Azov Brigade, Magharibi wanakuendesha vile wanavyotaka wao kuwa makini

Azov Brigade, Magharibi wanakuendesha vile wanavyotaka wao kuwa makini

Mmoja ana misaada kama yote Dunia nzima, mwengine anatumia home made weapons, akate bomba la. Maji ndio atengeneneza Silaha. Na IDF hawavinjari Gaza wanakufa kama Kuku kila siku, nenda telegram video zinatumwa live
kwamba hujui hamas wameimarika kwa misaada ya wazungu?
 
Unalinganisha AZOV na wavaa baibui wanajificha waonekane wanawake?. Tumia akili
 
Free palestine kwa maana raia na sio Hamas, ushaona maandamano ya Free Hamas?

Israel wanafanya Genocide kuua raia wa kawaida,

Ingekua situation ni Vice versa IDF haui raia na Hamas wanaua raia wa kawaida wa Israel kungekua na maandamano ya Free Israel.
wanakufa kama kuku na bado wamewateka raia wa gaza ? [emoji23][emoji23] mkipata akili mtarud kusoma ushuz wenu huu
 
Back
Top Bottom