.
Kajiunge nao hao hamasi nawe uwahi mabikra 72
 
Azov Brigade ya UKRAINE inatambuliwa na ulimwenguni wa magharibi kama mashujaa walinzi wa UKRAINE ila Hamas wana tambulika kama kundi la kigaidi kutoka PALESTINE.

Ulimwengu wa kimagharibi wakiamua kinyesi kiwe chakula wanaamua tu na ukiwa muunga tela watakulisha nawe utaona utamu wake.

Duniani hii bwana kuna kitu cha kipumbavu waafrika wanaimbishwa kinacho itwa democracy jina sahihi "unafiki"

Maslahi, maslahi, maslahi ogopa kitu kinachoitwa maslahi unafiki hapa ni wa kiwango cha juu sana mtu anageuka mwenye roho ya kinyama zaidi ya simba.
Miongoni mwa wanna wanaoweza kulishwa nyaa ni pamoja na ...254
 

Neo-Nazis In Ukraine SUPPORTED BY NATO AND THE WESTERN​

1700414133974.png
 
Putin anajipigia tu anavyotaka huko Ukraine sisikii cha marekani wala mavi yake. Zelensky kapoa kama mkojo wa ngedere.
Capitalist ana akili sana kuliko socialist.
- Marekani kama haumjui huwa haingilii vita isiyo na faida. Yeye huwa anafanya vita biashara ndiyo maana nguvu yake kubwa anaweka middle east kwasabb kuna mafuta mengi sana kwahiyo faida itarudi.
Israel ilipotangaza vita dhidi ya Pelestina, Hamas walijua watapata msaada mkubwa sana kutoka kwa ndugu zake.
Marekani akapeleka meli, silaha na ndege za kivita karibu na Israel. Iran, Yemen, Uturuki, Algeria, Saudia Arabia, Misri na mataifa mengine ya kiarabu yakabaki watazamaji tu.
Urusi kwa Ukraine hatoboi, atapigana vita mpk atachoka ataondoka mwenyewe. Huu ni mwaka wa ngapi?
 
Back
Top Bottom