Azov Brigade, Magharibi wanakuendesha vile wanavyotaka wao kuwa makini

Mmoja ana misaada kama yote Dunia nzima, mwengine anatumia home made weapons, akate bomba la. Maji ndio atengeneneza Silaha. Na IDF hawavinjari Gaza wanakufa kama Kuku kila siku, nenda telegram video zinatumwa live
kwamba hujui hamas wameimarika kwa misaada ya wazungu?
 
Unalinganisha AZOV na wavaa baibui wanajificha waonekane wanawake?. Tumia akili
 
wanakufa kama kuku na bado wamewateka raia wa gaza ? [emoji23][emoji23] mkipata akili mtarud kusoma ushuz wenu huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…