Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
Azuma ni antibiotic ambayo ipo chini sana kwa kutibu infections, Sema baadhi ya wagonjwa wanaishi kwa kukariri Dawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukistudy body language, facial expressions na tone ya mteja wa Azumu, hususani wa kiume unona kabisa huyu ametoka kwenye 6kwa6 isiyoeleweka, alipo maliza shida zake akili ikakaa sawa majuto yakamuingia, Maskini ya Mungu akajikuta anakimbilia kwa mfariji wao mkuu wa mwanzo kabisa bwana AZUMA kwenye pharmacySa mbona umeihusisha na 6X6 ?!
HAo wapuuzi ndio maswali waliyoanza kuniuliza🤣hawajakwambia lete cheti cha daktari
mostly ni watu wa kujificha but wakienda kupima na kubaini kiwango cha maambukizi wanaweza kupata tiba nzuri zaidi na ya uhakika zaidi....Azuma ni antibiotic ambayo ipo chini sana kwa kutibu infections, Sema baadhi ya wagonjwa wanaishi kwa kukuriri Dawa.
mostly ni watu wa kujificha but wakienda kupima na kubaini kiwango cha maambukizi wanaweza kupata tiba nzuri zaidi na ya uhakika zaidi....
Inaokoa familia kuepuka malipizi.Azuma mlezi wa wana .
AzithromycinAzuma ndio nini